Miradi ya Umeme kufikia asilimia 40-45 ikikamilika kwa wakati- Simbachawene
![](http://2.bp.blogspot.com/-CrABOyi8Vaw/VWBC9x9YtwI/AAAAAAAHZUk/7hvT4c4diSU/s72-c/Picha%2BN0.%2B2.jpg)
Asteria Muhozya, Dodoma
Waziri wa Nishati na Madini George Simbachawene amesema endapo utekelezaji wa Miradi ya Umeme Vijijini Awamu ya Pili, inayotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini kwa kushirikiana na Shirika la Umeme Nchini (TANESCO), itakamilika kama ilivyopangwa ifikapo Juni mwaka huu, itawezesha kufikikiwa asilimia 40-45 ya Vijiji na Miji iliyounganishwa na Huduma ya Umeme kwa upande wa Tanzania Bara.
Waziri Simbachawene ameyaeleza hayo wakati wa ziara yake katika Vijiji vya Mtitaa,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo27 Jan
Simbachawene, Mwijage wasema watasambaza umeme kwa kasi
WAZIRI wa Nishati na Madini, George Simbachawene na Naibu wake, Charles Mwijage waliripoti katika ofisi zao mpya jana na kuahidi kuwatumikia wananchi kwa uadilifu na kuhakikisha wanasambaza umeme vijijini kwa kasi.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JkxntoBjZD8/VP3YEwU41kI/AAAAAAAHJKA/apTB9qpP7Kk/s72-c/unnamed%2B(52).jpg)
MFUMUKO WA BEI WAONGEZEKA KIDOGO KUTOKA ASILIMIA 4.0 MWEZI JANUARI, 2015 HADI KUFIKIA ASILIMIA 4.2 MWEZI FEBRUARI, 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-JkxntoBjZD8/VP3YEwU41kI/AAAAAAAHJKA/apTB9qpP7Kk/s1600/unnamed%2B(52).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1nLQAkCBnRM/VP3YEy7eD4I/AAAAAAAHJKE/yuUUI8PmvSI/s1600/unnamed%2B(53).jpg)
10 years ago
Michuzi05 Jan
IPTL yashusha bei ya umeme kwa asilimia 20
Marekebisho hayo yaliyotumia...
9 years ago
Mwananchi04 Oct
Tanesco: Uzalishaji wa umeme umeshuka kwa asilimia 81
10 years ago
Habarileo15 Sep
Upatikanaji umeme vijijini wapaa kwa asilimia 18
UPATIKANAJI wa huduma za nishati ya umeme vijijini umeongezeka kutoka asilimia 2.5 mwaka 2007 hadi kufika asilimia 21, hivi sasa ikiwa ni juhudi za baada ya kuundwa kwa Wakala wa Nishati Vijijini (REA).
9 years ago
Habarileo28 Aug
Ufaulu kufikia asilimia 80
BAADA ya kupata mafanikio katika Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imedhamiria kuongeza kiwango cha ufaulu kwa shule za msingi na sekondari, kutoka asilimia 70 hadi 80 mwaka huu.
11 years ago
Habarileo30 Dec
‘Miradi ya umeme kwa maji kutoanzishwa’
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema serikali haitaanzisha miradi ya kufua umeme kwa njia ya maji nchini kutokana na nchi kukumbwa na ukame unaotokana na mabadiliko ya tabia nchi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UCit79H7F-Y/XqQRVACwsSI/AAAAAAALoKg/QigG3RYw3Wk2ksloYYWDoYgBldm8f1bwACLcBGAsYHQ/s72-c/1AA-3-768x384.jpg)
SHINYANGAYATAKIWA KUKAMILISHA MIRADI MIKUBWA KWA WAKATI
![](https://1.bp.blogspot.com/-UCit79H7F-Y/XqQRVACwsSI/AAAAAAALoKg/QigG3RYw3Wk2ksloYYWDoYgBldm8f1bwACLcBGAsYHQ/s640/1AA-3-768x384.jpg)
Katibu Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Eng. Joseph Nyamhanga kushoto, akimsikiliza Muhandisi wa Halmashauri ya Shinyanga Bw. William Lusiu kuhusu ujenzi wa Hospitali ya Wilaya hiyo jana alipofanya ziara ya Siku moja Mkoani Shinyanga kujionea miradi ya maendeleo inayoendelea Mkoani Shinyanga, katikati ni Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Bw. Albert Msovera.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2AA-5-1024x512.jpg)
Katibu Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Eng. Joseph Nyamhanga akifafanua jambo kwa waandishi wa habari kuhusu ujenzi...
10 years ago
StarTV09 Jan
Mfumuko wa bei ulipungua na kufikia asilimia 6.1 mwaka jana.
Na Immaculate Kilulya,
Dar Es Salaam.
Mfumuko wa bei wa Taifa mwaka jana umepungua na kufikia asilimia 6.1 kutoka wastani wa asilimia 7.9 mwaka 2013 kutokana na kupungua kwa bei za baadhi ya bidhaa za vyakula na zisizo za vyakula.
Miongoni mwa vyakula vilivyopungua ni Mahindi kwa asilimia 11.3, unga wa mahindi asilimia 7.6, Samaki asilimia 4, Ndizi za kupika asilimia 3.2, Mbogamboga asilimia 11.5, Mihogo asilimia 10.5 na Sukari asilimia 4.2.
Kwa upande wa baadhi ya bidhaa zisizo za...