Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MKE WA TYSON ATAKA MALI ZAKE!

Stori: ShanI Ramadhani na Mayasa Mariwata
Wakati hata siku arobaini hazijatimia, mke wa marehemu George Otieno ‘Tyson’, Beatrice Shayo juzi alicharukia mali zake baada ya kuamua kutinga nyumbani kwa marehemu, Mbezi Makonde jijini Dar kwa lengo la kuchukua kila kinachomhusu. Mke wa marehemu George Otieno ‘Tyson’, Beatrice Shayo. Mdada huyo aliyefunga ndoa na Tyson Agosti 9, 2012 nchini Kenya na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MKE WA TYSON ASHINDA MIRATHI

Mke wa muandaaji mahiri wa filamu George Tyson, Beatrice Shayo. Stori: Mayasa Mariwata na Hamida Hassan
MKE wa muandaaji mahiri wa filamu George Tyson, Beatrice Shayo amefanikiwa kushinda kesi na kuwa msimamizi wa mirathi baada ya mtafaruku mkubwa uliotokea wa kugombea mali na mwanadada aliyekuwa akiishi na msanii huyo kipindi cha mwisho cha uhai wake, Lucy Sepetu. Akizungumzia ishu hiyo Beatrice alisema anashukuru Mungu...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mke wa George Tyson ashinda mirathi.

Mke wa muandaaji mahiri wa filamu George Tyson, Beatrice Shayo amefanikiwa kushinda kesi na kuwa msimamizi wa mirathi baada ya mtafaruku mkubwa uliotokea wa kugombea mali na mwanadada aliyekuwa akiishi na msanii huyo kipindi cha mwisho cha uhai wake, Lucy Sepetu.

Akizungumzia ishu hiyo Beatrice alisema anashukuru Mungu amempigania maana ndugu wengi wa mume hawakuwa upande wake, wengi wao walimuunga mkono Lucy lakini Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni imempitisha kuwa msimamizi wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mke wa zamani wa Mandela adai mali yake

Mke wa zamani wa hayati Nelson Mandela, anataka watoto wake wapewe nyumba ya marehemu iliyoko kijijini Qunu

 

10 years ago

Michuzi

JE WAJUA MGAWANYO WA MALI NDOA YA MKE ZAIDI YA MMOJA INAPOVUNJIKA?.

Na Bashir Yakub.
Kipindi cha nyuma wakati nikieleza masuala ya sheria za ndoa niliwahi kueleza utaratibu wa mgawanyo wa mali iwapo ndoa inavunjika. Kimsingi nilieleza mgawanyo wa mali katika msingi wa uwepo wa ndoa ya mke mmoja. Sikuwahi kueleza mgawanyo wa mali iwapo ndoa ni ya mke zaidi ya mmoja. Wengi waliuliza swali hili ambapo baadhi niliwajibu na baadhi sikuwajibu. Leo sasa nitaeleza mgawanyo wa mali ...

 

10 years ago

GPL

UKIJIFOSI KUMPENDA KISA MALI, PESA ZAKE, IMEKULA KWAKO!

Wakati fulani huwa najiuliza kwa nini tunakuwa na wapenzi, kwa nini mapenzi yakawepo? Kwa nini tunaoa ama kuolewa? Kwa nini baadhi ya watu huamua kujinyonga baada ya kuachwa na wapenzi wao? Kwa nini mapenzi yamekuwa sehemu ya maisha yetu? Kwa nini mapenzi yameharibu baadhi ya maisha ya watu? Huwa najiuliza maswali mengi yenye kwa nini, yakihusisha mapenzi. Kwa ujumla kama nilivyo na maswali mengi, majibu pia yamekuwa mengi. Kwa...

 

10 years ago

GPL

JUSTIN BIEBER SASA ATAKA MKE WA KUOA

Staa wa muziki wa Pop nchini marekani, Justin Bieber. New York,Marekani
UNAWEZA kusema sasa Justin Bieber amekuwa hii ni baada ya kutamka wazi kuwa anahitaji mwanamke ambaye anajiamini na mwaminifu ili aweza kuishi naye katika maisha yake baadaye. Justin Bieber akiwa na rafiki yake Jayde Pierce.
Hii ni kutokana na star huyo kuwa karibu na mwamitindo Jayde Pierce (19)  ambaye hivi karibuni  wamekuwa wakiongozana...

 

5 years ago

Michuzi

Aua wakwe zake (mme na mke) kwa tuhuma za ushirikina



Aua wakwe zake (mme na mke) kwa tuhuma za ushirikina

Na Amiri kilagalila,Njombe

Kijana aliyejulikana kwa jina la Patrick Ngailo mkazi wa Mlangali wilayani Ludewa mkoani Njombe,anashikiliwa na jeshi la Polisi kwa tuhuma za mauaji ya wakwe zake (mme na mke) akiwatuhumu ni washirikina wanaomsababishia maradhi ya mara kwa mara.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Njombe Hamis Issa amesema kijana huyo alitenda kosa hilo katika kijijji hicho June 8,2020 majira ya saa moja jioni lakini wananchi kwa...

 

9 years ago

Bongo5

Mabeste kumtumia mke wake kwenye video zake zote zinazokuja

Rapper Mabeste amesema baada ya mke wake Lisa kufanya vizuri katika video ya wimbo wake ‘Usiwe Bubu’ ameona haina sababu ya kumtafuta mtu mwingine katika kazi zake zote zinazokuja. Akizungumza na kipindi cha Planet Bongo cha EATV, Mabeste alisema hata ikitokea scene ya ujambazi bado itachezwa na mke wake. “Hakuna video itakayotoka bila mke wangu […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Bieber ataka picha zake za uchi kuondolewa mtandaoni

Mawakili wa msanii wa muziki wa Pop Justin Bieber wanataka picha zote za utupu za msanii huyo kuondolewa katika mitandao mara moja.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani