Mkurugenzi Kinondoni asimamishwa
KATIBU Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Jumanne Sagini amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Babati mkoani Manyara, Mussa Natty.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Vml-j6I259M/VS-6BLCS6aI/AAAAAAAHRh4/OTiLpYWWqDU/s72-c/unnamedb1.jpg)
MKURUGENZI MTENDAJI TRL ASIMAMISHWA KAZI KWA TUHUMA ZA MALIPO KINYUME CHA MKATABA
MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Reli nchini(TRL),Mhandisi Kapallo Kisamfu amesimamishwa kazi kupisha uchunguzi wa malipo ya Sh. Bilioni 230 ya mabehewa ya Mizigo yenye kasoro pamoja na kufanya malipo ya mabehewa yote kabla ya kukamilika.
Akitangaza maamuzi hayo ya kusimimishwa kwa Mkurugenzi huyo leo jijini Dar es Salaam baada ya ripoti ya kamati iliyoundwa na Waziri wa Uchukuzi (ambaye sasa ni Waziri wa Afrika Mashariki), Dk. Harrison...
10 years ago
GPLCUF YATAKA WAZIRI TAMISEMI, MKURUGENZI KINONDONI WAJIUZULU
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aFftIi0hqks/U_irGMgTPRI/AAAAAAAGBzY/PR01H_CWvpM/s72-c/Picture%2B039.jpg)
MKURUGENZI WA MANISPAA YA KINONDONI AZINDUA CAMPAIGN YA 'SAY NO TO ABORTION - CHAGUA MAISHA JIJINI DAR
'Utoaji mimba usio katika hali salama, mazingira mazuri na vitendea kazi viivyodhibitishwa hufanyika kila siku katika jamii zetu ingawa serekali na sheria ya nchi yetu hairuhusiwi.
Tunapoteza nguvu kazi, vijana wa taifa letu' alisema Mkurugenzi wa kampeni hiyo, ndugu Veronica Lugenzi ambayo imezinduliwa rasmi 22...
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Coco Beach ikauzwa, barabara mbovu Kinondoni, moto wa Rais Magufuli umemfikia Mkurugenzi Dec 15
Ukikaa karibu na vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kumekuwa na ripoti mpya kila wakati na kadri zinavyonifikia na mimi nahakikisha hupitwi hata kidogo. Kama unakumbuka December 03 2015, Rais Magufuli alikutana na Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania na moja ya vitu alivyokosoa na kuonekana kukasirishwa navyo sana ilikuwa ishu ya kubinafsishwa kwa ufukwe wa […]
The post Coco Beach ikauzwa, barabara mbovu Kinondoni, moto wa Rais Magufuli umemfikia Mkurugenzi Dec 15 appeared first on...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sukGDga1K-k/XrvZw-s86cI/AAAAAAALqDM/-TnR4RM2-2g1SFjiONbZYDJifNWT1yPyACLcBGAsYHQ/s72-c/25761ac5-fedb-4a76-946c-1693ac433d3f.jpg)
MADIWANI KINONDONI WAMPONGEZA MEYA SITTA, MKURUGENZI KAGURUMJULI KWA KUFANYA VIZURI KWENYE MIRADI YA MAENDELEO
Pongezi hizo zimetolewa na Madiwani hao wakati wa kikao cha Baraza la madiwani robo ya tatu ya mwaka ambapo wamesema kuwa katika kipindi ambacho wamekuwa madiwani wameshuhudia miradi mikubwa ambayo imetekelezwa ikiwa ni juhudi kubwa zinazofanywa na viongozi...
5 years ago
MichuziMKURUGENZI KAGURUMJULI AWEKA HISTORIA KINONDONI KUKAMILISHA MIRADI YA BILIONI 231.8 KWA KIPINDI CHA MIAKA MITANO ALAT YA MTUNUKU TUZO
Akisoma taarifa ya utekelezaji wa shughuli za Halmashauri hiyo katika kipindi hicho Mkurugenzi Ndug. Aron Kagurumjuli amesema kuwa kwaupande wa miradi ya kisekta imefanikiwa kutekeleza shughuli mbalimbali za kiuchumi, kisiasa, kijamii pamoja na miradi ya Maendeleo kwa...
5 years ago
MichuziMKURUGENZI KAGURUMJULI AWEKA HISTORIA KINONDONI KUKAMILISHA MIRADI YA TAKRIBAN BILIONI 242.8 KWA KIPINDI CHA MIAKA MITANO, ALAT YAMPA TUZO.
Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni imeweka historia katika suala la utekelezaji wa miradi ya maendeleo na ile ya kimkakati kwa kipindi cha miaka mitano iliyogharimu takribani shilingi bilioni 242.8 fedha zilizotokana na vyanzo vya mapato ya ndani, Serikali kuu na wadau wengine wa maendeleo.
Taarifa hii imetolewa wakati wa uwasilishaji wa taarifa za utekelezaji wa shughuli za Serikali kwa kipindi cha miaka mitano katika kikao cha mwisho cha Baraza la Madiwani kilichofanyika leo katika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-P3xO_MwNkrI/Xk-TwVVoiRI/AAAAAAALep4/3lTk2VZschQkoMaqnEtg08LSj8to6xmywCLcBGAsYHQ/s72-c/c492ed38-3286-49f2-81dc-81b5b1ea4ec6.jpg)
MKURUGENZI KAGURUMJULI APONGEZWA KINONDONI KUONGOZA MARA NNE MFULULIZO MATOKEO KIDATO CHA NNE NA PILI KIMKOA
![](https://1.bp.blogspot.com/-P3xO_MwNkrI/Xk-TwVVoiRI/AAAAAAALep4/3lTk2VZschQkoMaqnEtg08LSj8to6xmywCLcBGAsYHQ/s640/c492ed38-3286-49f2-81dc-81b5b1ea4ec6.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/20222c5a-07cf-45a0-9dcb-9d98d5d96a97.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/00e8a025-773f-4d6f-b42c-f91b99f889fa.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/9660b276-f012-4575-9772-386e0eb3ef4a.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/428d3d77-292e-4614-9437-0fc2f6ff39f3.jpg)
10 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA KINONDONI AZINDUA MPANGO WA KUWAINUA VIJANA WENYE VIPAJI VYA SANAA UJULIKANAO KINONDONI TALENT SEARCH
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10