Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VITUO VYA MWENGE, MAKUMBUSHO KABLA NA BAADA YA MABADILIKO

Askari wa usalama barabarani, Kinondoni, wakitoa maelezo kwa madereva wanaofanya safari za Makumbusho-Bagamoyo.   Mwonekano wa kituo kipya cha Makumbusho.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

VITUO VYA MWENGE, MAKUMBUSHO KABLA NA BAADA YA MABADILIKO LEO


 Mwenyekiti wa soko la Makumbusho, Bi Mary John (kulia), akiongea na Mkuu wa Usalama Barabarani Mkoa wa Kinondoni, SP Awadhi  Haji (kati), na Mkuu wa Usalama Barabarani, Kituo cha Kinondoni, Solomon Mwangamilo (kushoto).   Huduma ya usafiri ikiendelea kama kawaida eneo la Makumbusho  Stendi ya Makumbusho kabla haijaanza kutumika.   Muonekano mpya wa kituo cha Mwenge baada ya kuhamishwa.
Picha na GPL

 

10 years ago

GPL

MHCS LTD YAOMBA KUREJESHWA VITUO VYA DALADALA MWENGE

Baadhi ya wajumbe wa bodi ya MHCS wakiapa na kusaini makubalianao ya utendaji kazi.
Mwenyekiti mpya, Hillary Mdaki (kushoto),  akifafanua…

 

11 years ago

Michuzi

Mgomo baridi wa usafiri BAADA YA DALADALA DAR ES SALAAM KUZUIWA KUTUMIA KITUO CHA MWENGE NA KUTUMIA CHA MAKUMBUSHO

  Abiria wakiwa wanashangaa Daladala zinapita kituo cha Mwenge jijini Dar es salaam bila kusimama, ikiwa ni siku ya kwanza wasafirishaji hao kuamriwa kutumia kituo cha Makumbusho ambacho inaelekea hawaafiki.  Daladala zikiwa zinapita bila kusimama sehemu yoyote  Kituo cha kwenda Tegeta , Kawe na Mbezi kikiwa Kitupu Muda huu  Kituo cha Mabasi Mwenye Cheupe hakuna hata Daladala hata moja  Bajaji ndizo zimegeuka kuwa daladala na ni Tsh 1000 tu kwa mtu mmoja mpaka Mwenge  Eneo ambalo...

 

11 years ago

CloudsFM

KITUO CHA MABASI MWENGE KUHAMISHIWA MAKUMBUSHO

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi kavu na Majini (SUMATRA) wamegiza kuwa kuanzia Juni 2, 2014, kituo cha Mwenge kitafungwa na daladala zote zinazotumia kituo hicho zitahamia kituo cha Makumbusho.
Daladala zote zinazoishia Mwenge zitakuwa zinashusha abiria kituo cha Makumbusho. Na daladala zinazokwenda maeneo mbalimbali kupitia Mwenge hazitoruhusiwa kusimama kituoni hapo na kushusha au kupandisha abiria. Zote zitapaswa kufika kituo cha Makumbusho.

 

11 years ago

GPL

WANANCHI WATATIZWA NA KITUO CHA MWENGE KUHAMISHIWA MAKUMBUSHO

Wananchi wa jiji la Dar es Salaam wamelalamikia kitendo cha Sumatra kuhamisha kituo cha Daladala cha Mwenge kwenda Makumbusho.

 

11 years ago

Michuzi

MGOMO WA MADEREVA NA MAKONDAKTA WA DALADALA DAR KUGOMA KUPELEKA ABIRIA MWENGE KUTOKA MAKUMBUSHO

 Mkaguzi kutoka Sumatra akiongea na Vyombo vya habari na madereva na makondakta  Kamanda wa Polisi kinondoni akitoa mrejesho kwa waandishi wa habari baada ya kuweza kukubaliana na Madereva na Makondakta kutumia barabara kuu kwa siku mbili ili wakati wakiendelea kushughulikia utaratibu wa kutengenezwa kwa barabara za ndani ambazo walikuwa wanapaswa kuzitumia
 Abiria wanaotumia njia ya makumbusho kuelekea Mwenge wakitokea Tandika na Mbagala jijini Dar es salaam leo wameonja Joto ya jiwe...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kongamano la Mabadiliko ya Tabianchi lafanyika katika Kijiji cha Makumbusho, DAR

 Mc katika kongaman0 la Mabadiliko ya Tabianchi kutoka Oxfam Tanzania Suhaila Thawer akiendelea kutoa utaratibu  Eva Mageni  ambaye ni Rais wa wakulima wanawake vijijini na alikuwa mshiriki wa shindano la Mama shujaa wa Chakula 2015, akifungua kongamano la Mabadiliko ya Tabianchi ambapo alizungumzia kwa kifupi kuhusu mkutano wa COP21 ambao utafanyika Paris Ufaransa hivi karibuni.  Edward Tunyone kutoka Forum CC akieleza maana zaidi ya Mabadiliko ya Tabianchi ambapo alielekeza mazungumzo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani