Mkutano wa amani nchini Mali
Serikali ya Algeria, mnamo Jumatano iliandaa mkutano wa amani ulionuia kumaliza vita Kaskazini mwa Mali.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AREJEA NCHINI BAADA YA KUHUDHURIA MKUTANO WA DHARURA WA SADC, JIJINI HARARE, ZIMBABWE, MUGABE AKABIDHI RASMI CHUO CHA UTUNZAJI AMANI
Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, akimkabidhi Katibu Mtendaji wa SADC, Dkt Stargomena Tax, mfano wa funguo kama ishala ya makabidhiano ya Kituo cha Mafunzo ya Utunzaji Amani katika nchi za SADC, wakati wa Mkutano wa dharura uliofanyika jana Aprili 29, 2015 kwenye Hoteli ya Rainbow jijini Harare, Zimbabwe.Kufuatia makabidhiano haya, Chuo hiki sasa kitakuwa kinamilikiwa na SADC na matumizi yake yatahusisha vyombo na wataalamu mbalimbali wanaohusika na masuala ya utunzaji amani ndani ya nchi...
10 years ago
MichuziDkt. Kigwangala aongoza Mbio za Amani 2014, ahimiza amani nchini
Wanasiasa wameaswa kudumisha amani, upendo na mshikamano wa Tanzania, ili kuepuka vurugu zinazoweza kujitokeza ambazo kwa kiasi kikubwa zimekuwa zikisababishwa na makundi ya wanasiasa, kwa kutoa ujumbe kwa wananchi unao chochea kuvurugukika kwa amani ya Tanzania.
Akizungumza na wanamichezo wa vilabu mbalimbali vya kukimbia (Jogging) kutoka Tanzania bara na Zanzibar, katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, Mbunge wa jimbo la Nzega, ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya bunge ya...
Akizungumza na wanamichezo wa vilabu mbalimbali vya kukimbia (Jogging) kutoka Tanzania bara na Zanzibar, katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, Mbunge wa jimbo la Nzega, ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya bunge ya...
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AHUDHURIA MKUTANO WA AMANI NA USALAMA WA BARAZA LA AMANI NA USALAMA LA UMOJA WA AFRIKA JIJNI NAIROBI
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Jomo Kenzatta jijini Nairobi leo kujiunga na viongozi wengine wanaounda Baraza la Amani na Usalama la nchi za umoja wa Afrika (AU) kwenye mkutano wa kuzungumzia masuala ya tioshio la ugaidi linalolikabili bara hilo na dunia kwa ujumla. Inspekta Jenerali wa Polisi Ernest Mangu na Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange wakielekea kwenye ukumbi wa mikutano katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Jomo Kenzatta...
11 years ago
BBCSwahili14 Dec
Walinda amani 2 wa UN wauwa Mali
Walinda amani 2 UN wameuawa na wengine watatu kujeruhiwa katika shambulizi la bomu dhidi ya benki pekee ya serikali mjini Kidal Kaskazini mwa Mali.
10 years ago
BBCSwahili21 Jun
Makubaliano ya amani yaafikiwa Mali
Maafikiano ya amani yametiwa sahihi yakiwa na lengo la kumaliza mzozo wa miaka mingi kati ya serikali na waasi wa Tuareg.
10 years ago
BBCSwahili17 Aug
Mali:Wanajeshi 2 wa kulinda amani wauawa
Wanajeshi wawili wa kulinda amani raia wa Burkina Farso katika shirika la Umoja wa Mataifa wameuawa na saba wengine kujeruhiwa
10 years ago
BBCSwahili17 Jan
Mali:Mwanajeshi wa kulinda amani auawa.
Afisa mmoja wa kikosi cha kulinda amani katika Umoja wa Mataifa ameuawa na watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo kazkazini mwa Mali.
10 years ago
BBCSwahili07 Mar
UN yawaagiza waasi kuweka amani Mali
Katibu mkuu wa umoja Ban ki Moon ametaka waasi wa Tuareg nchini Mali kutia sahihi makubaliano ya amani ili kuleta utulivu
10 years ago
BBCSwahili01 Mar
Mkataba wa amani Mali wakubaliwa nusu
Baadhi ya wapiganaji na serikali wafikia makubaliano ya amani Mali, lakini wengine wataka muda zaidi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania