Mlokole Mainda anaswa!
STAA mkongwe wa sinema za Kibongo, Ruth Suka ‘Mainda’ akikumbatiana na mwanaume huyo.
Musa mateja
STAA mkongwe wa sinema za Kibongo, Ruth Suka ‘Mainda’ ambaye ni mlokole wa Huduma ya Inuka Uangaze iliyopo kwenye Ukumbi wa Vatican City Hotel, Sinza jijini Dar, amenaswa laivu akiwa amegandana kimahaba na mwanaume hivyo kuibua minong’ono.
TUJIUNGE USHUANI MASAKI
Tukio hilo lililoshuhudiwa na gazeti hili lilijiri maeneo ya ushuani kwenye bustani zilizopo ndani ya Hoteli ya Double Tree, Masaki...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
Kakobe :Rose Muhando Sio Mlokole Hata Kidogo Anawakatisha Wanaume Viuno Stejini

11 years ago
GPL
MAINDA AGOMBANA KANISANI
11 years ago
GPL
MAINDA AVIKACHA VIMINI
9 years ago
Global Publishers15 Dec
Mchungaji wa Mainda akamatwa
Mchungaji Boniface Godwin Mwamposa.
Makongoro Oging’ na Mayasa Mariwata
VIBALI noma! Mchungaji Boniface Godwin Mwamposa anayeendesha huduma ya Neno la Mungu kwenye ukumbi wa baa iliyosimama kufanya kazi, Vatican Hotel, Sinza Kijiweni, Dar amekamatwa na msajili wa vyama vya kijamii (yakiwemo makanisa) kutoka Wizara ya Mambo ya Ndani na kufikishwa Kituo cha Polisi Kijitonyama ‘Mabatini’ jijini Dar kwa madai ya kutokuwa na vibali cha kufanya kazi hiyo.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, Desemba 8,...
10 years ago
GPL
MAINDA ALILIA MTOTO
11 years ago
GPL
MAINDA ASAKA MUME
11 years ago
GPL
MAINDA: BORA NIZAE
11 years ago
GPL
MADAI MAZITO...MAINDA MJAMZITO
11 years ago
GPL
MAINDA AANGUA KILIO KANISANI