Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgeja apongeza ushindi wa Ridhiwani

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Shinyanga, Khamis Mgeja, amempongeza mbunge mteule wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete. Amesema kitendo cha mgombea huyo kushinda katika uchaguzi huo mdogo, kinaonyesha ni...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mosha wa CCM apongeza ushindi wa Chadema Moshi

Aliyekuwa mgombea ubunge wa CCM Jimbo la Moshi Mjini, Davis Mosha amempongeza mpinzani wake, Jaffar Michael wa Chadema kwa kupata ushindi wa kishindo.

 

10 years ago

Habarileo

Ngeleja apongeza wanaCCM Sengerema kwa ushindi

William NgelejaMBUNGE wa Sengerema mkoani Mwanza, William Ngeleja amewashukuru wananchi wa jimbo lake la uchaguzi kwa kukipatia ushindi wa kishindo Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwishoni mwa mwaka jana.

 

9 years ago

Mwananchi

Mgeja amlipua mkapa

Mjumbe wa Kamati ya Taifa ya Kampeni za mgombea Urais wa Chadema,Edward Lowassa,anayeungwa mkono na vyama vya Ukawa,Khamis Mgeja amesema, Rais Mstaafu Benjamin Mkapa, anastahili kufikishwa mahakamani kwa matumizi mabaya ya madaraka na kujimilikisha mali za umma akiwa Ikulu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mgeja: Tuwe makini na wawekezaji

KUKOSA usikivu kwa baadhi ya viongozi wa serikali waliopewa mamlaka pindi wanaposhauriwa kwa masuala mbalimbali yahusuyo mustakabali wa nchi, kumesababisha taifa kuzidi kukumbwa na majanga ya ujangili, kukithiri kwa usafirishaji...

 

9 years ago

TheCitizen

Mgeja, Guninita ditch CCM

Shinyanga regional CCM chairman Khamis Mgeja and Mr John Guninita, the former party’s chairman for Dar es Salaam, yesterday quit the ruling party and announced to join the main opposition, Chadema.

 

9 years ago

Mwananchi

CCM- Hatutetereki Mgeja kuondoka

Chama Cha Mapinduzi (CCM), mkoa wa Shinyanga kimesema hakitatetereka kwa kuondoka kwa mwenyekiti wake mkoani hapa, Khamis Mgeja badala yake kitazidi kuimarika kwa kuwa kina hazina ya wanachama na viongozi makini.

 

9 years ago

Mwananchi

Nape, Mgeja warushiana maneno

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye na aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho mkoa wa Shinyanga, Khamis Mgeja jana walirushiana maneno kutokana na kada huyo kutangaza kuhamia Chadema.

 

10 years ago

GPL

MGEJA AHAMA CCM NA KUJIUNGA CHADEMA

Aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga, Khamis Mgeja. MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Shinyanga, Khamis Mgeja ametangaza rasmi kuachana na chama hicho na kujiunga na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) hivi punde. Mgeja ametangaza uamuzi huo wakati akaiongea na wanahabari jijini Dar es Salaam amabapo ametumia kauli ya Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere aliyoitoa mwaka 1995 alipozungumzia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani