Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MOJA YA KIPAUMBELE CHETU NI KUIGEUZA TTB KUWA MAMLAKA - DK MERU

 Kaimu Mkurugenzi Mwendeshaji wa Bodi ya Utalii Tanzania Bi devota Mdachi akimkaribisha Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dk. Adelhelm Meru (Mwenye miwani) kuzungumza na wafanyakazi alipotembelea bodi hiyo jana. Mmoja wa wafanyakazi wa TTB Bw. Geofrey Tengeneza ambaye pia ni Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano akielezea jambo kwa Katibu Mkuu alipotembelea ofisi za Bodi ya Utalii Tanzania na kuzungumza na wafanyakazi.   Baadhi ya wanyakazi wa Bodi ya Utalii Tanzania wakimsikiliza kwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Weledi ndiyo kipaumbele chetu

Leo imetimia miaka minane tangu tulipoanza kutoa Jarida la Starehe. Hakika miaka minane siyo umri wa kubeza, kwani kama ni binadamu basi ni mtoto ambaye tayari akili zake zimetulia na ni mwelewa.

 

9 years ago

Habarileo

Shein atangaza elimu kuwa kipaumbele

RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema sekta ya elimu itapewa kipaumbele cha kwanza akirejea madarakani. Pamoja na kipaumbele hicho, mgombea huyo ametangaza kufuta ada na michango yote kwa wanafunzi wa sekondari na kuahidi kujenga Chuo kikuu kipya Dole, Unguja.

 

10 years ago

Michuzi

‘MADINI HOUSE’ KUJENGWA ARUSHA, Kuwa na huduma za kibenki, Helkopita kutua moja kwa moja kituoni

Na Asteria Muhozya, SongeaKamishna wa Madini Tanzania, Mhandisi Paul Masanja ameeleza kuwa, Serikali kupitia Wizara ya Nishati na Madini itajenga kituo maalum cha kuuza na kununua madini ya vito kutokana na nchi kuwa na hazina kubwa ya madini jambo ambalo pia litachangia katika kuyaongezea thamani madini hayo.  Masanja ameyasema hayo  mjini Songea wakati wa ziara ya Katibu Mkuu wa Nishati na Madini Eliakim Maswi kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa na wizara ikiwemo kuonana na...

 

5 years ago

Michuzi

BARAZA LA MADIWANI MERU LAPENDEKEZA HALMASHAURI HIYO KUWA YA MJI






Madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Meru wakifuatilia kikao chao kikiendelea kwenye ukumbi wa halmashauri hiyo na kupendekeza halmashauri hiyo kuwa na hadhi ya mji picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha


Kikao kikiendelea na kupendekeza halmashauri hiyo kuwa ya Mji badala ya Sasa wilaya.

Mwenyekiti wa halmashauri ya Meru Akiongoza kikao cha baraza la madiwani kwenye halmashauri ya Meru akiwa na Mkurugenzi wake Emmanuel Mkongo
Diwani Malula Mafie akichangia kwenye kikao hicho Cha Baraza la...

 

10 years ago

Dewji Blog

Dkt. Adelhelm James Meru aapishwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii

PIX 1

Makamu wa Rais wa Tanzania, Mhe. Dkt. Gharib Bilal (kushoto) akimuapisha Dkt. Adelhelm Meru kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii leo Ikulu jijini Dar es Salaam.

PIX 2

Dkt. Adelhelm Meru (kulia) akila kiapo kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii leo Ikulu jijini Dar es Salaam.

PIX 3

Dkt. Adelhelm Meru (kulia) akiweka saini katika Kitabu mara baada ya kuapishwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii leo Ikulu jijini Dar es Salaam.

PIX 4

Makamu wa Rais wa Tanzania, Mhe....

 

10 years ago

Dewji Blog

URAIS2015: Kwa Nini nimechagua kuzalisha ajira kuwa kipaumbele cha kwanza? — Kigwangalla

5edcc9e9

Mbunge wa Nzega, Dk Hamisi Kigwangalla (CCM) ambaye ametangaza nia ya kutaka kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2015.

Nchi yoyote ili iendelee lazima watu wake wawe na amani, uhuru, furaha, uzalendo, uwajibikaji, nidhamu ya kazi, ubunifu na uchapakazi. Ili watu wetu wawe na vitu hivi lazima tujenge misingi ya usawa na motisha. Usawa utawafanya watu waone nchi yao inawajali na hivyo watavumilia jua na mvua. Motisha itawafanya watu wawe tayari...

 

10 years ago

Mwananchi

China kuigeuza Tanzania eneo la viwanda

Tanzania ni miongoni mwa nchi tatu za Afrika zitakazofaidika na mradi wa kuzigeuza kuwa eneo la viwanda, ambapo wananchi wake watanufaika kwa ongezeko la ajira na serikali kupata kodi.

 

11 years ago

Mwananchi

Sokoine angekuwapo, kijiji chetu kingekuwa Ulaya

Kama walivyo Watanzania wengi, kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu, hayati Moringe Sokoine kimeacha simanzi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani