Mgogoro umiliki machimbo Rongoma waanza kusikilizwa
MGOGORO wa umiliki wa machimbo ya moramu na tofali ya Rongoma ambayo yalisababisha vifo vya watu wawili hivi karibuni katika Kijiji cha Masaera, Wilaya ya Moshi vijijini umepelekwa mbele ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziNaibu Waziri Nyongo amaliza mgogoro kwenye machimbo ya madini Handeni.
Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo akizungumza na wananchi kwenye eneo la machimbo ya dhahabu la Kwandege lililopo wilayani Handeni mkoani Tanga tarehe 25 Juni, 2020.
Wananchi wakifuatilia maelezo yaliyokuwa yanatolewa na Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo (hayupo pichani) kwenye eneo la machimbo ya dhahabu la Kwandege lililopo wilayani Handeni mkoani Tanga tarehe 25 Juni, 2020 .
Mmoja wa wananchi wa eneo la machimbo ya dhahabu la Kwandege lililopo wilayani Handeni mkoani Tanga...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Sheria ya umiliki ardhi invyomsaidia mwanamke kupata haki ya umiliki
10 years ago
Habarileo08 Oct
TMAA kukabili machimbo haramu
WAKALA wa Ukaguzi wa Madini nchini (TMAA) umesema migodi haramu ya madini ya ujenzi imekuwa ikiikosesha Serikali mapato kutokana na kufanya shughuli za uchimbaji wa madini hayo kinyume na sheria.
10 years ago
Mwananchi20 Jun
Machimbo yachangia mimba za utotoni
10 years ago
BBCSwahili28 Jul
Machimbo yazua maafa Kenya
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rhqcRsJl7aTKgMOlzGah*BW26rJP2HUnoxwtIxXULHMr53nYJhksWaLzJi6EtxgJ9kL*vccuGcNs-RzqwgvyTOFTZIVXLf1b/breakingnews.gif)
WATU 19 WAFARIKI KATIKA MACHIMBO YA DHAHABU KAHAMA
9 years ago
Mtanzania07 Oct
Wanane wahofi wa kufukiwa machimbo ya dhahabu Kahama
NA PAUL KAYANDA, KAHAMA
WATU zaidi ya wanane wanahofiwa kufa baada ya kufukiwa na kifusi cha udongo katika machimbo ya Nyangarata katika Kata ya Lunguya Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Justus Kamugisha alisema tukio hilo lilitokea juzi asubuhi baada ya watu wapatao 20 kuingia katika shimo la uchimbaji dhahabu na kifusi hicho kikaanguka wakiwa ndani.
Alisema ingawa idadi kamili juu ya waliokuwa ndani ya shimo inakadiriwa kuwa 20 lakini baada ya...
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Mapango ya Amboni hatarini, yageuzwa machimbo ya mawe
9 years ago
StarTV01 Dec
Wachimbaji wadogo walia na Serikali kwa uvamizi maeneo ya machimbo
Wachimbaji Wadogo katika kijiji cha Samina wamedai kuwa Serikali haiwajali na imekuwa ikiwapa ahadi zisizokamilika hali iliyochangia wachimbaji hao kuvamia maeneo hatarishi na kujitafutia riziki.
Wakiongea na Mkuu wa Mkoa wa Geita Fatma Mwassa wamesema kuwa waliahidiwa kutafutiwa maeneo ya uchimbaji lakini maeneo waliyopewa hayakuwa na dhahabu hali iliyokatisha tamaa na kuchangia kuongezeka kwa vijana wasio na ajira
Mkuu wa Mkoa Fatma Mwassa amewapa nafasi wachimbaji wataje maeneo...