MGHWIRA ATEMBELEA NA KUKAGU MIPAKA WILAYA YA ROMBO NCHI JIRANI YA KENYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Fqt6-Q7rv7o/XpSE0DNt7CI/AAAAAAAC2_M/5oj70qtPS30D13gK1ghKS5uVPC9FYJBmgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira amezitaka familia zilizopokea ndugu kutoka nchi jirani kupitia njia za panya na hawakukaa karantini kwa siku 14, kuwapeleka kwenye vituo vya afya ili kupimwa afya zao kama wana maambukizi ya homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya corona.
Mkuu huyo wa Mkoa ametoa agizo hilo leo Jumatatu Aprili 13, 2020 baada ya kutembelea na kukagua mipaka wilayani Rombo na nchi jirani ya Kenya iliyopo Rongai, Kamwanga na Holili.
''Niziombe familia zote za Rombo...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKAMISHNA WA FORODHA NA ULINZI WA MIPAKA WA MAREKANI ATEMBELEA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Fti2MBZBnhk/XrqJ7R9j9UI/AAAAAAAAJVc/rP7f8gDFR5csyDd_VFfpx7dfdD2g5FowQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200512_121139_693.jpg)
WAWILI MBARONI KWA KUJARIBU KUINGIA MBUGA ZA WANYAMA KWA UJANGILI HUKU WENGINE WAKIMBILIA NCHI JIRANI YA KENYA Inbox x
![](https://1.bp.blogspot.com/-Fti2MBZBnhk/XrqJ7R9j9UI/AAAAAAAAJVc/rP7f8gDFR5csyDd_VFfpx7dfdD2g5FowQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200512_121139_693.jpg)
Bunduki ya kivita aina ya AK47 ambayo imekamatwa wilayani Ngorongoro na Jeshi la polisi wakishirikiana pamoja na kikosi cha ujangili kanda ya Ziwa huko Oloshoo Kata ya Enguserosambu picha Zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
![](https://1.bp.blogspot.com/-kF7ADwejNSQ/XrqJ6wo15hI/AAAAAAAAJVY/vJ8T8dL1jfMi6ZBfpk5PKehi5EChsGLAQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200512_121206_549.jpg)
Sehemu ya risasi zilizokutwa kwenye magazine ya bunduki hiyo baada ya msako mkali wilayani Ngorongoro
![](https://1.bp.blogspot.com/-EuYjl9UP5CM/XrqJ6urwQ4I/AAAAAAAAJVU/6EP41pjeNvgqFVNLpdpfzbiSbaO9VsCPQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200512_121228_443.jpg)
Askari wa kikosi kazi cha Jeshi la Polisi akijaribu Silaha hiyo mbele ya waandishi wa habari kabla kamanda wa Jeshi hilo hajaongea nao leo jijini hapa
![](https://1.bp.blogspot.com/-RlT6LsGqBrg/XrqJ-uGDhEI/AAAAAAAAJVk/XE2kMqs5mb8Ne8ApERrqF-GH8n0ZSjQnwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200512_121409_797.jpg)
Kamanda Shana akiwa na...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/HPPQfWmTARw/default.jpg)
9 years ago
Habarileo06 Dec
Diwani atuhumiwa kuuza maji wilaya jirani
WANANCHI wa kijiji cha Manghweta kata ya Chamkoroma wilaya ya Kongwa mkoa wa Dodoma wamemshutumu diwani wao, Daimon Mdumbe kwa kuuza maji katika wilaya jirani wakati wao wakinywa maji kutoka kwenye makorongo.
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/Temig0z8Mco/default.jpg)
10 years ago
BBCSwahili06 Feb
Boko Haram lashambulia nchi Jirani
10 years ago
Habarileo28 Dec
Maziwa kutoka nchi jirani yalalamikiwa
CHAMA cha Wafugaji wa Ng’ombe wa Maziwa (TDCU) kinakusudia kumwandikia Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kupinga uingizwaji holela wa maziwa yaliyosindikwa kutoka nchi jirani.
11 years ago
BBCSwahili29 Apr
Nigeria:Wanafunzi walipelekwa nchi jirani
9 years ago
Mwananchi17 Sep
Magufuli: Nitaboresha uhusiano wa kibiashara na nchi jirani