MENEJIMENTI YA NCAA YAPIGA KAMBI KRETA YA NGORONGORO KUSIMAMIA UBORESHAJI WA MIUNDOMBINU
![](https://1.bp.blogspot.com/-Gf9VfUytXZw/XkVr7szF8-I/AAAAAAALdRs/UGqWgNRprB4X3VmuaDLSbauuz0yneycCgCLcBGAsYHQ/s72-c/AAA-3-768x510.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Prof. Adolf Mkenda kushoto akiwa na Naibu Kamishna wa NCAA Bw. Asangye Bangu alipotembelea baadhi ya vipande vya barabara vilivyoathirika na mvua hivi karibuni.
Kamishna wa Uhifadhi wa mamkaka ya Hifadhi ya Ngorongoro Dkt. Freddy Manongi (katikati) akijadiliana jambo na Meneja Manunuzi wa NCAA Bw. John Laizer (kushoto) kuhusu uboreshaji wa barabara katika bonde la Ngorongoro la Kreta.
Na Kassim Nyaki-NCAA
Menejimenti ya Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWaziri Kigwangalla ashuhudia uvishwaji vyeo kwa Menejimenti ya NCAA.
Na Mwandishi wetu-NCAA
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla ameshuhudia uvishwaji vyeo kwa menejimenti ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) ikiwa ni utekelezaji wa sheria kwa taasisi zilizoko chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii kujiendesha kijeshi katika usimamizi wa Rasilimali za wanyamapori.
Katika sherehe hiyo wajumbe 15 wa menejimenti ya Ngorongoro walivishwa vyeo ambapo idadi hiyo inajumuisha Naibu Makamishna wa uhifadhi wawili na Makamishna wasaidizi...
10 years ago
Dewji Blog16 Mar
NCAA, UNESCO waangalia utalii endelevu Ngorongoro
Mkufunzi ambaye pia ni mtaalamu mshauri wa Unesco, katika masuala ya utalii endelevu, James Banks akiendesha mafunzo kwenye warsha ya siku nne ya kutengeneza mkakati wa utalii endelevu hifadhi ya Ngorongoro iliyomalizika mwishoni mwa wiki mji mdogo wa Karatu, mkoani Arusha na kuandaliwa na Shirika la UNESCO kwa kushirikiana na Ngorongoro Conservation Area Authority (NCAA). Pichani chini kulia ni Mmoja wa wakufunzi wa warsha hiyo, Tamim Amijee.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog)
Na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-S7iEPCMocj4/VUc8YQg4KwI/AAAAAAAHVGY/l-hd-U8iqvU/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
MENEJIMENTI YA MUHIMBILI YANOLEWA KUHUSU JINSI YA KUSIMAMIA TATHIMINI YA UTENDAJI ULIO WAZI (OPRAS)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MBjxXEXvjl0/VTiHb2YGa4I/AAAAAAAC3hQ/qDDHXN2ufuc/s72-c/Exim%2BPix%2B1.jpg)
Benki ya Exim yapiga jeki mbio za marathon Ngorongoro
![](http://3.bp.blogspot.com/-MBjxXEXvjl0/VTiHb2YGa4I/AAAAAAAC3hQ/qDDHXN2ufuc/s1600/Exim%2BPix%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-k3YMfVYSBa4/VTiHhjbjobI/AAAAAAAC3hY/mUovDxR81o8/s1600/Exim%2BPix%2B2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-IGuGvo95oXs/VOXgaudEAjI/AAAAAAAAnag/-f2Kodtyh9o/s72-c/T3.jpg)
Ubalozi wa Japan wakutana na tanesco kuzungumzia uboreshaji na ukarabati wa miundombinu ya umeme hapa nchini
![](http://1.bp.blogspot.com/-IGuGvo95oXs/VOXgaudEAjI/AAAAAAAAnag/-f2Kodtyh9o/s1600/T3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-IIV6cwPQ6Fg/VOXglFu1DrI/AAAAAAAAna4/t4leeqH8sNw/s1600/T6.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qKHPbxEwahA/Xob4J7t4XyI/AAAAAAAAJBI/fq-84C2z_2cD1q1IlomOSfZRHZX8uDnGwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200403_103405_819.jpg)
SERIKALI MKOA WA ARUSHA YAPIGA KAMBI SAMUNGE KUONA WAFANYABIASHARA WAKIANZA KAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-qKHPbxEwahA/Xob4J7t4XyI/AAAAAAAAJBI/fq-84C2z_2cD1q1IlomOSfZRHZX8uDnGwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200403_103405_819.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akiwa na Kamati ya Ulinzi na Usalama mkoa wa Arusha kwenye Soko la Samunge kuhakikisha Serikali inaweka miundombinu sawa kwa haraka ili wafanyabiashara kazi zao picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha
![](https://1.bp.blogspot.com/-fxBFbRRxppU/Xob4JR7gO8I/AAAAAAAAJBE/CP6vYejheu0WU63q33v2OkFttNLlC6DogCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200403_103420_296.jpg)
Gambo akiwa amepiga kambi soko la Samunge akipata Staftahi ya Uji kutoka kwa wafanyabiashara hao wadogo huku akitoa maelekezo baada ka kamati ya ulinzi na Usalama pamoja na serikali ya Mkoa kupiga kambi kwa siku nzima ya leo picha na Ahmed Mahmoud Arusha
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bdrsTvcLHAA/XnzH75w9ilI/AAAAAAALlLw/Y_Dck3W0Lrc-_8elZhDZa76H1dQupo6MACLcBGAsYHQ/s72-c/a1b1e13a-e93f-4fa3-9a84-1930981a549e.jpg)
UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO NDANI YA HIFADHI YA ENEO LA NGORONGORO SASA WAHAMISHIWA HALMASHAURI YA WILAYA YA NGORONGORO
Taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari imeeleza mkutano huo wa siku tatu ulikuwa ukiongozwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Dk.Hamis Kigwangala na moja ya majadiliano yalikuwa ni kuangalia utaratibu wa Usimamizi wa fedha zinazotolewa na Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro kwa ajili ya Baraza la...
5 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YA YAAGIZA ULINZI WA MIUNDOMBINU
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeitaka Serikali kuhakikisha inaweka ulinzi madhubuti katika miundombinu ya mradi wa barabara za juu (Interchange) katika makutano ya eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam ili idumu kwa kipindi kirefu.
Mradi huo wenye lengo la kupunguza msongamano wa magari katika njia za barabara za Morogoro, Mandela na Sam Nujoma unagharimu kiasi cha shilingi bilioni 229 na huku Serikali ikichangia fedha za fidia kwa wananchi...
10 years ago
Habarileo16 Mar
UNESCO, NCAA kuendeleza utalii
SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA), wameendesha kongamano la siku nne mjini hapa kuangalia mkakati mpya wa kuendeleza utalii kama kitovu cha mapato katika Hifadhi ya Ngorongoro.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10