VITUO VYA MWENGE, MAKUMBUSHO KABLA NA BAADA YA MABADILIKO LEO
Mwenyekiti wa soko la Makumbusho, Bi Mary John (kulia), akiongea na Mkuu wa Usalama Barabarani Mkoa wa Kinondoni, SP Awadhi Haji (kati), na Mkuu wa Usalama Barabarani, Kituo cha Kinondoni, Solomon Mwangamilo (kushoto).
Huduma ya usafiri ikiendelea kama kawaida eneo la Makumbusho
Stendi ya Makumbusho kabla haijaanza kutumika.
Muonekano mpya wa kituo cha Mwenge baada ya kuhamishwa.
Picha na GPL
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLVITUO VYA MWENGE, MAKUMBUSHO KABLA NA BAADA YA MABADILIKO
10 years ago
GPLMHCS LTD YAOMBA KUREJESHWA VITUO VYA DALADALA MWENGE
11 years ago
MichuziMgomo baridi wa usafiri BAADA YA DALADALA DAR ES SALAAM KUZUIWA KUTUMIA KITUO CHA MWENGE NA KUTUMIA CHA MAKUMBUSHO
11 years ago
CloudsFM29 May
KITUO CHA MABASI MWENGE KUHAMISHIWA MAKUMBUSHO
Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi kavu na Majini (SUMATRA) wamegiza kuwa kuanzia Juni 2, 2014, kituo cha Mwenge kitafungwa na daladala zote zinazotumia kituo hicho zitahamia kituo cha Makumbusho.
Daladala zote zinazoishia Mwenge zitakuwa zinashusha abiria kituo cha Makumbusho. Na daladala zinazokwenda maeneo mbalimbali kupitia Mwenge hazitoruhusiwa kusimama kituoni hapo na kushusha au kupandisha abiria. Zote zitapaswa kufika kituo cha Makumbusho.
11 years ago
GPL03 Jun
WANANCHI WATATIZWA NA KITUO CHA MWENGE KUHAMISHIWA MAKUMBUSHO
10 years ago
Michuzi
11 years ago
GPL
11 years ago
Michuzi
MGOMO WA MADEREVA NA MAKONDAKTA WA DALADALA DAR KUGOMA KUPELEKA ABIRIA MWENGE KUTOKA MAKUMBUSHO




9 years ago
Michuzi
HABARI KUTOKA VITUO VYA TELEVISHENI LEO