Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkakati wangu umeniondoa Yanga-Maximo

Kocha Marcio Maximo amesema hana kinyongo na uamuzi wa uongozi wa Yanga kumuondoa, ingawa umefuta ghafla mkakati wa kutaka klabu hiyo iendeshwa kwa weledi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Yanga yaweka mkakati

Yanga-vs-Etoile-du-Sahel-1-e1429432765972ABDUCADO EMMANUEL NA JENNIFER ULLEMBO, DAR

WAWAKILISHI pekee wa Tanzania katika michuano ya kimataifa timu ya Yanga chini ya kocha wao, Hans van Pluijm wamewawekea mkakati mzito wapinzani wao Etoile du Sahel ya Tunisia kwenye Kombe la Shirikisho Afrika, lengo ni kuing’oa kwenye michuano hiyo.

Moja ya mkakati huo ni Pluijm kupanga kuwatumia marafiki zake wa Tunisia kuhakikisha anapata taarifa zao za kina ikiwemo kujua udhaifu wao.

Yanga iliyolazimishwa sare ya bao 1-1 nyumbani na Watunisia...

 

11 years ago

TheCitizen

Maximo says Yanga are going places

He might have stayed with the team for two weeks only, but Young Africans head coach Marcio Maximo, is optimistic that the Jangwani Street outfit is going places.

 

10 years ago

Mtanzania

Maximo: Nawaangalia tu Yanga

???????????????????????????????

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM,
IKIWA ni siku tano sasa zimepita tangu Yanga kutangaza kuachana na Kocha Mbrazil Marcio Maximo, kocha huyo amesema anawaangalia na kuwasikiliza viongozi wa timu hiyo ambao hadi sasa hawajampa barua ya kuvunja mkataba wake.
Kwa sasa, Maximo yupo katika hali ya sintofahamu kutokana na wiki nzima hii magazeti mbalimbali kuripoti juu ya klabu ya Yanga kumtema bila kumpa barua yoyote mpaka sasa.
Kocha huyo aliyejizolea sifa wakati akiwa na Timu ya Taifa ya...

 

11 years ago

TheCitizen

Yanga will be like TP Mazembe, says Maximo

Former National soccer team, Taifa Stars head coach, Marcio Maximo, has said his task ahead is to make Young Africans Sports Club a strong side like TP Mazembe of the Democratic Republic of Congo (DRC).

 

11 years ago

GPL

Yanga yampa Maximo wachezaji 60

Kocha Mbrazili, Marcio Maximo. Na Mwandishi Wetu
KOCHA anayetarajiwa kujiunga na Yanga kama mambo yatakwenda vizuri, atapewa takribani wachezaji 60 wawe chini ya himaya yake. Uongozi wa Yanga kupitia kamati yake ya mashindano, umechukua uamuzi wa kumkabidhi Maximo timu kubwa pamoja na ile ya vijana chini ya miaka 20.
Uamuzi huo unatokana na historia ya Maximo ambaye alikuza vijana wengi wakati akiwa kocha wa timu ya taifa,...

 

11 years ago

Mwananchi

Maximo amleta Coutinho Yanga

>Kocha mpya wa Yanga, Marcio Maximo amefungua ukurasa mpya na kipa Juma Kaseja na kuiaidi   kuing’arisha timu hiyo kimataifa kama ilivyo TP Mazembe, wakati kiungo Mbrazili, Andrey Coutinho akitua nchini jana tayari kujiunga na vigogo hao.

 

10 years ago

Mtanzania

Maximo basi tena Yanga

Kocha-wa-Timu-ya-Club-ya-Yanga-Maxio-MaximoNA MWANDISHI WETU, DAR ES SAALAM,

UONGOZI wa klabu ya Yanga umeamua kukatisha mkataba wake na kocha wa timu hiyo, Mbrazil Marcio Maximo kuanzia sasa ukiwa ni uamuzi ulioafikiwa katika kikao kilichofanyika juzi Hoteli ya Protea, jijini Dar es Salaam.
Kikao hicho kimekaa siku moja baada ya timu hiyo kuchapwa bao 2-0 na watani wao wa jadi, Simba katika mchezo wa Nani Mtani Jembe uliofanyika mwishoni mwa wiki Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Maximo anaondolewa katika kikosi hicho akiwa...

 

11 years ago

GPL

MAXIMO ACHOTA SH 371M YANGA

Kocha Mkuu wa Frankana, Mbrazili, Marcio Maximo. Na Wilbert Molandi
JUMLA ya shilingi milioni 371 zinatakiwa kutumiwa na Yanga kwa ajili ya kukamilisha kumleta Kocha Mkuu wa Frankana, Mbrazili, Marcio Maximo.
Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji ndiye anabeba jukumu hilo la kumwaga mamilioni hayo ya fedha ili kumpata Maximo, kocha wa zamani wa timu ya taifa, Taifa Stars.
Mbrazili huyo aliwahi kuifundisha timu ya taifa, Taifa...

 

10 years ago

Vijimambo

MARCIO MAXIMO AONDOKA YANGA

Habari rasmi toka ndani ya klabu ya Yanga zinasema kuwa kocha Mbrazil Marcio Maximo ameondoka ndani ya klabu hiyo .
Habari hizi zinakuja dakika chache baada ya Millardayo.com kuripoti tetesi zinazohusu8 mustakabali wa kocha huyo Mbrazil.Maximo anaondoka Yanga baada ya uongozi wa klabu hiyo kukubaliana naye kuvunja mkataba wake baada ya kushindwa kuelewana juu ya jinsi ya kuiendesha klabu hiyo kwenye masuala ya ufundi .
Yanga ilishikilia msimamo wa kumuajiri mkurugenzi wa ufundi ambaye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani