Mil.540/-zatolewa kukabili dengue
SHILINGI milioni 132 zimetumika, huku Sh milioni 540 zikitengwa kwa ajili ya mapambano dhidi ya ugonjwa wa dengue, ulioibuka hivi karibuni jijini Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima14 May
Dengue yatengewa mil. 672/-
JUMLA ya sh milioni 132 zimetumika na sh milioni 540 zimetengwa kwa ajili ya mapambano dhidi ya ugonjwa wa dengue ulioibuka hivi karibuni jijini Dar es Salaam na kusababisha vifo...
11 years ago
Tanzania Daima26 Apr
Mil. 115/- kukabili ukimwi Kilolo
HALMASHAURI ya Wilaya ya Kilolo, mkoani Iringa imetenga sh milioni 115.5 kwa ajili ya kutekeleza pambano dhidi ya ugonjwa wa ukimwi kwa mwaka wa fedha 2014/2015. Mwenyekiti wa Kamati ya...
10 years ago
Tanzania Daima09 Sep
21,540 kufanya mtihani darasa la saba
WANAFUNZI 21,540 watafanya mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi mkoani Iringa mwaka huu ikiwa ni pungufu ya waliofanya mtihani huo mwaka jana. Mwaka jana wanafunzi 23,149 mkoani hapa walifanya mtihani...
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Balozi Seif Idd ashiriki harambee chuo cha CBE, afanikisha kukusanya shilingi milioni 540.8
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ally Idd akikabidhi mchango wake wa shilingi milioni 3 kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Uongozi ya Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), Prof. Mathew Luhanga (katikati) kusaidia uboreshaji wa miundombinu ya chuo hicho jana usiku wakati wa harambee maalum ya ukusanyaji wa fedha iliyofanyika Hoteli ya Serena jijini Dar es salam.Kulia ni Mkuu wa Chuo hicho Prof. Emanuel Mjema.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ally Idd akisoma majumuisho...
10 years ago
Mtanzania25 May
Tuzo za TAFA zatolewa, Ray ashangaa
FARAJA MASINDE
LICHA ya Shirikisho la Filamu nchini (TAFF) kufanikiwa kutoa tuzo za kwanza za TAFA, mwigizaji maarufu, Vicent Kigosi ‘Ray’, ameonyesha kutoridhishwa na uandaaji wa tuzo hizo.
Tuzo hizo zilitolewa juzi usiku katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere, jijini Dar es Salaam, huku Ray akikosekana katika kipengele hata kimoja kati ya vilivyoshindanishwa.
Ray aliingia ukumbini hapo akiongozana na msichana wakiwa wamechelewa, ingawa walikuwa makini kufuatilia utoaji...
5 years ago
MichuziHUKUMU 18 ZATOLEWA KUHUSU MASHAURI YA KIJINSIA
Mahakama ya Wilaya ya Chato imefanikiwa kutoa zaidi ya 18 zinazotokana na makosa ya ukatili na unyanyasaji wa kijinsia baada ya jamii kuwa na uelewa juu ya suala hilo na kuweka mikakati ya kutatua changamoto hiyo.
Akizungumza na Maofisa Habari wa Mahakama ya Tanzania, Juni 9, mwaka huu Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Mhe. Odira Amworo amesema mashauri yanayoongoza kusikilizwa mahakamani hapo ni vitendo vya ukatili wa kijinsia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YEuyojATuDA/XlZC-OS-_MI/AAAAAAALfgY/NnfekIbzuVA2zZRDDvF3jXAFe7AFAADyACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200220_131757_609.jpg)
BL 12.4 ZATOLEWA KWA KAYA MASKINI TUNDURU
![](https://1.bp.blogspot.com/-YEuyojATuDA/XlZC-OS-_MI/AAAAAAALfgY/NnfekIbzuVA2zZRDDvF3jXAFe7AFAADyACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200220_131757_609.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-s1OR2tqUsHA/XlZC_DmiYKI/AAAAAAALfgc/AkfbwB-eAQUzsx3PCIysS3JCvdA8wGMQACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200220_131830_044.jpg)
10 years ago
Habarileo04 Nov
Leseni sita za uchimbaji madini zatolewa
SERIKALI imesema kuwa leseni zote za madini zikiwemo za utafiti, uchimbaji na zile za kuhodhi maeneo, zitakaguliwa baada ya miezi sita baada ya kutolewa kwa wamiliki ili kuhakikisha kuwa maeneo yaliyoombewa leseni, yanaendelezwa.