Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mfundishe mtoto wako kuepuka ukorofi

Kwa kawaida mtoto hupitia mambo mengi katika maisha yake ya kila siku. Licha ya kucheza ama kujifunza kwa kuwa mambo yao hujumuisha watu walio katika rika lake, mara nyingi ni jambo la kawaida kukuta wakiishia kukorofishana.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Jinsi ya kumfunza mtoto wako heshima

Unaelewa nini unaposikia neno heshima? Umewahi kufikiria jinsi gani unaweza kumlea mwanao katika misingi ya heshima? Heshima huanzia wapi hasa?

 

11 years ago

Michuzi

Mtoto Maimuna Yahaya anahitaji msaada wako

 Mtoto Maimuna Yahaya akiwa  na Mama yake Mzazi  Tunu Juma.  Msaada unahitajika kwa ajili ya matibabu ya mtoto Mtoto Maimuna Yahaya (11) anayesoma shule ya Msingi ya watoto wenye mahitaji maalum  ya Irente Rainbow (Lushoto- Tanga) Darasa la pili. Yeye anasumbuliwa na tatizo la mifupa na ukubwa wa kichwa tangu kuzaliwa kwake, tatizo lililompelekea kuwa na ulemavu wa viungo na mtindio wa Ubongo.

Mama wa mtoto huyo, Bi. Tunu Juma Maziku amesema amekuwa akimpeleka mwanae huyo Maimuna...

 

10 years ago

Vijimambo

HAPO SASA UNAVYOMWACHA MTOTO WAKO NA BABYSITTY

Mcheza kwao utuzwa hiyo mtoto asiende mbali nanyumbani wakati housegirl akiwa busy na mishemishe yake mtoto utulizwa kwa njia hii.

 

10 years ago

Mwananchi

Unastahili kumsimamia mtoto wako kujifunza haya

Yapo masuala muhimu, ambayo kama mzazi unapaswa kuyazingatia katika malezi ya mtoto wako. Ikiwa mambo hayo yatasimamiwa vizuri ni wazi mtoto wako atapiga hatua vizuri katika ukuaji wake na hata kufikia kuwa mtoto mwema.

 

10 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI: Umewahi kumuuliza mtoto wako maswali haya?

>Umewahi kumuuliza mtoto wako maswali haya? Unataka kuwa nani au unataka kufanya kazi gani maishani?

 

10 years ago

Mwananchi

Mzazi unamwitaje mtoto wako panya, mjusi, paka?

Unashtuka? Kuna mtu anaitwa Panya Mjusi. Panya ni jina lake na Mjusi ni la baba yake. Kwa miaka zaidi ya 20 sasa ameendelea kutumia majina hayo.

 

10 years ago

Michuzi

MSAADA WAKO UNAHITAJIKA KUOKOA MAISHA YA MTOTO HUYU

Paulina Nyoni (Mama wa mtoto Fatuma Msuya) akiwa amembeba mwanaye ambaye anahitaji msaada wa matimabu .

---------------------- Paulina nyoni mkazi wa kijiji cha Hanga wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma anaomba msaada kwa yeyote atakaye guswa na tatizo la mwanaye  aitwaye Fatuma Msuya ili aweze kupata matibabu katika hospitali ya KCMC moshi.
Paulina ni mama mwenye watoto wa tano anayejishugulisha na kilimo , Mume wake aitwaye  Jafari Msuya amemtelekeza baada ya kujifungua mtoto mwenye tatizo hili...

 

5 years ago

BBCSwahili

Jinsi gani unashiriki katika kujifunza kwa mtoto wako?

Je unashiriki vipi katika kujifunza kwa mtoto wako katika mwaka mpya wa masomo?

 

10 years ago

GPL

SHERIA HAILAZIMISHI KUTOA MATUNZO YA MTOTO KULIKO UWEZO WAKO.

Na Bashir Yakub. Suala la matunzo ya watoto/mtoto lim ekuwa ni suala ambalo wasomaji wengi wamekuwa wakiniuliza sana. Wengi wao wanaouliza ni wale ambao wamezaa nje ya ndoa na hivyo kuna utata wa matunzo ya watoto na wale ambao wamekuwa wana ndoa lakini sasa tayari wametengana aidha kwa talaka au bila talaka. Niseme tu kwa ufupi kuwa suala la matunzo ya watoto linajumuisha mambo mengi nami nitaeleza baadhi tu. 1. HUWEZI...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani