Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkasi | S11E02 With Said Fella

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Manji akatwa, Fella apeta

MWENYEKITI wa klabu ya Yanga, Yusuf Manji ameenguliwa kuwania kugombea nafasi ya udiwani kata ya Mbagala Kuu huku msimamizi wa kazi za wasanii Saidi Fella akipitishwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Manji, Fella washinda Mbagala

Wadau wawili wa michezo na burudani nchini; Yusuf Manji na Said Fella wameibuka kidedea katika kinyang’anyiro cha udiwani katika jimbo jipya la Mbagala jijini hapa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mkubwa Fella kustaafu muziki

MENEJA wa Kundi la Temeke Wanaume Family, Said Fella ‘Mkubwa Fella’ amesema wakati wake wa kujihusisha na masuala ya muziki anaona umefika mwisho, hivyo anataka kutoa nafasi kwa wengine. Akizungumza...

 

9 years ago

Michuzi

WASANII WAMUUNGA MKONO SAID FELLA

 Mgombea wa nafasi ya udiwani katika kata ya Kilungule Said Fella (kushoto) akiteta jambo  na mgombea wa nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Mbagala Issa Mangungu, wakati wa uzinduzi wa kampeni za udiwani ambazo zimezinduliwa jana.Msanii Richard  Maviko, (katikati) akiwa na wasanii wenzake  wakitoa salamu maalum ya kumuunga mkono mgombea wa udiwani katika Kata ya Kilungule Said Fella, ambaye  amezindua rasmi kampeni katika kata hiyo.Msanii wa muziki wa kizazi kipya Lameck Ditto akiongea kwa...

 

9 years ago

Mtanzania

Kampeni za Fella burudani zatawala

felaWAKALI wa muziki wa Bongo Fleva, juzi walifunga kampeni za mgombea udiwani wa Kata ya Kilungule, Mbagala, jijini Dar es Salaam, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Said Fella kwa kupagawisha wakazi wa eneo hilo kwa onyesho la aina yake.

Shamra shamra za wakazi wa eneo hilo zilianza baada ya kusikika uwepo wa wasanii maarufu na wenye majina
makubwa nchini akiwemo, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’, Nurdin Bilal ‘Shetah’, Hamis Mwinjuma ‘Fa’, kundi la Yamoto na wengine wengi.

Baadhi ya wasanii...

 

9 years ago

Bongo5

Said Fella anasimamia wasanii 102

Said Fella anasimamia kijiji kizima cha wasanii! Kwa mujibu muasisi huyo wa Mkubwa na Wanawe, wasanii waliopo chini yake ni takriban 102. Hiyo kwa ni changomoto kubwa kama alivyokiambia kipindi cha Clouds E cha Clouds TV. “Sasa hivi wakati mchanga bado hajatoka humuoni mtu yeyote anayejitokeza, humuoni ndugu yake wala nani,” alisema. “Changamoto nyingine msanii […]

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani