Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mil.394/- kupeleka maji Uvinza

JUMLA ya sh milioni 394.5 zimetengwa kwa ajili ya kutekeleza mradi wa maji kwenye Kijiji cha Kandaga wilayani Uvinza, Kigoma. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Nchi,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WIZARA YA MAJI KUTENGA SHILINGI BILIONI 2, KUPELEKA MAJI MASHULENI NA VITUO VYA AFYA



Wanafunzi wa Kidato cha Sita katika Shule ya Sekondari ya Tumaini iliyopo wilayani Iramba mkoani Singida wakifurahia kupata bomba la maji kwa ajili ya kutakasa mikono ili kujikinga na Covid 19 lililo jengwa na Wizara ya Maji kwa kushirikiana na Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mjini Singida (SUWASA)  Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Profesa Kitila Mkumbo (kulia) akika utepe kuashiria uzinduzi wa bomba la maji lililojengwa na wizara hiyo kwa kushirikiana na Mamlaka ya Maji Safi na Usafi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yatakiwa kupeleka maboza ya maji Kondoa

MBUNGE wa Viti Maalum, Moza Abeid (CUF), ameitaka serikali kufanya haraka kuwapelekea maboza ya maji wananchi wa Mji Mdogo wa Kondoa wakati wakishughulikia mashine za kusukuma maji katika mji huo....

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mil. 97/- kurejesha maji Ubungo

HALMASHAURI ya Manispaa ya Kinondoni imetenga sh 97,869,980 kwa mwaka wa fedha 2013/2014 ili kukarabati miundombinu na kurejesha huduma ya maji katika maeneo yasiyo na huduma hiyo. Hayo yalibainishwa na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mil. 537/- zatumika miradi ya maji

SHILINGI mil. 537 zimetumika kukabiliana na tatizo la upungufu wa maji katika Kata ya Mlimba na Kamwene wilayani Kilombero, mkoani Morogoro. Akizungumza katika maadhimisho ya Wiki ya Maji katika Tarafa...

 

10 years ago

Habarileo

Mradi wa maji wa Sh mil 692 Kibati wakamilika

WANANCHI wapatao 10,000 wa vijiji vya Salawe na Hoza, Kata ya Kibati, wilaya ya Mvomero, mkoani Morogoro wameanza kupata huduma ya maji safi na salama kutokana na kukamilika kwa ujenzi mradi wa maji uliogharimu Sh milioni 692.1.

 

11 years ago

Habarileo

Ashangaa halmashauri kushindwa kutumia mil 700/- za maji

Amos MakallaNAIBU Waziri wa Maji, Amos Makalla, ameshangazwa na utendaji wa uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero kwa kushindwa kufuatilia utekelezaji wa miradi ya maji hali inayoifanya iwe na kiwango cha chini cha upatikanaji wa maji cha asilimia 35 katika Mji wa Ifakara tofauti na lengo lililowekwa na Serikali.

 

10 years ago

Michuzi

MUHEZA KUPATA MIL 500 KUTEKELEZA MIRADI YA MAJI

Naibu Waziri wa Maji, Mh. Amos Makalla ameahidi Sh. Milioni 500 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maji kwa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza. 

Mhe. Makalla alitoa kauli hiyo leo,  alipotembelea Wilaya hiyo kukagua utekelezaji wa miradi ya maji na hali ya huduma ya maji wilayani humo.

 “Nawapongeza sana Halmashauri yenu na uongozi wake kwa kununua mashine kwa ajili ya kuchimba visima vya maji, sijawahi kutembelea Wilaya yoyote nchini nikakuta jambo hili. Kitendo cha Halmashauri kukusanya...

 

11 years ago

Mwananchi

Miradi miwili ya maji Wilaya ya Mkalama kutumia Sh799 mil

Wilaya ya Mkalama mkoani Singida, inatarajia kutumia zaidi ya Sh799.4 milioni kwa ajili ya miradi ya maji katika Vijiji vya Ng’ang’uli na Iguguno vilivyopo kwenye mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN).

 

10 years ago

Michuzi

TBL YATOA MSAADA WA SH. MIL. 56 ZA KISIMA CHA MAJI MKURANGA

 Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, mkoani Pwani, Luteni Mstaafu Abdallah Kihato (wa pili kulia), akipokea Hundi ya Sh. Milioni 56 kutoka kwa Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kanda ya Kusini, Bw. Victor Kavishe (wa pili kushoto) kwa ajili ya kusaidia mradi wa maji katika Kijiji cha Magoza, kilichoko Kata ya Kiparang'anda. Kushoto ni Meneja Mahusiano wa TBL, Bi. Emma Urio na Diwani wa Kata hiyo, Bi. KAru Karapina.
  Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Kanda ya Kusini,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani