Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MENEJIMENTI YA NCAA YAPIGA KAMBI KRETA YA NGORONGORO KUSIMAMIA UBORESHAJI WA MIUNDOMBINU



Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Prof. Adolf Mkenda kushoto akiwa na Naibu Kamishna wa NCAA Bw. Asangye Bangu alipotembelea baadhi ya vipande vya barabara vilivyoathirika na mvua hivi karibuni.
Kamishna wa Uhifadhi wa mamkaka ya Hifadhi ya Ngorongoro Dkt. Freddy Manongi (katikati) akijadiliana jambo na Meneja Manunuzi wa NCAA Bw. John Laizer (kushoto) kuhusu uboreshaji wa barabara katika bonde la Ngorongoro la Kreta.

Na Kassim Nyaki-NCAA

Menejimenti ya Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Waziri Kigwangalla ashuhudia uvishwaji vyeo kwa Menejimenti ya NCAA.


Na Mwandishi wetu-NCAA
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla ameshuhudia uvishwaji vyeo kwa menejimenti ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) ikiwa ni utekelezaji wa sheria kwa taasisi zilizoko chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii kujiendesha kijeshi katika usimamizi wa Rasilimali za wanyamapori.
Katika sherehe hiyo wajumbe 15 wa menejimenti ya Ngorongoro walivishwa vyeo ambapo idadi hiyo inajumuisha Naibu Makamishna wa uhifadhi wawili na Makamishna wasaidizi...

 

10 years ago

Dewji Blog

NCAA, UNESCO waangalia utalii endelevu Ngorongoro

DSC_0015

Mkufunzi ambaye pia ni mtaalamu mshauri wa Unesco, katika masuala ya utalii endelevu, James Banks akiendesha mafunzo kwenye warsha ya siku nne ya kutengeneza mkakati wa utalii endelevu hifadhi ya Ngorongoro iliyomalizika mwishoni mwa wiki mji mdogo wa Karatu, mkoani Arusha na kuandaliwa na Shirika la UNESCO kwa kushirikiana na Ngorongoro Conservation Area Authority (NCAA). Pichani chini kulia ni Mmoja wa wakufunzi wa warsha hiyo, Tamim Amijee.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog)

Na...

 

10 years ago

Michuzi

MENEJIMENTI YA MUHIMBILI YANOLEWA KUHUSU JINSI YA KUSIMAMIA TATHIMINI YA UTENDAJI ULIO WAZI (OPRAS)

Viongozi wanaounda Menejimenti ya Hospitali ya Taifa Muhimbili wametakiwa kusimamia vizuri tathimini ya utendaji ulio wa wazi kwa wafanyakazi walioko chini ya Kurugenzi, Idara na Vitengo wanavyoviongoza ili kuleta tija mahali pa kazi. Hayo yamesemwa leo na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt. Hussein Kidanto wakati alipokuwa akizindua semina ya siku nne kwa viongozi hawa iliyoanza leo, jijini Dar Es Salaam ambapo mada kuu ni jinsi ya kusimamia vizuri tathimini ya...

 

10 years ago

Michuzi

Benki ya Exim yapiga jeki mbio za marathon Ngorongoro

 Afisa Masoko wa Benki ya Exim (Tawi la Karatu), Bi. Rosemary Meglan (kulia) akikabidhi kasha la gurudumu kwa Waziri Mkuu mstaafu Mh. Frederick Sumaye ambaye alikua mgeni rasmi katika mbio za Ngorongoro Marathon zilizofanyika Karatu, Manyara hivi karibuni. Benki ya Exim ilikua miongoni mwa wadhamini wa mbio hizo. Wengine ni wafanyakazi wa benki hiyo.Afisa Masoko wa Benki ya Exim (Tawi la Karatu), Bi. Rosemary Meglan (kulia) akikabidhi vipeperushi vyenye taarifa za huduma zinazotolewa na...

 

10 years ago

Michuzi

Ubalozi wa Japan wakutana na tanesco kuzungumzia uboreshaji na ukarabati wa miundombinu ya umeme hapa nchini

MKURUGENZI Mtendaji wa TANESCO, Mhandisi Felchesm Mramba akiongea na wadau wa maendeleo kutoka Japan wakati wa mkutano na waandishi wa kuzungumzia maendeleo ya miradi ya kuboresha na kukarabati miundombinu ya umeme hapa nchini. Mkutano huo ulifanyika Dar es Salaam.MKURUGENZI Mtendaji wa TANESCO, Mhandisi Felchesm Mramba akimtambulisha Kaimu Naibu Mkurugenzi Mtendaji, Mhandisi Sophia Mgonja kwa Mwakilishi Mkazi wa Shirika la JICA, Onishi Yasunora (kushoto) na Waziri pia mkuu wa Kazi wa...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI MKOA WA ARUSHA YAPIGA KAMBI SAMUNGE KUONA WAFANYABIASHARA WAKIANZA KAZI


Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akiwa na Kamati ya Ulinzi na Usalama mkoa wa Arusha kwenye Soko la Samunge kuhakikisha Serikali inaweka miundombinu sawa kwa haraka ili wafanyabiashara kazi zao picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha

Gambo akiwa amepiga kambi soko la Samunge akipata Staftahi ya Uji kutoka kwa wafanyabiashara hao wadogo huku akitoa maelekezo baada ka kamati ya ulinzi na Usalama pamoja na serikali ya Mkoa kupiga kambi kwa siku nzima ya leo picha na Ahmed Mahmoud Arusha

 

5 years ago

Michuzi

UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO NDANI YA HIFADHI YA ENEO LA NGORONGORO SASA WAHAMISHIWA HALMASHAURI YA WILAYA YA NGORONGORO

MKUTANO wa siku tatu uliokuwa unafanyika kati ya Wizara ya Maliasili na Utalii na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro umemalizika leo Machi 26 mwaka huu wa 2020 kwa mafanikio makubwa.

Taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari imeeleza mkutano huo wa siku tatu ulikuwa ukiongozwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Dk.Hamis Kigwangala na moja ya majadiliano yalikuwa ni kuangalia utaratibu wa Usimamizi wa fedha zinazotolewa na Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro kwa ajili ya Baraza la...

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YA YAAGIZA ULINZI WA MIUNDOMBINU

KAMATI YA YAAGIZA ULINZI WA MIUNDOMBINU
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeitaka Serikali kuhakikisha inaweka ulinzi madhubuti katika miundombinu ya mradi wa barabara za juu (Interchange) katika makutano ya eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam ili idumu kwa kipindi kirefu. 
Mradi huo wenye lengo la kupunguza msongamano wa magari katika njia za barabara za Morogoro, Mandela na Sam Nujoma unagharimu kiasi cha shilingi bilioni 229 na huku Serikali ikichangia fedha za fidia kwa wananchi...

 

10 years ago

Habarileo

UNESCO, NCAA kuendeleza utalii

 Zulmira RodriguesSHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA), wameendesha kongamano la siku nne mjini hapa kuangalia mkakati mpya wa kuendeleza utalii kama kitovu cha mapato katika Hifadhi ya Ngorongoro.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani