Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgomo wa UDA ? Familia ya JK na ishu ya bandarini? mapya Ocean Road? Hizi hapa zote..

December 25 2015 ninazo stori kubwa kwenye mkusanyiko wake kama ambavyo zimegusa kwenye uchambuzi wa redioni #CloudsFM… hapa nimeanza kwa kuzigusa moja baada ya nyingine mtu wangu. Serikali yaahidi kumulika ajira za wageni, waajiri wagizwa kutoa kipaumbele cha ajira kwa wenyeji.. kuna stori pia kuhusu utata ulioibuka shirika la UDA, madereva na makondakta kutishia kugoma. […]

The post Mgomo wa UDA ? Familia ya JK na ishu ya bandarini? mapya Ocean Road? Hizi hapa zote.. appeared first on...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WAZIRI ZUNGU AFANYA ZIARA KIWANDA CHA OCEAN ALLUMINIUM AMBACHO SHEHENA YA MALIGHAFI YAKE IMEKWAMA BANDARINI

 Waziri Zungu akikagua bidhaa za Sufuria zinazozalishwa na kiwanda cha Ocean Alluminium wakati alipofanya ziara kiwandani hapo. Picha na Charles Kombe Waziri Zungu akikagua baadhi ya nyaraka mbalimbali za kimazingira za kiwanda cha Ocean Alluminium alipofika katika kiwanda hicho. Picha na Charles Kombe
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mussa Azzan Zungu (Kulia) akiambatana na Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira wakati...

 

11 years ago

Mwananchi

Hali inatisha Ocean Road

Hali ni mbaya katika Hospitali ya saratani ya Ocean Road (ORCI), Dar es Salaam kutokana na uhaba mkubwa wa dawa.

 

11 years ago

Mwananchi

Kashfa Hospitali ya Ocean Road

Kashfa imeikumba Hospitali ya Saratani ya Ocean Road (ORCI) kutokana na tuhuma za mmoja wa wauguzi wake kumuuzia dawa ‘feki’ mgonjwa ambaye anaendelea kupatiwa matibabu katika taasisi hiyo ya Serikali.

 

11 years ago

Habarileo

UDA yaingiza mabasi mapya 300

SHIRIKA la Usafiri Dar es Salaam (UDA) limeingiza mabasi mapya 300 huku likielenga kufikisha idadi ya jumla ya mabasi 2000 ifikapo Juni mwaka huu ikiwa ni muendelezo wake wa kuboresha huduma za usafiri katika maeneo mbalimbali ya Jiji .

 

9 years ago

Habarileo

Vigogo wa Ocean Road, DART wasimamishwa

MAWAZIRI wawili jana ‘walitumbua majipu’ baada ya kutangaza kusimamishwa kazi kwa Mtendaji Mkuu wa Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka (DART), Asteria Mlambo na Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road, Dk Diwani Msemo, wote wakipisha uchunguzi dhidi yao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kansa ya kizazi yaongoza Ocean Road

IMEELEZWA kuwa kansa ya shingo ya kizazi ndiyo inayoongoza  kuwa na idadi kubwa ya wagonjwa katika Hospitali ya Ocean Road, Dar es Salaam. Mganga wa wagonjwa hao, Dk. Harison Chuwa,...

 

10 years ago

Habarileo

Wanaowahi Ocean Road hupona saratani

SERIKALI imesema kuwa asilimia 20 ya wagonjwa wa saratani, wanaofika mapema katika Taasisi ya Ocean Road, wanatibiwa na kupona.

 

9 years ago

Mwananchi

Panga la vigogo lahamia Ocean Road

Timuatimua ya watendaji wakuu wa mashirika na taasisi za umma imeendelea jana baada Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu kumsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road, Dk Diwani Msemo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani