MEZ B KUZIKWA JUMATATU MAKABURI YA WAHANGA DODOMA
Mez B akiwa katika moja ya mahojiano yake na kituo cha TV. Marehemu, Mez B akiwa studio enzi za uhai wake. ALIYEKUWA memba wa kundi la Chamber Squad, Moses Bushagama ‘Mez B’ ambaye amefariki jana mjini Dodoma anatarajiwa kuzikwa Jumatatu katika makaburi ya Wahanga yaliopo Maili Mbili mjini Hapo. Mtandao huu uliongea na mama wa marehemu, Marry Mkandawile ambaye alisema kuwa kwa sasa msiba upo maeneo ya Kisasa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM23 Feb
Mez B kuzikwa leo kwenye makaburi ya Wahanga,Dodoma
ALIYEKUWA memba wa kundi la Chamber Squad, Moses Bushagama ‘Mez B’ ambaye alifariki Ijumaa iliyopita mjini Dodoma anatarajiwa kuzikwa leo katika makaburi ya Wahanga yaliopo Maili Mbili mjini Dodoma.
Mama Mzazi wa aliyekuwa Msanii wa Kizazi Kipya Marehemu Mez B ameelezea Sababu ya Kifo cha Mez B kwamba ni Ugonjwa wa Pneumonia ambao ulikuwa unamumbua siku nyingi.
Katika Taarifa ya Mama Mzazi wa Mez B amesema kuwa Mez B alilazwa na Kuruhusiwa Mara Kadhaa katika Hospitali ya Mwananchi Dodoma na...
10 years ago
Vijimambo24 Feb
Mwili wa marehemu MEZ B umepumzishwa katika makaburi ya WAHANGA, DODOMA
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2015/02/IMG-20150223-WA0036.jpg)
Amin
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2015/02/IMG-20150223-WA0037.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2015/02/IMG-20150223-WA0038.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2015/02/IMG-20150223-WA0039.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2015/02/IMG-20150223-WA0040.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2015/02/IMG-20150223-WA0041.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2015/02/IMG-20150223-WA0042.jpg)
10 years ago
Mtanzania23 Feb
Mez B kuzikwa Dodoma leo
NA RAMADHAN HASSAN, DODOMA
MWILI wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Moses Bushagama ‘Mez B’, unatarajiwa kuzikwa leo katika makaburi ya wahanga wa treni, Mailimbili mkoani hapa.
Mez B alifariki dunia Ijumaa ya wiki iliyopita, mjini hapa wakati akiwaishwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma akidaiwa kuugua ugonjwa wa Pneumonia.
Akizungumza na MTANZANIA jana mjini hapa, mama mzazi wa marehemu, Merry Katambi, alisema mwanaye atazikwa leo katika makaburi hayo ya wahanga wa treni.
Alisema...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-USyyJeSvxu4/XmebVKd4q3I/AAAAAAALicA/cm-UuAOAMfEytZNW19n2f661WDs32nRJwCLcBGAsYHQ/s72-c/pix%2B01.jpg)
WAZIRI MKUU AFANYA ZIARA KATIKA MAKABURI YA WAHANGA WA AJARI YA MOTO MOROGORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-USyyJeSvxu4/XmebVKd4q3I/AAAAAAALicA/cm-UuAOAMfEytZNW19n2f661WDs32nRJwCLcBGAsYHQ/s640/pix%2B01.jpg)
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kasimu Majaliwa akiwa katika makaburi ya wahanga wa Ajari ya Moto iliyotekea Agosti 10 Mwaka jana eneo la Msavu Mkoani Morogoro.
![](https://1.bp.blogspot.com/-EJ8M9Rhf6zM/XmebVU4iLqI/AAAAAAALicE/AFcaStcvRr472Tl0sf1BYuchWDa6sfcwQCLcBGAsYHQ/s640/pix%2B03.jpg)
Na Farida Saidy, Globu ya Jamii Morogoro
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kasimu Majaliwa Amefanya ziara katika makaburi ya wahanga wa Ajari ya Moto iliyotekea Agost 10 Mwaka jana,...
10 years ago
Mwananchi22 Oct
YP kuzikwa leo makaburi ya Chang’ombe
10 years ago
CloudsFM10 Nov
AMIGOLAS KUZIKWA LEO MAKABURI YA KISUTU, DAR
Amigolas amefariki kwa ugonjwa wa moyo akiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa amelazwa kwa siku kadhaa. Mwimbaji huyu ambaye hadi anafariki, alikuwa mtumishi wa bendi ya Ruvu Stars inayomilikiwa na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT).
Amigo alilazwa Muhimbili...
11 years ago
GPLMZEE SMALL KUZIKWA KESHO MAKABURI YA SEGEREA
10 years ago
GPLAMIGOLAS KUZIKWA KESHO MAKABURI YA KISUTU, DAR
11 years ago
CloudsFM29 May
RECHO HAULE KUZIKWA LEO KATIKA MAKABURI YA KINONDONI
Mwili wa aliyekuwa msanii wa filamu za Kibongo,Rachel Haule ambaye alifariki dunia mwanzoni mwa wiki hii katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar baada ya kujifungua ambapo mtoto wake alifariki muda mfupi na baadaye yeye akafariki,utaagwa leo katika viwanja vya Leaders kuanzia saa nne asubuhi sanjari na mwili wa mtoto wake na kuzikwa leo katika makaburi ya Kinondoni,