Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanafunzi watumia mitandao kutafuta wapenzi

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Iringa, Jesca Msambatavangu amewasihi wanafunzi wa kike, kuacha kukimbilia ngono na kutumia mitandao ya kijamii, kutafuta wapenzi wapya kama wanataka kutimiza ndoto zao za kimaisha.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Wanafunzi watumia Uji kutengeneza Pombe

Gazeti moja nchini Afrika Kusini limechapisha ripoti kuwa wanafunzi nchini Zimbabwe wanatumia uji kutengeneza pombe shuleni

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanafunzi 706 watumia matundu ya vyoo 976

SAM_2827

Wanafunzi wa shule ya msingi Munguli wakiimba nyimbo za kumkaribisha Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (OWM) – TAMISEMI (Elimu), Mhe. Kassim Majaliwa (MB) mara tu baada ya kufika kwenye viwanja vya shule hiyo.

SAM_2838

 Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (OWM) – TAMISEMI (Elimu), Mhe. Kassim Majaliwa (MB) (aliyesimama) akisisitiza jambo kwa wazazi wa wanafunzi wa shule ya msingi Munguli kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya shule hiyo.

SAM_2830

Baadhi ya wanawake wa...

 

10 years ago

Vijimambo

POLISI WATUMIA MABOMU YA MACHOZI KUTAWANYA MAANDAMANO YA WANAFUNZI

Wanafunzi wakikimbia hovyo baada ya mabomu ya machozi kupigwa.Wanafunzi wakisukuma uzio wa shule la uwanja.Mmoja wa polisi aliyejeruhiwa katika vurugu za leo.Wanafunzi na baadhi ya wanaharakati wakiwanyooshea fimbo wanausalama waliokuja kuzuia vurugu hizo.

JESHI la polisi nchini Kenya limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanafunzi wa Shule ya Msingi Lang'ata iliyopo jijini Nairobi walioandamana kupinga kitendo cha kunyanganywa uwanja wao wa michezo uliouzwa kwa mwekezaji...

 

10 years ago

Michuzi

POLISI WATUMIA MABOMU YA MACHOZI KUTAWANYA MAANDAMANO YA WANAFUNZI NAIROBI, KENYA

Wanafunzi wakikimbia hovyo baada ya mabomu ya machozi kupigwa.Wanafunzi wakisukuma uzio wa shule la uwanja.Mmoja wa polisi aliyejeruhiwa katika vurugu za leo.Wanafunzi na baadhi ya wanaharakati wakiwanyooshea fimbo wanausalama waliokuja kuzuia vurugu hizo.

JESHI la polisi nchini Kenya limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanafunzi wa Shule ya Msingi Lang'ata iliyopo jijini Nairobi walioandamana kupinga kitendo cha kunyang'anywa uwanja wao wa michezo uliouzwa kwa mwekezaji...

 

10 years ago

GPL

POLISI WATUMIA MABOMU YA MACHOZI KUTAWANYA MAANDAMANO YA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI NCHINI KENYA

Wanafunzi wakikimbia hovyo baada ya mabomu ya machozi kupigwa. Wanafunzi wakisukuma uzio wa shule la uwanja.…

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Wafundisheni wanafunzi matumizi bora ya mitandao’

WALIMU mkoani hapa wametakiwa kushirikiana na wazazi katika kuwafundisha wanafunzi matumizi mazuri ya mitandao hususan simu za mikononi katika mazingira yasiyoharibu maadili yao. Akizungumza katika mahafali ya kuhitimu darasa la...

 

10 years ago

Habarileo

Mitandao kiini cha wanafunzi kufeli

IMEELEZWA kuwa chanzo cha wanafunzi wengi kufeli masomo yao ni kutokana na kutumia muda wao mwingi kwenye masuala ya utandawazi, hasa mitandao, badala ya kujisomea.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mauaji: Wanawake wanauwezekano mkubwa wa kuuliwa na wapenzi wao au waliokua wapenzi wao

Ripoti inasema kuwa asilimia 61 ya wanawake waliuawa na wanaume au waliuliwa na wapenzi wao wa sasa au wa zamani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wajawazito Hondogo watumia vibatari

WANAWAKE wajawazito katika Kijiji cha Hondogo, Wilaya ya Bagamoyo wanaojifungulia katika zahanati ya kijiji hicho, wanalazimika kutumia mwanga wa vibatari na simu kutokana na kukosekana kwa umeme. Mwenyekiti wa kijiji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani