Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dengue yatengewa mil. 672/-

JUMLA ya sh milioni 132 zimetumika na sh milioni 540 zimetengwa kwa ajili ya mapambano dhidi ya ugonjwa wa dengue ulioibuka hivi karibuni jijini Dar es Salaam na kusababisha vifo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mil.540/-zatolewa kukabili dengue

SHILINGI milioni 132 zimetumika, huku Sh milioni 540 zikitengwa kwa ajili ya mapambano dhidi ya ugonjwa wa dengue, ulioibuka hivi karibuni jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mtanzania

Ikulu yatengewa Sh bilioni 20

Na Khamis Mkotya, Dodoma

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani, amewasilisha makadirio ya bajeti ya Sh bilioni 585 kwa ajili ya ofisi yake kwa mwaka wa fedha wa 2015/2016. Kati ya fedha hizo, Sh bilioni 20 zimetengwa kwa ajili ya Ofisi ya Rais (Ikulu), ikiwa ni matumizi ya kawaida kwa ajili ya ofisi hiyo na taasisi zake.

Akiwasilisha makadirio hayo bungeni jana, Kombani alisema katika mwaka wa fedha wa 2015/2016 Ikulu imepanga kutekeleza kazi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Iramba yatengewa bil. 1.6/- za maji

WIZARA ya Maji imetenga sh bilioni 1.6 kwa ajili ya kuboresha huduma ya maji safi na salama katika Wilaya ya Iramba, mkoani Singida katika kipindi cha kuanzia mwaka wa fedha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miradi ya maji Kwimba yatengewa bil. 2/-

HALMASHAURI ya Wilaya ya Kwimba imetenga sh bilioni 2.5 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maji kwa mwaka wa fedha 2014/15. Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Barabara Mpanda-Misamo yatengewa bil. 4.5/-

SHILINGI bilioni 4.5 zimetengwa kwa ajili ya kuanza ujenzi wa barabara ya Mpanda hadi Mishamo kwa kiwango cha lami yenye urefu wa kilomita 100. Naibu Waziri wa Ujenzi, Gerson Lwenge,...

 

11 years ago

GPL

GONJWA LA RAY C HATARI, LAPUKUTISHA WATU MIL 2, MIL 100 WAAMBUKIZWA!

Na Joseph Shaluwa na Musa Mateja
MARADHI yanayomsumbua mwanamuziki maarufu wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ ni tishio, Gazeti la Mastaa, Amani limeelezwa. Mwanamuziki maarufu wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ akiwa hoi hospitali. Ray C anaugua ugonjwa wa Homa ya Dengu ambao kitaalam hujulikana kama Dangue Fever. Ulibainika baada ya kufanyiwa uchunguzi na madaktari wa Hospitali ya Mkoa...

 

5 years ago

Michuzi

KOKA AKABIDHI BAISKELI 95 ZENYE THAMANI YA MIL.25 PAMOJA NA BARAKOA,NDOO,SANITIZER ZA MIL .3




………………………………………………………………………………………………..
NA MWAMVUA MWINYI,KIBAHA .
MBUNGE wa Jimbo la Kibaha Mjini, Silvestry Koka, amekabidhi baiskeli 95 zenye thamani ya sh.milioni 25 kwa viongozi wa matawi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) jimboni humo ,kwa ajili ya urahisishaji wa utendaji kazi.
Aidha Koka ametoa ndoo za Maji,dawa ya kunawia mikono “Sanitizer” na barakoa zenye thamani ya sh.milioni 3 kwa ajili ya kutumika katika Ofisi za Chama za matawi na kata na kuwakumbusha kujihadhari dhidi ya Ugonjwa wa...

 

11 years ago

Habarileo

Hakimu aliyekula rushwa ya mil 2/- ahukumiwa faini mil 1.5/-

ALIYEKUWA Hakimu Mkazi Mahakama Wilaya ya Urambo, Oscar Bulugu, amekutwa na hatia ya kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni 2.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani