Mkutano wa mawaziri Kenya, Tanzania wasogezwa mbele
MKUTANO kati ya Kenya na Tanzania uliokuwa uwakutanishe mawaziri wa nchi hizo, wanaoshughulikia masuala ya utalii umeahirishwa, kutokana na baadhi ya mawaziri wapya wa Tanzania kuomba kushiriki mkutano huo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gOneWoOs0SM/UvTTxjYhJTI/AAAAAAAFLlI/hV9K_G8ToTg/s72-c/TASWALOGO.jpg)
UCHAGUZI TASWA WASOGEZWA MBELE
![](http://1.bp.blogspot.com/-gOneWoOs0SM/UvTTxjYhJTI/AAAAAAAFLlI/hV9K_G8ToTg/s1600/TASWALOGO.jpg)
Uamuzi wa kusogeza mbele tarehe ya kufanyika uchaguzi huo imechukuliwa na Sekretarieti ya TASWA kutokana na sababu mbalimbali, lakini kubwa ni kutoa nafasi kwa wanachama wengi zaidi kulipia ada zao kwa ajili ya kushiriki mkutano huo wa uchaguzi.
Hadi kufikia leo mchana idadi ya...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_cV-gX8ErGc/VifoLGkS48I/AAAAAAAIBjI/BOX4nnCS-Uk/s72-c/New%2BPicture.png)
MUDA WA KUONDOKA TRENI YA DELUXE KWENDA MWANZA JUMAPILI OKTOBA 25, 2015 WASOGEZWA MBELE
KAMPUNI YA RELI TANZANIA(TRL)![](http://4.bp.blogspot.com/-_cV-gX8ErGc/VifoLGkS48I/AAAAAAAIBjI/BOX4nnCS-Uk/s1600/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI (PRESS RELEASE) Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania TRL unachukua fursa hii kuwaarifu abiria wa treni ya deluxe ya Jumapili Oktoba 25, 2015 kutoka Dar es Salaam kwenda Mwanza kuwa muda wa kuondoka umesogezwa mbele kutoka saa 2 asubuhi hadi saa 2 usiku wa siku hiyohiyo.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo uamuzi huo umechukuliwa maalum ili kuwapa fursa Abiria waliojiandikisha kupiga kura kutumia haki yao ya kikatiba kikamilifu.
Utaratibu huu...
![](http://4.bp.blogspot.com/-_cV-gX8ErGc/VifoLGkS48I/AAAAAAAIBjI/BOX4nnCS-Uk/s1600/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI (PRESS RELEASE) Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania TRL unachukua fursa hii kuwaarifu abiria wa treni ya deluxe ya Jumapili Oktoba 25, 2015 kutoka Dar es Salaam kwenda Mwanza kuwa muda wa kuondoka umesogezwa mbele kutoka saa 2 asubuhi hadi saa 2 usiku wa siku hiyohiyo.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo uamuzi huo umechukuliwa maalum ili kuwapa fursa Abiria waliojiandikisha kupiga kura kutumia haki yao ya kikatiba kikamilifu.
Utaratibu huu...
10 years ago
MichuziMUDA WA KUJISAJILI KWENDA HIJJA WASOGEZWA MBELE TOKA JUNI 15 HADI AGOSTI 25, 2015
Na Dotto Mwaibale
MAHUJAJI nchini wametakiwa kujitokeza kujisajili katika taasisi zilizosajiliwa kisheria ili kujiandaa kwenda...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-A9qcHEmzQtk/VGYV3rsjhbI/AAAAAAAGxMo/GzzQl909Co4/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
Mkutano wa Mawaziri wa Mifugo wafunguliwa leo jijini Nairobi,Kenya
![](http://2.bp.blogspot.com/-A9qcHEmzQtk/VGYV3rsjhbI/AAAAAAAGxMo/GzzQl909Co4/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-n9Jv3cwSdn0/VGYV3jgSZ4I/AAAAAAAGxMw/CVMcTc7YtJs/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2X5s1P6uSC4/VGYV3-ltssI/AAAAAAAGxMs/11S2mxVi7Ik/s1600/unnamed%2B(36).jpg)
11 years ago
MichuziWAZIRI CHIKAWE AIWAKILISHA TANZANIA MKUTANO WA MAWAZIRI, NCHINI AFRIKA KUSINI
10 years ago
MichuziTANZANIA YASHIRIKI MKUTANO WA MAWAZIRI WANAOSIMAMIA HUDUMA ZA HALI YA HEWA AFRIKA (AMCOMET)
10 years ago
GPLMKUTANO WA MAWAZIRI WA MAZINGIRA NA MAWAZIRI WA MAMBO YA NJE KUTOKA NCHI ZA KAMATI YA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA KUFANYIKA JIJINI DAR
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais –Mazingira Mh. Dk. Eng. Binilith Satano Mahenge, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam, kuhusu mkutano wa Mawaziri wa Mazingira na Mawaziri wa Mambo ya Nje kutoka nchi za kamati ya wakuu wa nchi za Afrika utakaofanyika jijini Dar-es -salaam katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Julius Nyerere Tarehe 29 Agosti 2014.… ...
11 years ago
Habarileo27 Mar
Polisi wa Kenya, Tanzania wafanya mkutano
MAOFISA wa Polisi wa vituo vya mipakani kutoka nchini na Kenya, wamefanya mkutano wa ujirani mwema. Mkutano huo ulishirikisha waendesha pikipiki za bodaboda na lengo ni kukomesha uhalifu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania