Wanafunzi 706 watumia matundu ya vyoo 976
Wanafunzi wa shule ya msingi Munguli wakiimba nyimbo za kumkaribisha Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (OWM) – TAMISEMI (Elimu), Mhe. Kassim Majaliwa (MB) mara tu baada ya kufika kwenye viwanja vya shule hiyo.
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (OWM) – TAMISEMI (Elimu), Mhe. Kassim Majaliwa (MB) (aliyesimama) akisisitiza jambo kwa wazazi wa wanafunzi wa shule ya msingi Munguli kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya shule hiyo.
Baadhi ya wanawake wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog09 May
Wanafunzi 365 na walimu wanane wachangia choo kimoja chenye matundu manane
Baadhi ya wazazi wa shule ya msingi Kilimani waliohudhuria kwenye mkutano wa wazazi wa shule hiyo uliofanyika kwenye viwanja vilivyotengwa kwa ajili ya mikutano shuleni hapo.(Picha zote na Jumbe Ismailly).
Na. Jumbe Ismailly, Mkalama
WANAFUNZI 365 pamoja na walimu wanane wa shule ya msingi Kilimani, kata ya Ibaga, tarafa ya Kirumi, wilayani Mkalama wanachangia matundu manane ya choo yaliyopo kati ya matundu 17 yanayohitajika katika shule hiyo.
Hayo yalibainishwa na mwalimu mkuu wa...
11 years ago
Habarileo08 May
Wanafunzi watumia mitandao kutafuta wapenzi
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Iringa, Jesca Msambatavangu amewasihi wanafunzi wa kike, kuacha kukimbilia ngono na kutumia mitandao ya kijamii, kutafuta wapenzi wapya kama wanataka kutimiza ndoto zao za kimaisha.
9 years ago
BBCSwahili10 Sep
Wanafunzi watumia Uji kutengeneza Pombe
10 years ago
Dewji Blog11 Jun
Mh. Majaliwa amwagiza mkurugenzi kuwajengea vyoo wanafunzi wa kike wa Kihadzabe
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (OWM) – TAMISEMI (Elimu), Mhe. Kassim Majaliwa (MB) (aliyevaa miwani) akisalimiana na viongozi pamoja na wazazi wa wanafunzi wa shule ya msingi Munguli, kata ya Mwangeza,tarafa ya Kiru mi, wilayani Mkalama wakati wa ziara ya siku moja wilayani humo kutembelea maeneo ya wanayoishi wanafunzi wa jaamii ya kabila la Wahaadzabe.
Wanafunzi wa shule ya msingi Munguli wakiimba wimbo wa shule yao wakati wakimpokea Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu...
10 years ago
Vijimambo20 Jan
POLISI WATUMIA MABOMU YA MACHOZI KUTAWANYA MAANDAMANO YA WANAFUNZI
![](http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9njT77fdIFjmyQmo6z5SHVxZoBCq7kbVrmdlk5PQmVHt1IZggDbX64XtLhTaBaEHY4jDNlxp*VyzOdRpO-z4Wzt/1.jpg)
![](http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9kO4jIy6c7svrbkT6IoUkMaYPp3JlPpDcHILc9Q6680WLO7d-FpkVdOb*x5pbwFQAkVP6vTjxQiPF1OcjPPORE4/6.jpg)
![](http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9k1R7IhxQ5UaLt48dnG-HSIdKVK27mSInBu9fNGwARefrolZC*IOZ3Ghc2kOVK2aA9zKuMfLJ5ReQzT0tev0Xca/2.jpg)
![](http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9mNbigB9grpbqSkM01iTWWfq-tWeqTjgtBRnQZrAT8KXUd7*dJR1R1hN1MkCEPxQrwp9CIdqCMKoEDJvWWz98j4/3.jpg)
![](http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9n5h**PADXXMDIZiZ-I*eJm-5NQ0WJZVa-vS8zQNIDIQakrW-5jbDf8p3hWpzYRisgFRvSe9DwekWMUXpiATQP3/5.jpg)
![](http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9l5TK5ZAiN*nxCiQieCEVggVKce*cYFj6g1G8eOCOL-6-uMimvDOjtGW5mktTXL*j1CAxJn1KiQr6qMYuljksV7/4.jpg)
JESHI la polisi nchini Kenya limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanafunzi wa Shule ya Msingi Lang'ata iliyopo jijini Nairobi walioandamana kupinga kitendo cha kunyanganywa uwanja wao wa michezo uliouzwa kwa mwekezaji...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nLML9an*avp4XYY6o6BHm9K9Nt*Qn5lz007QyngzPkLYyJ*NRGD99DeF9Tpmsoell3sJrxineu05DJwVlAAkvXRv3c221i6n/Mwanzakiwia1.jpg?width=650)
UKOSEFU WA VYOO SHULENI ILEMELA HATARI KWA AFYA ZA WANAFUNZI NA WALIMU
10 years ago
Michuzi20 Jan
POLISI WATUMIA MABOMU YA MACHOZI KUTAWANYA MAANDAMANO YA WANAFUNZI NAIROBI, KENYA
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/J_QoF2jqPYJZpEShjaMjUC_1uwspoqYwf-r60fp3oBOUhdg74byNhO59ESUJ9LAAPMRZ7va8T6GpbZ_qHXA6K7p7wjxnV4iXCEWcEVBVyRccJ-b9cOjInStxsEVka9D53wxH6tkugTZpy-RVWnJHxJ7Pd_rZ_zFtnxYuKcGJxWWGs7ezUhHasHVEaMk1arC5JV65iiBZ9w=s0-d-e1-ft#http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9njT77fdIFjmyQmo6z5SHVxZoBCq7kbVrmdlk5PQmVHt1IZggDbX64XtLhTaBaEHY4jDNlxp*VyzOdRpO-z4Wzt/1.jpg)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/wDnu36pABCOXVo3bc3zOYrQGCPKjioH1TyODkjOD5E-cPTo1uXrK3_41WRcbzB7xsH8du0UeVwdjMyZ4IFjg6Q-_ADBD182IMqgbormVpi6BSUBJxtOaBaqWArQebE9SIidoklmucbDYQAZAxiGMYFNFrwJEg7I-_TDGzFEIbY1oBOk8iEVb-r_5_4qqeVu6pQfMpuW0Qg=s0-d-e1-ft#http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9kO4jIy6c7svrbkT6IoUkMaYPp3JlPpDcHILc9Q6680WLO7d-FpkVdOb*x5pbwFQAkVP6vTjxQiPF1OcjPPORE4/6.jpg)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/h6zdfRfYc5rKROa3QSVQzhf7jgb8dCPPn6a2ZvDS6EB3oxmLkE1i0tCVJwLwHL6LQYmyR9MDacHklwfhQQ8q9eCTlCoY6KRyIcK-eu2soxvv_QsEwUSIXUUChqGMBvjqzKCjO63coysx87c6WpuY0_6uynKQ4YRTb1cUO21CulkiA6-BF5Xcofgh9Xr42LeCBPXJllRqrw=s0-d-e1-ft#http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9k1R7IhxQ5UaLt48dnG-HSIdKVK27mSInBu9fNGwARefrolZC*IOZ3Ghc2kOVK2aA9zKuMfLJ5ReQzT0tev0Xca/2.jpg)
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/0aJLMyR5m40gq_csPknFQzSo8XI5IJueU7ZmVMEJG2Wcdlw5mJ3FW2vVIFkJOwMra8nP01GhIzdlA4t5pBtrd4eYqwMQeKuWIbueDQZuOTrGPc3OdjSLgFPyPMXZFpPgW-l3Aq3qVGi7WpQLtatQ75u02pzXZrYC_PHfZQz6H5OULAizsabCYArKXtaXYBbJ2GF_6VZhQg=s0-d-e1-ft#http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9mNbigB9grpbqSkM01iTWWfq-tWeqTjgtBRnQZrAT8KXUd7*dJR1R1hN1MkCEPxQrwp9CIdqCMKoEDJvWWz98j4/3.jpg)
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/Bb4Yevm0YiuBe0H1kR959vlVdZDO3JU-i6lWhovFeZ5AtOy9CnTHS7fuhC2X99gbiEqA3pOnOtKgbRugYs_DDUZKMa6IWm5_7K93T_MIIcJ5tNia9NytevYrjOXijdcAdgymdK7H6otrKA0YtAvDpzQDtXT7X5kUTR0rqO6UI4mp6CjhNAG007Ruj-zAK95LjZ6rXQzc4Q=s0-d-e1-ft#http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9n5h**PADXXMDIZiZ-I*eJm-5NQ0WJZVa-vS8zQNIDIQakrW-5jbDf8p3hWpzYRisgFRvSe9DwekWMUXpiATQP3/5.jpg)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/i8AVL_59KQk5FSSPXlDI6ACYnaIqRdXFIOQUhDvfIp6VkMQvecwDQFi8kB2qxAc4VCKh8g5dnssLIODwf7kC2ssouuwoLhOV3hOKM17_VS-CkbhaY97YQfWNgWlSLfBP8EAkEQls-e_IzI6pb6cWjnCCRUiSIK5491LrXQtxQ-vhGPr3rIouBfPU1q76oxWO4SklZe6v_A=s0-d-e1-ft#http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9l5TK5ZAiN*nxCiQieCEVggVKce*cYFj6g1G8eOCOL-6-uMimvDOjtGW5mktTXL*j1CAxJn1KiQr6qMYuljksV7/4.jpg)
JESHI la polisi nchini Kenya limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanafunzi wa Shule ya Msingi Lang'ata iliyopo jijini Nairobi walioandamana kupinga kitendo cha kunyang'anywa uwanja wao wa michezo uliouzwa kwa mwekezaji...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-KEFamnTjIgs/VKvL1N2AOII/AAAAAAAG7sQ/lRFFj2RfHjI/s72-c/mfuko4.jpg)
Mahiza aagiza wakurugenzi kutofungua sekondari zisizo na vyoo vya walimu na wanafunzi Mkoani lindi
![](http://3.bp.blogspot.com/-KEFamnTjIgs/VKvL1N2AOII/AAAAAAAG7sQ/lRFFj2RfHjI/s1600/mfuko4.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Lindi,Mwantumu Mahiza amewaagiza wakurugenzi wa halmashauri zilizopo katika mkoa huu wahakikishe shule zote za sekondari ambazo hazina vyoo kwa ajili ya matumizi ya walimu wa shule hizo zijenge kabla hazijafunguliwa.
Mahiza alitoa agizo hilo katika kijiji cha Kilimarondo wilayani Nachingwea katika ziara yake ya siku tatu wilayani Nachingwea.Ambapo alikagua miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwa ujenzi wa maabara kwenye shule za...