Misemo ya bajaji Tanzania
Pikipiki za matairi matatu ama maarufu kwa jina la bajaji nchini Tanzania, zimekuwa ndio usafiri mkubwa mbadala wa umma katika jiji la Dar es Salaam. Kwa upande mwingine, pikipiki hizi zimekuwa njia mbadala ya kusambaza ujumbe mbalimbali kwa watu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili13 Aug
Bajaji zenye misemo Tanzania
10 years ago
Habarileo10 Jul
Misemo ya Kikwete yatia fora bungeni
MISEMO na mifano aliyotoa Rais Jakaya Kikwete wakati anahutubia Bunge jana ilikuwa kivutio kikubwa kwa wabunge hao.
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Mingange aja na misemo Mbeya City
5 years ago
BBCSwahili26 Jun
Virusi vya corona: Dereva bajaji wanaotoa mafunzo ya Corona nchini Tanzania
9 years ago
VijimamboTIMU BAJAJI YATIKISA KAHAMA
Team Bajaji ambao wanazunguuka nchi nzima kwa Bajaji Jana walikua kahama wakizungumza na vijana wa Soko kuu la kahama na badae kuungana na Kishimba mgombea Ubunge wa Jimbo la Kahama Mjini kupitia CCM.
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
Magari yaua dereva wa bajaji, pikipiki
DEREVA wa bajaj, Frank Satrun (26), mkazi wa Mikocheni jijini Dar es Salaam, amefariki dunia juzi baada ya kugongwa na gari. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura, alisema...
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Keissy: Ubunge ukiisha mtapanda bajaji
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-a0LTFSQKA8Q/XlgtZ6GmuJI/AAAAAAALfvY/xvF1n2dC26QXzs3mvEbW0eRd60GSAtdaACLcBGAsYHQ/s72-c/ahmed-2.jpg)
KAMPUNI YA MAZIWA YA ASAS WAWADHAMINI BAJAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-a0LTFSQKA8Q/XlgtZ6GmuJI/AAAAAAALfvY/xvF1n2dC26QXzs3mvEbW0eRd60GSAtdaACLcBGAsYHQ/s640/ahmed-2.jpg)
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi akikata utepe kuzindua uandikishwaji wa madereva bajaji kuweza kukata bima ya afya ambapo wamedhaminiwa na kampuni ya maziwa ya Asas ambapo mkurugenzi wake Ahmed Salim Abri akiwa pembeni mwa kushoto kwal Lukuvi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/ahmed-3.jpg)
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Usajili wa pikipiki, bajaji unahitaji umakini