Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Misemo ya bajaji Tanzania

Pikipiki za matairi matatu ama maarufu kwa jina la bajaji nchini Tanzania, zimekuwa ndio usafiri mkubwa mbadala wa umma katika jiji la Dar es Salaam. Kwa upande mwingine, pikipiki hizi zimekuwa njia mbadala ya kusambaza ujumbe mbalimbali kwa watu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Bajaji zenye misemo Tanzania

Pikipiki za matairi matatu ama maarufu kwa jina la bajaji nchini Tanzania, zimekuwa ndio usafiri mkubwa mbadala wa umma katika jiji la Dar es Salaam. Kwa upande mwingine, pikipiki hizi zimekuwa njia mbadala ya kusambaza ujumbe mbalimbali kwa watu.

 

10 years ago

Habarileo

Misemo ya Kikwete yatia fora bungeni

MISEMO na mifano aliyotoa Rais Jakaya Kikwete wakati anahutubia Bunge jana ilikuwa kivutio kikubwa kwa wabunge hao.

 

9 years ago

Mwananchi

Mingange aja na misemo Mbeya City

Baada ya kuendelea kupata matokeo yasiyoridhisha huku mashabiki wakija juu, kocha wa Mbeya City, Meja mstaafu, Abdul Mingange amewataka mashabiki kutulia kwani hata Roma haikujengwa kwa siku moja.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Dereva bajaji wanaotoa mafunzo ya Corona nchini Tanzania

Janga la Corona limesababisha mashirika mengi kuja na njia za ubunifu kufikisha ujumbe wa kulijinda na Corona kwa wananchi.

 

9 years ago

Vijimambo

TIMU BAJAJI YATIKISA KAHAMA


Team Bajaji ambao wanazunguuka nchi nzima kwa Bajaji Jana walikua kahama wakizungumza na vijana wa Soko kuu la kahama na badae kuungana na Kishimba mgombea Ubunge wa Jimbo la Kahama Mjini kupitia CCM.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Magari yaua dereva wa bajaji, pikipiki

DEREVA wa bajaj, Frank Satrun (26), mkazi wa Mikocheni jijini Dar es Salaam, amefariki dunia juzi baada ya kugongwa na gari. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura, alisema...

 

10 years ago

Mwananchi

Keissy: Ubunge ukiisha mtapanda bajaji

Mbunge wa Nkasi Kaskazini, Ally Keissy (CCM) jana alisababisha tena vicheko bungeni wakati aliposema kuwa wabunge wanaomba viwanja vya ndege vijengwe katika maeneo wanayotoka, wanafanya hivyo kujifurahisha kwa kuwa baada ya ubunge hawatakuwa na uwezo wa kupanda ndege badala yake watapanda mabasi na bajaji.

 

5 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA MAZIWA YA ASAS WAWADHAMINI BAJAJI



Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi akikata utepe kuzindua uandikishwaji wa madereva bajaji kuweza kukata bima ya afya ambapo wamedhaminiwa na kampuni ya maziwa ya Asas ambapo mkurugenzi wake Ahmed Salim Abri akiwa pembeni mwa kushoto kwal Lukuvi.Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi akimkabidhi cheti cha...

 

10 years ago

Mwananchi

Usajili wa pikipiki, bajaji unahitaji umakini

Hatua ya Serikali ya kuweka mfumo mpya wa usajili wa namba za pikipiki na bajaji ni ya kupongeza ingawa imekuja ikiwa imechelewa. 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani