Mh. Majaliwa amwagiza mkurugenzi kuwajengea vyoo wanafunzi wa kike wa Kihadzabe
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (OWM) – TAMISEMI (Elimu), Mhe. Kassim Majaliwa (MB) (aliyevaa miwani) akisalimiana na viongozi pamoja na wazazi wa wanafunzi wa shule ya msingi Munguli, kata ya Mwangeza,tarafa ya Kiru mi, wilayani Mkalama wakati wa ziara ya siku moja wilayani humo kutembelea maeneo ya wanayoishi wanafunzi wa jaamii ya kabila la Wahaadzabe.
Wanafunzi wa shule ya msingi Munguli wakiimba wimbo wa shule yao wakati wakimpokea Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziMBUNGE AZZA HILAL AKABIDHI TAULO ZA KIKE 'PEDI' ZA MIL 7.8 KWA WANAFUNZI WA KIKE DARASA LA SABA 2020 Inbox x
Na Kadama Malunde - Malunde 1 bogMbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Shinyanga Mhe. Azza Hilal Hamad (CCM) amekabidhi Taulo laini za kike ‘Pedi’ zinazofuliwa zenye thamani ya shilingi milioni 7.7 zilizotokana na mchango wake kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo mkoani...
10 years ago
Dewji Blog10 Jun
Wanafunzi 706 watumia matundu ya vyoo 976
Wanafunzi wa shule ya msingi Munguli wakiimba nyimbo za kumkaribisha Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (OWM) – TAMISEMI (Elimu), Mhe. Kassim Majaliwa (MB) mara tu baada ya kufika kwenye viwanja vya shule hiyo.
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (OWM) – TAMISEMI (Elimu), Mhe. Kassim Majaliwa (MB) (aliyesimama) akisisitiza jambo kwa wazazi wa wanafunzi wa shule ya msingi Munguli kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya shule hiyo.
Baadhi ya wanawake wa...
10 years ago
GPL
UKOSEFU WA VYOO SHULENI ILEMELA HATARI KWA AFYA ZA WANAFUNZI NA WALIMU
10 years ago
VijimamboZAIDI WANAFUNZI 100 WAPEWA SEMINA YA KUWAJENGEA UWEZO KUANZA SAFARI YA MASOMO KATIKA VYUO VIKUU VYA INDIA NA CHINA
10 years ago
Michuzi
Mahiza aagiza wakurugenzi kutofungua sekondari zisizo na vyoo vya walimu na wanafunzi Mkoani lindi

Mkuu wa mkoa wa Lindi,Mwantumu Mahiza amewaagiza wakurugenzi wa halmashauri zilizopo katika mkoa huu wahakikishe shule zote za sekondari ambazo hazina vyoo kwa ajili ya matumizi ya walimu wa shule hizo zijenge kabla hazijafunguliwa.
Mahiza alitoa agizo hilo katika kijiji cha Kilimarondo wilayani Nachingwea katika ziara yake ya siku tatu wilayani Nachingwea.Ambapo alikagua miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwa ujenzi wa maabara kwenye shule za...
5 years ago
Michuzi
MAJALIWA: MKURUGENZI WA BODI YA MKONGE ARUDISHWE ALIKOTOKA


11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Wanafunzi wa kike watakiwa kujitambua
WANAFUNZI wa kike nchini wametakiwa kujitambua pindi wanapokuwa wanatekeleza majukumu yao shuleni kwa ajili ya kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazowakabili katika kufikia malengo ya kielimu. Kauli hiyo ilitolewa juzi na...
9 years ago
Dewji Blog04 Jan
Majaliwa atembelea NFRA na ujenzi wa ofisi ya Mkurugenzi Peramiho
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ujenzi wa Jengo la Halmashauri ya Wilaya ya Peramiho akiwa katika ziara ya mkoa wa Ruvuma Januari 4, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua mahindi yaliyohifadhiwa nje ya majengo ya maghala ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula NFRA mjini Songea akiwa katika ziara ya siku tatu mkoani Ruvuma Januari 4, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akivalishwa vazi la jadi la Wangoni baada ya kuwasili kwenye kwenye...