Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mjumbe: Wanasiasa wamenisikitisha

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Rispa Miguma kutoka kundi la wateule 201 wa Rais, amesema kwa anayoyaona bungeni, hawezi hata siku moja kutamani kuwa mwanasiasa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mtawa amtusi mjumbe wa UN

Kiongozi huyo wa kibudha Ashin Wirathu alimtusi mjumbe wa Umoja wa Mataifa aliyekuwa anazuru Myanmar kwa kumuita ''Kahaba'' na ''Mbwa''

 

10 years ago

Mwananchi

Ushuhuda wa Mjumbe wa Bunge la Katiba

Ningependa niandike simulizi za siku chache kabla ya upigaji kura namna ambavyo hali ngumu ilivyotukabili sisi watu saba ambao tuliamua kupiga kura ya hapana tena ya wazi, jinsi Wazanzibari wenzetu walivyotuchukulia kwa mtazamo tofauti kutoka nyumbani Zanzibar baadhi ya vijana walichapisha vipeperushi na kuvisambaza kwenye mitandao ya kijamii wakitutaka turudi nyumbani na kutuita wasaliti.

 

10 years ago

Mwananchi

Bungeni wasipelekwe mbumbumbu-Mjumbe

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Deogratias Ntukamazina amewataka wenzake kuunga mkono Rasimu ya Katiba inayotaka kiwango cha chini cha elimu kwa wagombea ubunge kuwa kidato cha nne ili kuepuka kuingiza mambumbumbu bungeni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mjumbe alilia Ipad bungeni

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wameendelea kutoa vioja kwa kuibua hoja ikiwemo ile ya kutaka simu za Ipad zenye uwezo mkubwa wa kufanya shughuli mbalimbali za kimawasiliano.  Aliyetoa wazo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mjumbe apinga posho zaidi

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ally Keissy, amewashambulia wajumbe wenzake wanaotaka kuongezewa posho kwa madai hawawaonei huruma wananchi wengi wasio na uhakika wa mlo wa siku. Alisema ni jambo...

 

11 years ago

Mwananchi

Mjumbe ‘feki’ kukatwa mshahara

Ofisi ya Bunge la Katiba, imemwandikia barua mwajiri wa Amina Mweta, ambaye alisaini posho ya Bunge hilo ili akatwe posho aliyoichukua katika mshahara wake.

 

11 years ago

Habarileo

Mjumbe amwaga machozi Bungeni

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba na Kadhi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Shehe Hamid Masoud Jongo jana alimwaga machozi bungeni kwa kile alichodai ni masikitiko yake kuona waasisi wa Taifa wanatukanwa na vijana wadogo wajumbe wa Bunge hilo.

 

11 years ago

Habarileo

Mjumbe Bunge la Katiba afukuzwa

MJUMBE wa Bunge la Katiba, Rashid Yussuf Mshenga amefukuzwa uanachama wa Chama cha Wakulima (AFP). Kitendo hicho kimefanywa na Mwenyekiti wa chama hicho, Said Soud. Hata hivyo, Mshenga amepinga kitendo hicho na kudai ni matokeo ya wivu wa maendeleo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mjumbe aishambulia Tume ya Warioba

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Assumpta Mshama, ameishambulia Tume ya Mabadiliko ya Katiba na kusema kuwa licha ya usomi wa wajumbe waliopo, lakini wameandaa kitu ambacho kinataka kuwagawa Watanzania....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani