Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Mipango madhubuti utajiri wa gesi utaepusha laana zake’

WATANZANIA wameshauriwa kuweka mipango mizuri ili kuhakikisha kwamba rasilimali ya gesi iliyogunduliwa nchini inakuwa yenye manufaa kwa taifa badala ya laana kama ilivyotokea katika baadhi ya nchi barani Afrika.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

‘Mipango mizuri utajiri wa gesi utaepusha na laana’

WATANZANIA wameshauriwa kuweka mipango mizuri ili kuhakikisha kwamba rasilimali ya gesi iliyogunduliwa nchini inakuwa yenye manufaa kwa taifa badala ya laana kama ilivyotokea katika baadhi ya nchi barani Afrika.

 

10 years ago

Dewji Blog

RC Singida ataka mipango madhubuti kulinda raslimali maji

DSC01334

Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizungumza kwenye ufunguaji wa warsha ya wadau kujadili rasimu ya mwisho ya taarifa ya mpango wa usimamizi na uendelezaji wa pamoja wa rasilimali za maji wa bodi ya maji ya bonde la kati, liyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Aquar Vitae hotel mjini Singida.

Na Nathaniel Limu, Singida

MKUU wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone ametoa wito kwa Wizara ya Maji na taasisi zake, kuhakikisha ngazi zote za jamii zinapata taarifa sahihi juu ya umuhimu wa...

 

9 years ago

StarTV

Wafanyabiashara soko la dagaa waiomba Serikali kuwawekea mipango madhubuti

Wafanyabiashara wa Dagaa nchini wameiomba Serikali kuweka mipango madhubuti ya kuimarisha soko la dagaa ndani na nje ya Tanzania ili kuwawezesha kujikwamua kiuchumi kupitia rasilimali hiyo.

Wamesema kwa sasa kuna ongezeko la uhijati wa dagaa katika maeneo mengi ikiwa ni pamoja na nje ya Tanzania, lakini bado wanakabiliwa na changamoto ya upataji wa masoko hayo ya nje kulingana na viwango vya kimataifa.

Jijini Dar Es Salaam, baadhi ya wafanyabiashara kutoka  mikoa inayovua dagaa kwa ajili ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Sera madhubuti ya gesi kuinyayua Tanzania

Mipawa to Ghana

Meneja wa kituo cha Kahama FM Redio, Marco Mipawa (kushoto) akielekea kukwea pipa kuelekea nchini Ghana kwenye ziara ya mafunzo ya wiki mbili. 

Na Marco Mipawa, Accra- Ghana

Tanzania inaweza kuwa nchi ya kwanza katika maendeleo ya uchumi iwapo itaweka sera madhubuti za uzalishaji wa Gesi na kuwa na viongozi wenye dhamira dhabiti ya kuiendeleza nchi na kuboresha maisha ya watu.

Haya yamebainishwa na Meneja wa Redio Kahama FM Marco Mipawa leo wakati akiendelea na ziara ya mafunzo nchini Ghana...

 

10 years ago

GPL

SERA MADHUBUTI YA GESI KUINYAYUA TANZANIA‏

Meneja wa kituo cha Kahama FM Redio, Marco Mipawa (kushoto) akielekea kukwea pipa kuelekea nchini Ghana kwenye ziara ya mafunzo ya wiki mbili. Na Marco Mipawa, Accra- Ghana Tanzania inaweza kuwa nchi ya kwanza katika maendeleo ya uchumi iwapo itaweka sera madhubuti za uzalishaji wa Gesi na kuwa na viongozi wenye dhamira dhabiti ya kuiendeleza nchi na kuboresha maisha ya watu. Haya yamebainishwa na Meneja wa Redio Kahama FM Marco...

 

11 years ago

Habarileo

Majirani kushiriki utajiri wa gesi

UTAFITI zaidi wa mafuta na gesi unaoendelea nchini, unaweza kuilazimu nchi kuingia katika makubaliano ya uzalishaji wa pamoja wa sehemu ya nishati hiyo na nchi za jirani. Taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa iliyowekwa hivi karibuni katika Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa, imefafanua kwa undani historia ya mafanikio ya sekta hiyo muhimu kwa maisha ya kiuchumi ya Watanzania na uwezekano huo katika siku za hivi karibuni. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, kuna baadhi ya miamba inayozalisha gesi...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Lowassa: Utajiri wa gesi uboreshe elimu


NA MWANDISHI WETU
MBUNGE wa Monduli, Edward Lowassa, amesema Tanzania inaweza kutumia utajiri mkubwa wa gesi iliyogunduliwa kwa ajili ya kuboresha sekta ya elimu.
Lowassa  ambaye aliwahi kuwa Waziri Mkuu, aliyasema hayo jana wakati akitoa salamu  katika Mkutano Mkuu wa 23 wa Kanisa la Kiinjili la Kirutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Mashariki Kati mjini Arusha.
Alisema utajiri wa gesi unaweza kutumika kuinusuru elimu kwa kuiboresha zaidi ili kuwakomboa vijana kuondokana na tatizo la...

 

11 years ago

Mwananchi

Wadau: Utajiri wa lugha ya Kiswahili ni zaidi ya gesi na madini

Kwa hali ilivyo nchini, kuna kila sababu ya kusema kuwa lugha ya Kiswahili imesuswa na wale waliopewa jukumu la kuiendeleza. Kibaya ni kuwa wanaofanya hivyo hawajui thamani ya lugha hiyo kwa maendeleo ya Tanzania kiutamaduni na hata kiuchumi.

 

11 years ago

Mwananchi

Utalii Mikindani umo ndani utajiri wa gesi Mikindani

Hadi sasa changamoto kubwa ambayo haijaweza kushughulikiwa ipasavyo ni kuhamisha mapato yanayotokana na utajiri wa madini kwenda kuimarisha sekta nyingine za uchumi, hasa zile ambazo zinaweza kushughulikiwa moja kwa moja na wananchi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani