MJUE MBWIGA WA MBWIGUKE,FUNDI SELEMALA ALIYELAMBA DUME NDANI YA REDIO CLOUDS FM
![](http://1.bp.blogspot.com/-z8CpHhJyMco/U9qebUZ0HyI/AAAAAAAA-Uw/MhY3xSDkUYY/s72-c/bwiga.jpg)
Rais Dkt. Jakaya Kikwete akipozi katika picha na Mbwiga wa Mbwiguke wa Clouds fm (kulia)
Na Maregesi Paul
SIKU moja nilikuwa katika mkutano wa Jukwaa la Wahariri ambao mgeni rasmi alikuwa Mwenyekiti wa Kampuni za IPP, Reginard Mengi.Katika mazungumzo yake, Mengi aligusia historia ya maisha yake ambapo alisema alikulia katika familia masikini.Kwa mujibu wa Mengi, nyumba aliyokulia ilikuwa na panya wengi pamoja na mende na kwamba kila walipokuwa wakilala usiku, wapita njia walikuwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-m_4yaANm3NQ/XvhSbnpNLEI/AAAAAAALvxQ/L2mARfGUE34Yut2ulyBDVmmB4ZdzDXL6ACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B11.13.23%2BAM.jpeg)
ALICHOKISEMA WAZIRI JAFO KWA RAIS DK.MAGUFULI KUHUSU KISARAWE, ASEMA YEYE NI FUNDI SELEMALA
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Selemeani Jafo amemshukuru Rais Dk.John Magufuli kwa kumuamini na kumteua kwenye nafasi hiyo ya uwaziri licha yeye ni fundi selemala huku akimhakikishia kuendelea kufanya kazi kwa juhudi zake.
Jafo amesema hayo leo Juni 27,2020 wakati wa uzinduzi wa mradi wa maji wilayani Kisarawe ambapo Rais Magufuli ameuzindua rasmi na hivyo kutatua changamoto ya tatizo la maji ambalo limewakabili kwa...
10 years ago
Mtanzania21 Feb
Kusaga- Redio Clouds haiuzwi
Na Hamisa Maganga, Dar es Salaam
MKURUGENZI Mtendaji wa Clouds Media Group, ambayo inamiliki Kituo cha Redio cha Clouds, Joseph Kusaga, amesema taarifa zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii zinazoeleza kuwa redio hiyo imeuzwa kwa mfanyabiashara mwenye ukwasi mkubwa hapa nchini, Rostam Aziz, siyo za kweli.
Kusaga aliyasema hayo jana, wakati akizungumza na MTANZANIA Jumamosi kuhusu kusambaa kwa taarifa hizo na kueleza kuwa habari hizo ni uzushi unaopaswa kupuuzwa. Kusaga alisema taarifa za...
11 years ago
CloudsFM07 Aug
CLOUDS FM YATAJWA REDIO BARA 20 AFRIKA
Clouds fm imetajwa katika listi ya redio 20 bora za barani Afrika, kwa mujibu wa mtandao wa network africa, asanteni sana jamani tunajua kuwa hii nguvu ya waskilizaji na wadau wetu bofya hapo ushuhudie..http://www.networkafrica.com/top-20-best-radio-stations-africa/
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HMrNkLH2ZKOiB5Lt1P0mTPehGHSOiJLTqlcTMd9K2V*yL7UKgozyETdiA9sznS6LGjSYcS1BC72SzOLKoIOUd0uMRbcF6RLv/Fundi.jpg?width=650)
FUNDI MIAVULI AFIA NDANI KWAKE, AHARIBIKA!
11 years ago
Michuzi05 Aug
KITUO CHA REDIO 5 NDANI YA VIWANJA VYA 8 8 JIJINI ARUSHA
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/Ey6_1jC1e0Hbf1AuiW0N08rsgMhP-WQd0GnzyCNB2vdDbLTowzua9RXkoeCAdXcFM3F9DFny0fvrFuoDIubrF_SCVyXEk_jiaxgtIMLES_SaEJ92TWyIfKVdodKLpVRJrC_DTgsP0lvyENThUQuORmCADqmQbmFllT_4CA=s0-d-e1-ft#https://scontent-b.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/t1.0-9/10533906_787774157941732_6171184658367640784_n.jpg)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/bReVNKQ7i5ZtX9GfB0zy-_xoNdWkDORukQjCK5lpux0GULVQlqcUcpVix8AptF8Rq8UOrLfbZbGAF1uEIih0Vl0BNB_uORjlfSRGtrbpDJZe7nKSJNwP85VdcHbQ-tK0b0gvPiRmc4xlpCNnIc7_tpsEfUmOdVvVKbhtMg=s0-d-e1-ft#https://scontent-b.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/t1.0-9/10525863_787774277941720_1649986858832343868_n.jpg)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/rtgJMu8No2TzgTR8z_tpeSfOsO2l_a05Up896Ltx6THdjo122MNkXCWZPGMugS8B0FAHxWJXOCfZY32PhTwjgPc41K16rJO9qsia6Rpzh-9fytYZhzTh_x65_IlcRfvlZ90JQgfwDYD1aeucng3u6olF6RovFaGLEc_7ctmF16ehVDalnHkn5DLk-JdwPuFM9rjc-5JUbrXdblLue62vJkp7_qiHowLCvwjvt4ZAfw=s0-d-e1-ft#https://scontent-b.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/10348594_787773937941754_1552291046139374602_n.jpg?oh=fc957a7722bfa177821ffde96c402281&oe=543AAD2F)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/oKpWthSsERUkvLc8GWkkzEdsPtLlhR35LzaV8CHhbeVD0jLAQSb4XDQ2Ld6dlARYDOE5mCsAPyws8r4KOqPMCx1k86sMjVb5FHTQaskh1a9GG3kkD5hLs27zOaprlbpnAawWhgYsIgbtZ8pbAbAan6ro-Ut1Vxjo2o7BaQOKsm5cy2jNgNfGf_575T6NsDs=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xaf1/t1.0-9/s526x296/10455356_787773727941775_2801812013228693007_n.jpg)
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-LdKMMlojVkM/VUD8UurMTDI/AAAAAAAHUHQ/R8yFGHMOszc/s1600/ZARI%26DIAMOND-Excl-Interview-FIN.jpg)
9 years ago
Vijimambo20 Aug
JANET SOSTHENES MWENDA NA UJIO MPYA WA 'TUWALINDE WATOTO WETU' NDANI YA CLOUDS TV
![mwenda](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/mwenda.jpg)
![Mmiliki-na-Mweneshaji-wa-kipindi-cha-Ongea-na-Janet-Bi.-Janet-Sosthenes-Mwenda.](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/Mmiliki-na-Mweneshaji-wa-kipindi-cha-Ongea-na-Janet-Bi.-Janet-Sosthenes-Mwenda..jpg)
“..KAA TAYARI KWA UJIO WA KIPINDI HIKI KIPYA, UNGANA NA JANET KUWALINDA WATOTO WETU!”
![Dada Janet Sosthenes Mwenda wa Ongea na Janet akicheza mpira na watoto.](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/Dada-Janet-Sosthenes-Mwenda-wa-Ongea-na-Janet-akicheza-mpira-na-watoto..jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Nov
Skylight Band yaendelea kulamba dume kwa mashabiki wake jijini Dar ndani ya kiota cha Thai Village
Majembe ya Skylight Band yakiporomosha burudani kwa mashabiki wake Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar. Kutoka kushoto ni mkongwe kwenye muziki wa dansi Joniko Flower a.k.a Baba lao, Sony Masamba a.k.a Fally Ipupa wa Bongo na Sam Mapenzi.
Pichani juu na chini ni mashabiki nao wakijibu mapigo ya sebene lililokuwa likiporomoshwa na majembe ya Skylight Band.
Kutoka kushoto ni mkongwe kwenye muziki wa dansi Joniko Flower a.k.a Baba lao, Sony Masamba a.k.a Fally...