Mo Fire kuachia video mpya
NA BADI MCHOMOLO
MKALI wa muziki wa Bongo Fleva nchini, Mtila Hamisi ‘Mo Fire’, anatarajia kuachia video yake mpya ijulikanayo kwa jina la ‘Tomorrow’.
Wimbo huo ambao uliandaliwa katika studio za Expendable, video yake imetayarishwa na kampuni ya A, J chini ya Azizi Kikonyo.
“Kwa sasa naanza kwa kuachia video yangu wiki hii na baada ya muda nitaachia wimbo wangu mwingine ili nijitangaze vizuri kimuziki.
“Kuna kazi yangu ipo njiani nimemshirikisha Ney wa Mitego, wimbo huo utaanza kusikika...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo503 Dec
Chege kuachia video mpya Jumatatu ijayo
![Chege](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/02/Chege-300x194.jpg)
Baada ya kukaa kwa wiki kibao nchini Afrika Kusini, Chege amerejea nchini Jumatano hii.
Jumatano ijayo ataachia video ya wimbo aliomshirikisha msanii wa Nigeria, Runtown.
Chege ameiambia Bongo5 kuwa akiwa nchini humo pia alikutana na wahusika wa TV mbalimbali kubwa za Afrika ili kutambulisha kazi yake mpya na kupewa ratiba ya uzinduzi.
“Nilikuwa kwenye mzungumzo ya kupewa ratiba ya kuachia video kwenye TV kubwa na nashukuru Mungu nimerudi jana na leo nitapewa ratiba kwaajili ya TV za nje,...
11 years ago
Bongo508 Aug
Nay wa Mitego kuachia wimbo mpya ‘Nimewaka’, video kushoot Dubai au US!
9 years ago
Bongo506 Jan
G-Nako aeleza sababu za kusogeza kuachia video yake mpya ‘Original’ iliyokuwa itoke mwaka jana
![Gnako](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2013/08/Gnako-150x200.jpg)
Weusi walipanga kuumaliza mwaka 2015 kwa kuachia nyimbo tatu, ambapo walifanikiwa kuachia ‘Don’t Bother’ ya Joh Makini aliyomshirikisha AKA na nyingine ya Nikki Wa Pili ‘Baba Swalehe’.
Single ya G-Nako ‘Original’ ambayo ndio ingekamilisha ahadi yao ya nyimbo tatu haikufanikiwa kutoka mwaka uliopita kutokana na msimu wa sikukuu za mwisho wa mwaka kuvuruga mipango iliyokuwepo.
Video ya wimbo huo iliyofanyika Afrika Kusini chini ya muongozaji Justin Campos wa Gorilla Films imekamilika toka...
9 years ago
Bongo502 Nov
Video: Davido aeleza sababu iliyomfanya kuahirisha kuachia album mpya siku 2 kabla ya tarehe iliyokuwa imepangwa
![davido A](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/davido-A-94x94.jpg)
9 years ago
Bongo520 Oct
Joh Makini, G-Nako na Nikki Wa Pili kuachia single 3 mpya wiki Ijayo, 2 zimefanyiwa video na Justin Campos
9 years ago
Bongo527 Nov
Kala Jeremiah kuachia wimbo mpya mwezi ujao, pia aeleza sababu za kumtumia director Pablo kwenye video nyingi
![Kala](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Kala-300x194.jpg)
Baada ya kipindi cha kampeni kupita Kala Jeremiah pia yuko kwenye foleni ya wasanii wanaotaka kutoa kazi mpya za kufungua mwaka.
Kala ameiambia Bongo5 kuwa tayari video ya kazi mpya imekamilika na anatarajia kuitoa hivi karibuni.
“Video ya wimbo mpya na nimeshoot na PABLO ila nisingependa kwanza kutaja jina la wimbo, lakini mwezi wa 12 lazima itoke”.
Video nne zilizopita za Kala (Nchi ya Ahadi, Usikate Tamaa, Simu Ya Mwisho, Wale Wale) zote zimeongozwa na Pablo, kuhusu kwanini ameamua...
9 years ago
Bongo505 Oct
Davido atangaza tarehe mpya ya kuachia album yake mpya ‘Baddest’