Meya Bukoba ang’oka
HATIMAYE ukweli umedhihirika. Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG), Ludovick Utouh imethibitisha habari zilizoripotiwa na gazeti hili tangu Mei 2012, kuhusu miradi ya kifisadi iliyokuwa ikitekelezwa na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
Meya Bukoba ang’ang’ania kiti
LICHA ya kutangaza kujiuzulu kwa agizo la serikali baada ya ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Uttouh, kumtia hatiani aliyekuwa Meya wa Manispaa ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jzsUW*22gf29sgafvrguT1m4iNwYkUy6hCpbY4IIp2SJKprYMvqz1X8O3qdIPy-BdI-FpfzSb5*cpusF7tEF0mtU9vV8xr7f/DrAnatoryAmani.jpg?width=600)
MEYA BUKOBA ANG’ANG’ANIA KITI
10 years ago
Habarileo17 Dec
Werema ang’oka
WAKATI Watanzania wakisubiri kusikia uamuzi wa Rais Jakaya Kikwete juu ya maazimio manane yaliyotolewa na Bunge kuhusu sakata la uchotaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 katika akaunti ya Tegeta Escrow ndani ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema amejiuzulu wadhifa huo.
9 years ago
Habarileo05 Oct
Mzee Kingunge ang’oka CCM
MWANASIASA mkongwe nchini, Kingunge Ngombale- Mwiru, ametangaza kujiondoa kwenye chama tawala, CCM, ambacho amekuwa mmoja wa waumini wake wakubwa tangu enzi za TANU, kabla kuungana na ASP na kuzaliwa CCM mwaka 1977.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-bGJ3jKbGDcM/Xn9Bc-00ELI/AAAAAAAC19Q/wRaPaH90QY8hlUPRlJKfYJDEUuLiwDWdgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MEYA IRINGA ANG'OLEWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-bGJ3jKbGDcM/Xn9Bc-00ELI/AAAAAAAC19Q/wRaPaH90QY8hlUPRlJKfYJDEUuLiwDWdgCLcBGAsYHQ/s1600/1.jpg)
Kimbe ambaye anatokana na chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema ameng’olewa madarakani leo Jumamosi Machi 28, 2020 katika kikao maalum cha madiwani kilichofanyika katika ukumbi wa Manispaa hiyo.
Akitangaza matokeo ya kura zilizopigwa, mwenyekiti wa kikao ambaye pia ni Naibu...
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Meya Bukoba amshtaki CAG
ALIYEKUWA Mstahiki Meya wa Manispaa ya Bukoba, Dk. Anatory Amani, amemfungulia kesi Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh, kupinga ripoti yake ya ukaguzi iliyomtia hatiani...
11 years ago
Tanzania Daima11 May
Pinda: Amani si Meya Bukoba
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amefuta ndoto za aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Bukoba, Dk. Anatory Amani akisema kuwa, Serikali inatambua kuwa alijiuzulu tangu Januari mwaka huu, ilipowasilishwa ripoti ya Mdhibiti...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jan
RC amtumia Kilaini kumnasua meya Bukoba
MKUU wa Mkoa (RC) wa Kagera, Kanali mstaafu Fabian Massawe, amekimbilia kwa Askofu Msaidizi wa Jimbo Katoliki la Bukoba, Methodius Kilaini, Sheikh wa Wilaya, Haruna Kichwabuta na wazee maarufu ili...
9 years ago
Mwananchi21 Aug
Meya Bukoba aibukia NCCR — Mageuzi