Mjumbe: Wanasiasa wamenisikitisha
Mjumbe wa Bunge la Katiba, Rispa Miguma kutoka kundi la wateule 201 wa Rais, amesema kwa anayoyaona bungeni, hawezi hata siku moja kutamani kuwa mwanasiasa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili22 Jan
Mtawa amtusi mjumbe wa UN
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Ushuhuda wa Mjumbe wa Bunge la Katiba
10 years ago
Mwananchi12 Sep
Bungeni wasipelekwe mbumbumbu-Mjumbe
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
Mjumbe alilia Ipad bungeni
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wameendelea kutoa vioja kwa kuibua hoja ikiwemo ile ya kutaka simu za Ipad zenye uwezo mkubwa wa kufanya shughuli mbalimbali za kimawasiliano. Aliyetoa wazo...
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
Mjumbe apinga posho zaidi
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ally Keissy, amewashambulia wajumbe wenzake wanaotaka kuongezewa posho kwa madai hawawaonei huruma wananchi wengi wasio na uhakika wa mlo wa siku. Alisema ni jambo...
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Mjumbe ‘feki’ kukatwa mshahara
11 years ago
Habarileo25 Apr
Mjumbe amwaga machozi Bungeni
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba na Kadhi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Shehe Hamid Masoud Jongo jana alimwaga machozi bungeni kwa kile alichodai ni masikitiko yake kuona waasisi wa Taifa wanatukanwa na vijana wadogo wajumbe wa Bunge hilo.
11 years ago
Habarileo25 Feb
Mjumbe Bunge la Katiba afukuzwa
MJUMBE wa Bunge la Katiba, Rashid Yussuf Mshenga amefukuzwa uanachama wa Chama cha Wakulima (AFP). Kitendo hicho kimefanywa na Mwenyekiti wa chama hicho, Said Soud. Hata hivyo, Mshenga amepinga kitendo hicho na kudai ni matokeo ya wivu wa maendeleo.
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
Mjumbe aishambulia Tume ya Warioba
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Assumpta Mshama, ameishambulia Tume ya Mabadiliko ya Katiba na kusema kuwa licha ya usomi wa wajumbe waliopo, lakini wameandaa kitu ambacho kinataka kuwagawa Watanzania....