Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mh. Majaliwa amwagiza mkurugenzi kuwajengea vyoo wanafunzi wa kike wa Kihadzabe

SAM_2825

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (OWM) – TAMISEMI (Elimu), Mhe. Kassim Majaliwa (MB) (aliyevaa miwani) akisalimiana na viongozi pamoja na wazazi wa wanafunzi wa shule ya msingi Munguli, kata ya Mwangeza,tarafa ya Kiru mi, wilayani Mkalama wakati wa ziara ya siku moja wilayani humo kutembelea maeneo ya wanayoishi wanafunzi wa jaamii ya kabila la Wahaadzabe.

SAM_2826

Wanafunzi wa shule ya msingi Munguli wakiimba wimbo wa shule yao wakati wakimpokea Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MBUNGE AZZA HILAL AKABIDHI TAULO ZA KIKE 'PEDI' ZA MIL 7.8 KWA WANAFUNZI WA KIKE DARASA LA SABA 2020 Inbox x

Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Shinyanga Mhe. Azza Hilal Hamad (CCM) akiwa ameshikilia Taulo laini za kike na wanafunzi wanaosoma darasa la saba katika shule mbalimbali katika halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Na Kadama Malunde - Malunde 1 bogMbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Shinyanga Mhe. Azza Hilal Hamad (CCM) amekabidhi Taulo laini za kike ‘Pedi’ zinazofuliwa zenye thamani ya shilingi milioni 7.7 zilizotokana na mchango wake kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo mkoani...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanafunzi 706 watumia matundu ya vyoo 976

SAM_2827

Wanafunzi wa shule ya msingi Munguli wakiimba nyimbo za kumkaribisha Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (OWM) – TAMISEMI (Elimu), Mhe. Kassim Majaliwa (MB) mara tu baada ya kufika kwenye viwanja vya shule hiyo.

SAM_2838

 Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (OWM) – TAMISEMI (Elimu), Mhe. Kassim Majaliwa (MB) (aliyesimama) akisisitiza jambo kwa wazazi wa wanafunzi wa shule ya msingi Munguli kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya shule hiyo.

SAM_2830

Baadhi ya wanawake wa...

 

10 years ago

GPL

UKOSEFU WA VYOO SHULENI ILEMELA HATARI KWA AFYA ZA WANAFUNZI NA WALIMU

Mheshimiwa Highness Kiwia kupitia Chama cha Demokrasia na  Maendeleo. Ilemela ni moja kati ya majimbo saba yanayounda Mkoa wa Mwanza ambalo linaongozwa na Mheshimiwa Highness Kiwia kupitia Chama cha Demokrasia na  Maendeleo (CHADEMA). Wiki iliyopita, Uwazi lilitembelea Kata za Nyakato, Mecco, Buzuruga, Nyasaka, Ilemela, Kahama, Kiseke, Sangabuye, Kayenze, Bugongwa, Shibuda, Pasiansi, Kawekamo, Kitangiri, Kirumba,...

 

10 years ago

Vijimambo

ZAIDI WANAFUNZI 100 WAPEWA SEMINA YA KUWAJENGEA UWEZO KUANZA SAFARI YA MASOMO KATIKA VYUO VIKUU VYA INDIA NA CHINA

Mkurugenzi wa Global Link Education (GEL) ambao ni Mawakala wa Vyuo Vya Nje ya nchi, Abdulmaliki Mollel akitoa maelezo katika semina ya kuwajengea uwezo wazazi na wanafunzi wanaokwenda kusoma Vyuo Vikuu vya India na China leo katika ofisi zao zilizopo viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.
 Meneja Mkuu wa Global Link Education (GEL) ambao ni Mawakala wa Vyuo Vya Nje ya nchi, David Nsimba akitoa semina ya kuwajengea uwezo wanafunzi wanaokwenda kusoma ...

 

10 years ago

Michuzi

Mahiza aagiza wakurugenzi kutofungua sekondari zisizo na vyoo vya walimu na wanafunzi Mkoani lindi

Na Abdulaziz Lindi,Globu ya Jamii - Lindi
Mkuu wa mkoa wa Lindi,Mwantumu Mahiza amewaagiza wakurugenzi wa halmashauri zilizopo katika mkoa huu wahakikishe shule zote za sekondari ambazo hazina vyoo kwa ajili ya matumizi ya walimu wa shule hizo zijenge kabla hazijafunguliwa.
Mahiza alitoa agizo hilo katika kijiji cha Kilimarondo wilayani Nachingwea katika ziara yake ya siku tatu wilayani Nachingwea.Ambapo alikagua miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwa ujenzi wa maabara kwenye shule za...

 

5 years ago

Michuzi

MAJALIWA: MKURUGENZI WA BODI YA MKONGE ARUDISHWE ALIKOTOKA


 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akizungumza na wajumbe wa Bodi ya Mkonge Tanzania na viongozi wa mkoa wa Tanga  kwenye ukumbi wa Hoteli ya Tanga Beach Resort, Machi 6, 2020. Kushoto ni  Naibu Waziri wa Kilimo, AMgumba na katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Martine Shigela. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akizungumza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi wa kike watakiwa kujitambua

WANAFUNZI wa kike nchini wametakiwa kujitambua pindi wanapokuwa wanatekeleza majukumu yao shuleni kwa ajili ya kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazowakabili katika kufikia malengo ya kielimu. Kauli hiyo ilitolewa juzi na...

 

9 years ago

Dewji Blog

Majaliwa atembelea NFRA na ujenzi wa ofisi ya Mkurugenzi Peramiho

IMGS7705

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ujenzi wa Jengo la Halmashauri ya Wilaya ya Peramiho akiwa katika ziara ya mkoa wa Ruvuma Januari 4, 2015.   (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

IMGS7592

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua mahindi yaliyohifadhiwa nje ya majengo ya maghala ya  Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula NFRA mjini Songea akiwa katika ziara ya siku tatu mkoani Ruvuma Januari 4, 2016.

IMGS7613

IMGS7628

IMGS7659

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akivalishwa vazi la jadi la Wangoni baada ya kuwasili kwenye   kwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani