MHCS LTD YAOMBA KUREJESHWA VITUO VYA DALADALA MWENGE
Baadhi ya wajumbe wa bodi ya MHCS wakiapa na kusaini makubalianao ya utendaji kazi. Mwenyekiti mpya, Hillary Mdaki (kushoto), akifafanua…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog03 Jun
Kituo cha daladala Mwenge pamoja na vibanda vya pembeni vyabomolewa
Hivi ndivyo kituo cha Daladala cha Mwenge kilivyo bomolewa asubuhi ya leo.
Hiki kilikuwa Choo cha kulipia kilichokuwa Mwenge nacho kikiwa kimebomolewa.
Ulinzi ukiwa umeimarishwa.
Kazi ya Kubomoa na kuondoa vibanda ikiwa inaendelea Mwenge.
Askari wa FFU akiwa anazuia watu wasipite eneo ambalo kulikuwa na kazi ya Bomoa bomoa ikiendelea.
Mashuhuda wakiwa wanashuhudia ubomoaji ukiendelea.
Hili lilikuwa eneo la kupumzikia zamani la Abiria kungoja usafiri nacho kikiwa kimebomolewa.
11 years ago
GPLVITUO VYA MWENGE, MAKUMBUSHO KABLA NA BAADA YA MABADILIKO
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-gWHdCms57VE/XkrQRxcOVtI/AAAAAAABmSw/Oj6neK4rEcU2jtGzriD31aezr62Gl39gACLcBGAsYHQ/s72-c/19384857041_637b065b23_b.jpg)
NJIA, VITUO VYA DALADALA JIJININ MWANZA VYABADILISHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-gWHdCms57VE/XkrQRxcOVtI/AAAAAAABmSw/Oj6neK4rEcU2jtGzriD31aezr62Gl39gACLcBGAsYHQ/s640/19384857041_637b065b23_b.jpg)
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya jiji la Mwanza, Kiomoni Kibamba amelieleza Mwananchi leo Jumatatu Februari 17, 2020 kwamba mabadiliko hayo yameanza Februari 15, 2020.
Amesema yanalenga kuondoa msongamano katikati ya mji, hasa eneo la barabara ya Pamba ambako unaendelea ujenzi wa soko kuu jipya.
“Tunataka kusiwepo msongamano wa daladala zinazosimama kupakia na kushusha katika...
11 years ago
MichuziVITUO VYA MWENGE, MAKUMBUSHO KABLA NA BAADA YA MABADILIKO LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-CROLl2SY-OQ/U4zDmcYi-OI/AAAAAAAFnSo/EkUj5p6NJs8/s1600/VITUOMWENGENAMAKUMBUSHO4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hU3Nx10QpGE/U4zDmsbF7eI/AAAAAAAFnS0/n8gIo9NAvog/s1600/VITUOMWENGENAMAKUMBUSHO2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-QKO7iOHqDoc/U4zDmyA4NZI/AAAAAAAFnSs/-0k8dV4QGdo/s1600/VITUOMWENGENAMAKUMBUSHO3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xe2k4qXfBcY/U4zDodSl15I/AAAAAAAFnTA/wv-__jvg6YM/s1600/VITUOMWENGENAMAKUMBUSHO7.jpg)
Picha na GPL
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FOP2-IdqS84/U4ntaZbo64I/AAAAAAAAtRg/F6hfCCu-_gg/s72-c/13.jpg)
WAMACHINGA WANAOFANYA KAZI ZAO KWENYE VITUO VYA DALADALA NA MABASI DODOMA KUONDOLEWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-FOP2-IdqS84/U4ntaZbo64I/AAAAAAAAtRg/F6hfCCu-_gg/s1600/13.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-JshWNd58-SE/U4ntbcs_vFI/AAAAAAAAtRk/D79d1eBvgEg/s1600/14.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-BRMEbBd198o/U4ntbYc2qUI/AAAAAAAAtRs/-xQ-kaCHXOc/s1600/15.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wcVK7Mbxf1s/XnJEG9r10SI/AAAAAAALkRY/WZ_46goMTxUEQX_VoDdVAPQMSDNnKfHUQCLcBGAsYHQ/s72-c/DC%2BKINO.jpg)
DC CHONGOLO AAGIZA WATAALAMU WA AFYA KUTOA ELIMU YA KUJIKINGA NA CORONA KWENYE VITUO VYA DALADALA, NYUMBA ZA IBADA
![](https://1.bp.blogspot.com/-wcVK7Mbxf1s/XnJEG9r10SI/AAAAAAALkRY/WZ_46goMTxUEQX_VoDdVAPQMSDNnKfHUQCLcBGAsYHQ/s400/DC%2BKINO.jpg)
Aidha Mhe. Chongolo ameagiza pia elimu hiyo kutolewa kwenye vituo vya daladala ili kuwasaidia wananchi kutambua namna ya kutumia na kujikinga na Virusi hivyo.
Mhe. Chongolo ametoa agizo hilo leo katika kikao cha zarura kilichofanyika katika ukumbi wa Afya ambapo kimehusisha Mkurugenzi wa...
11 years ago
Habarileo30 May
Kituo cha daladala Mwenge kufungwa
MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imetangaza kufunga kituo cha daladala cha Mwenge, Jumapili, Juni Mosi mwaka huu.
11 years ago
Mwananchi30 May
Sumatra yafunga kituo cha daladala Mwenge D’Salaam
11 years ago
CloudsFM30 May
KITUO CHA DALADALA MWENGE KUFUNGWA RASMI JUMAPILI HII
Wamiliki, madereva na abiria wote mnatangaziwa kuwa kituo cha daladala Mwenge kitafungwa rasmi siku ya Jumapili jioni tarehe 01.06.2014. Kuanzia siku ya jumatatu asubuhi tarehe 02.06.2014 kituo kitakachokuwa kinatumika ni Makumbusho tu.
Sababu kubwa ya kufunga kituo hicho ni ufinyu wa eneo hilo jambo linalochangia dadalada kushindwa kuingia kituoni kwa wakati hasa vipindi vya asubuhi na jioni hivyo kusababaisha foleni kubwa katika eneo la Mwenge.
Kwa mujibu wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa eneo hilo...