FUNDI MIAVULI AFIA NDANI KWAKE, AHARIBIKA!
![](http://api.ning.com:80/files/HMrNkLH2ZKOiB5Lt1P0mTPehGHSOiJLTqlcTMd9K2V*yL7UKgozyETdiA9sznS6LGjSYcS1BC72SzOLKoIOUd0uMRbcF6RLv/Fundi.jpg?width=650)
Na Waandishi Wetu Wakazi wa Mtoni Kwa Aziz Ally, jijini Dar, wiki iliyopita walipatwa na mshangao baada ya mzee mmoja, Hamisi Mzee Hamisi kukutwa chumbani kwake akiwa amefariki dunia.Mzee huyo ambaye alikuwa ni fundi miavuli maeneo ya Kariakoo, inadaiwa hakuonekana nyumbani kwake kwa siku sita mfululizo huku mlango wake ukiwa wazi. “Kilichotushitua majirani ni harufu kali iliyokuwa ikitokea eneo la usawa wa nyumba ya mzee...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Oct
Fundi afia nyumba ya wageni
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0JM2umRWL9d75HUfGEsnMb9LnVYJs1GdIDFWvy0ivr83yO3lRjZTjX9plQMUDoLc1isvapOQHCvCCASZxrhxS5w2cHOmONqt/Afaaz.jpg?width=650)
MUME WA MTU AFIA UKWENI KWAKE
11 years ago
Habarileo08 Apr
Mwanafunzi afia ndani ya karo la maji
MWANAFUNZI wa darasa la nne shule ya msingi Mji Mpya aliyetambuliwa kwa jina la Doris Samwel (10) amekutwa amekufa ndani ya karo la maji. Maiti ya mwanafunzi huyo ilikutwa jana saa 2:00 asubuhi maeneo ya Majohe Viwege, Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-z8CpHhJyMco/U9qebUZ0HyI/AAAAAAAA-Uw/MhY3xSDkUYY/s72-c/bwiga.jpg)
MJUE MBWIGA WA MBWIGUKE,FUNDI SELEMALA ALIYELAMBA DUME NDANI YA REDIO CLOUDS FM
![Kikwete na mtangazaji wa Cloud FM Mbwiga Mbwiguke](http://darcitycenter.com/wp-content/uploads/2014/07/Kikwete-na-mtangazaji-wa-Cloud-FM-Mbwiga-Mbwiguke.jpg)
Na Maregesi Paul
SIKU moja nilikuwa katika mkutano wa Jukwaa la Wahariri ambao mgeni rasmi alikuwa Mwenyekiti wa Kampuni za IPP, Reginard Mengi.Katika mazungumzo yake, Mengi aligusia historia ya maisha yake ambapo alisema alikulia katika familia masikini.Kwa mujibu wa Mengi, nyumba aliyokulia ilikuwa na panya wengi pamoja na mende na kwamba kila walipokuwa wakilala usiku, wapita njia walikuwa...
11 years ago
Habarileo14 May
Afa, aharibika nyuma ya Kituo cha Polisi
MKAZI wa Kijiji cha Lubungo wilayani Mvomero, Juma Mbega, amekutwa amekufa na mwili wake kuharibika nyuma ya Kituo Kikubwa cha Polisi mkoani Morogoro.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8tR2gS2anfk/UyVq7tA4DHI/AAAAAAAFT8Y/bbsuU3N-MDw/s72-c/unnamed+(34).jpg)
VODACOM TANZANIA YATOA MSAADA YA MIAVULI 20 KWA JESHI LA USALAMA BARABARANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-8tR2gS2anfk/UyVq7tA4DHI/AAAAAAAFT8Y/bbsuU3N-MDw/s1600/unnamed+(34).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-00ZePkSU4hQ/UyVq9UxULLI/AAAAAAAFT8g/i11wBm8KhPg/s1600/unnamed+(36).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MrlGLAUr05c/UyVq_UvVWTI/AAAAAAAFT8o/AKrSWHBrNVw/s1600/unnamed+(33).jpg)
9 years ago
MichuziUJUMBE WA KAMPUNI YA POLY TECHNOLOGIES, INC. YA CHINA WAMTEMBELEA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI , MHE. MATHIAS CHIKAWE OFISINI KWAKE
10 years ago
Tanzania Daima28 Aug
Mtoto afia kisimani
WATU wawili wamefariki dunia katika matukio mawili tofauti jijini Dar es Salaam, likiwemo la mtoto Susan Shadrack (2) mkazi wa Majohe Kivule aliyetumbukia kisimani. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/g7CYaJh1SvJPc38*i0KJuEoUAtpWN-z40kVTrzteGWoH77PVmWVhvrv7iAhF71v2DSBNxwdRzbjbH6kdu3xz1U0MRo2C57tm/Newfolder.jpg?width=650)
TAJIRI AFIA GESTI ARUSHA