Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Milipuko Bujumbura kabla ya Uchaguzi

Kumetokea ufyatulianaji wa risasi na milipuko usiku kucha nchini Burundi, usiku wa kuamkia uchaguzi wa rais uliozua utata.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mshindi atangazwa kabla ya uchaguzi

Ama kweli haya maajabu! Wapigakura wa Mtaa wa Ibungilo B, Kata ya Ibungilo wilayani Ilemela jana walipigwa na butwaa baada kufika katika kituo cha kupigia kura na kukuta mgombea wa nafasi ya uenyekiti wa Serikali za Mitaa kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), ameshatangazwa mshindi.

 

10 years ago

BBCSwahili

2 wauawa siku 1 kabla ya uchaguzi Burundi

Watu 2 wameuawa Burundi katika mashambulizi ya gruneti na risasi katika ngome za upinzani katika mji wa Bujumbura siku moja kabla ya uchaguzi

 

10 years ago

Mwananchi

Uandikishaji ukamilike kabla ya Uchaguzi Mkuu

Serikali hii inashangaza. Mwishoni mwa mwaka jana ilipotangaza kwamba Aprili 30 mwaka huu itakuwa siku ya kupiga Kura ya Maoni kwa Katiba Inayopendekezwa iliona mbali sana.

 

10 years ago

Mwananchi

Ukawa yadai mambo manne kabla ya Uchaguzi

>Uamuzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuahirisha Kura ya Maoni ya Katiba Inayopendekezwa umewafungulia viongozi wa Ukawa kuishinikiza Serikali kuiboresha Katiba ya sasa katika maeneo manne ili kuondoa mvutano katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.

 

10 years ago

Habarileo

Pinda atamani kura kabla ya Uchaguzi Mkuu

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amesema ana shauku kuona Katiba Inayopendekezwa, inapigiwa kura na Watanzania na kuwa Katiba kabla hata ya Uchaguzi Mkuu wa mwakani, kwa kuwa ikiachiwa kuna watu wanaweza kuleta vurugu.

 

5 years ago

Michuzi

Makumi wauawa katika ghasia za kabla ya uchaguzi Burundi

Serikali ya Burundi imekiri kuua watu 22 ndani ya siku chache zilizopita, kwa tuhuma za kufanya 'makosa' yanayohusishwa na uchaguzi mkuu ujao.

Vyombo vya dola nchini humo vimeripoti kuwa, watu hao waliuawa katika mji mkuu Bujumbura, na kwamba maafisa wawili wa polisi wameuawa pia katika ghasia hizo za kabla ya uchaguzi.

Vyombo vya usalama nchini Burundi vimesema kuwa, vimewatia mbaroni watu sita wanaohusishwa na uhalifu huo wa kabla ya uchaguzi unaotazamiwa kufanyika mwezi Mei mwaka huu....

 

9 years ago

CHADEMA Blog

KAULI YA PROF MWESIGA BAREGU KABLA YA UCHAGUZI MKUU

Umoja wa katiba ya wananchi UKAWA kwa kupitia chama cha Democrasia na maendeleo CHADEMA wamewashukuru watanzania kwa kuwaunga mkono katika kampeni zao za wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo za Urais,Ubunge na Udiwani kote nchi nzima na kusema kuwa wamefanya kampeni za kistarabu na zisizo na matusi wala fujo kama walivyoahidi wakati wanaanza. Akiangumza na wanahabari mapema leo

 

9 years ago

Michuzi

CCM YAANZA NA MTAJI WA UBUNGE KABLA YA UCHAGUZI MKUU

Ijumaa ikiwa ndio  ni siku ya Mwisho kuchukua na Kurejesha Fomu za Urais,Ubunge na Udiwani Katika Majimbo Yote ya Uchaguzi Nchini,Chama Cha Mapinduzi Kimeanza Vema Harakati Hizo baada ya Aliekuwa Katibu Tawala Mkoa wa Lindi Abdallah Dadi Chikota (pichani) kupita bila kupingwa kuwa Mbunge wa Jimbo jipya la Nanyamba,Mkoani Mtwara
Hatua hiyo Imetokea baada ya wagombea wawili wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) Na aliekuwa Mgombea wa Chama cha Wananchi CUF Kutojitokeza Kurudisha Fomu...

 

10 years ago

Dewji Blog

Katiba mpya ikamilike kabla ya Uchaguzi Mkuu — Mizengo Pinda

pinda+maswali

Na Mwandishi wetu

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (pichani) amesema atafurahi kuona mchakato mzima wa Katiba ukikamilika kabla rais mpya hajapatikana katika Uchaguzi Mkuu ujao.

Akizungumza Bungeni baada ya kupewa nafasi na Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta kutoa shukrani, Pinda alipendekeza kura ya maoni ipigwe sambamba na Rais ili kiongozi ajaye afanye kazi ya kutekeleza matakwa ya Katiba hiyo.

Alisema rais ajaye anaweza kuwa na ajenda zake, hivyo ni muhimu kumaliza kazi yote na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani