Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mengi sasa awageukia Masele, Maswi, Wassira


NA MWANDISHI WETU
MWENYEKITI Mtendaji wa Kampuni za IPP, Dk. Reginald Mengi, amewashukia Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Stephen Masele kwa madai ya kusambaza taarifa za uongo dhidi yake.
Mengi alisema hayo katika taarifa yake aliyotoa kwenye vyombo mbalimbali vya habari, zilizoeleza kwamba amezushiwa kuwa alimpatia Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka, mabilioni ya shilingi kwa lengo la kuwahonga wabunge ili wapinge vikali wizi uliofanyika kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow.
Katika...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

“Mpaka sasa maandamano mengi yamefanyika hapa nchini”- SACP Simon Sirro

DSC_0340

Kamishina Mwandamizi wa Jeshi la Polisi nchini (SACP) Simon Sirro akizungumza kwenye ufunguzi wa mafunzo ya wiki mbili kwa makamanda wa Jeshi hilo nchini, mafunzo hayo yaliyofadhiliwa na UNDP yana lengo la kuwajengea uwezo makamanda jinsi ya kupambana na viashiria vya uvunjifu wa amani bila kuleta madhara makubwa kwa jamii. Kushoto ni Mtaalamu wa Uchaguzi kutoka UNDP, William Hogan  na kulia ni wakufunzi kutoka Uingereza, Adrian Barnes (kulia) na Alan Binks (wa pili kulia).

Na Mwandishi...

 

11 years ago

GPL

SACP SIMON SIRRO‏ - MPAKA SASA MAANDAMANO MENGI YAMEFANYIKA HAPA NCHINI

Kamishina Mwandamizi wa Jeshi la Polisi nchini (SACP) Simon Sirro akizungumza kwenye ufunguzi wa mafunzo ya wiki mbili kwa makamanda wa Jeshi hilo nchini, mafunzo hayo yaliyofadhiliwa na UNDP yana lengo la kuwajengea uwezo makamanda jinsi ya kupambana na viashiria vya uvunjifu wa amani bila kuleta madhara makubwa kwa jamii. Kushoto ni Mtaalamu wa Uchaguzi kutoka UNDP, William Hogan na kulia ni wakufunzi kutoka Uingereza, Adrian...

 

10 years ago

Michuzi

BAN KI MOON AWAGEUKIA VIONGOZI WA MADHEHEBU YA DINI DUNIANI

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban  Ki Moon akiwa na  Viongozi wa Madhehebu  mbalimbali ya Dini mara baada ya  viongozi hao wa dini kuzungumza katika mkutano wa ngazi ya juu uliojadili  pamoja na mambo mengi kuongezeka kwa vurugu zitokanazo na itikadi kali za kidini na ukereketwa wa kupindukia na  nini kifanyike kukabiliana na  changamoto hiyo. katika picha hii yupo pia Rais wa Baraza Kuu la  Umoja wa Mataifa, Bw. Sam Kutessa ambaye ndiye aliyandaa mkutano huo.Na  Mwandishi Maalum, New...

 

10 years ago

Vijimambo

MKE WA BILLIONEA MENGI K-LYIN AAMUA KUBADILI JINA MARA BAADA YA KUFUNGA NDOA NA MH. MENGI

She changed her name from Jacqueline Ntuyabaliwe to Jacqueline Mengi....... "Life isn't happening to you; life is responding to you."-this is her new tagline on Instagram 

 

5 years ago

BBCSwahili

Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi: Mkewe Reginald Mengi adai kuzuiwa kuona kaburi la mumewe Tanzania

Mwaka mmoja baada ya kifo cha bilionea wa Tanzania Reginald Mangi, tayari kumeibuka mgogoro katika familia yake, baada ya mkewe Jacqueline Mengi kudai kwamnba amenyimwa kuona kaburi la mumewe.

 

10 years ago

Vijimambo

Bifu la Emelda Mwamanga wa Bang magazine na Reginald Mengi Kwa Kuvujisha Picha za Mengi na Familia yake


Mwanamama mjasiriamali, na managing director wa jarida maarufu nchini , Bang magazine , aitwaye Emelda Mwamanga amefunguka kuhusu bifu lake na mfanyabiashara maarufu nchini, Reginald Mengi, kupitia kwenye moja ya mahojiano ya kwenye kipindi maarufu cha Tv Hapa nchini .Mbali na kuelezea experience yake kwenye biashara yake, pia alizungumzia changamoto mbali mbali anazokabiliana nazo kwenye biashara zake, moja ya changamoto alizozielezea ni ile ya kushtakiwa na mfanyabiashara maarufu nchini,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Waziri Masele ni mbuzi wa kafara’

SERIKALI imedaiwa kumtoa kafara Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Stepen Masele, kwa lengo la kuficha udhaifu wake katika sakata la tuhuma alizozitoa dhidi ya Balozi wa Uingereza nchini Tanzania,...

 

10 years ago

Habarileo

Maswi apigwa 'stop'

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue.SIKU moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kutengua uteuzi wa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue naye ametangaza kumsimamisha kazi kwa muda Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliachim Maswi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani