MOJA YA KIPAUMBELE CHETU NI KUIGEUZA TTB KUWA MAMLAKA - DK MERU
![](http://2.bp.blogspot.com/-rhmXqJtPdp8/VcHlFVzx8RI/AAAAAAAC9Xk/mXD0uKjmMQk/s72-c/Photo%2B1.jpg)
Kaimu Mkurugenzi Mwendeshaji wa Bodi ya Utalii Tanzania Bi devota Mdachi akimkaribisha Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dk. Adelhelm Meru (Mwenye miwani) kuzungumza na wafanyakazi alipotembelea bodi hiyo jana.
Mmoja wa wafanyakazi wa TTB Bw. Geofrey Tengeneza ambaye pia ni Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano akielezea jambo kwa Katibu Mkuu alipotembelea ofisi za Bodi ya Utalii Tanzania na kuzungumza na wafanyakazi.
Baadhi ya wanyakazi wa Bodi ya Utalii Tanzania wakimsikiliza kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Weledi ndiyo kipaumbele chetu
9 years ago
Habarileo21 Sep
Shein atangaza elimu kuwa kipaumbele
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema sekta ya elimu itapewa kipaumbele cha kwanza akirejea madarakani. Pamoja na kipaumbele hicho, mgombea huyo ametangaza kufuta ada na michango yote kwa wanafunzi wa sekondari na kuahidi kujenga Chuo kikuu kipya Dole, Unguja.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rqG3iwLGIrQ/U_pJMC7YZCI/AAAAAAAGCF8/cV8FlTM1M6U/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
‘MADINI HOUSE’ KUJENGWA ARUSHA, Kuwa na huduma za kibenki, Helkopita kutua moja kwa moja kituoni
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1Dbb2lQ_wxc/XoXQTHY7vgI/AAAAAAAAI9c/P5XRKJoX7TsMezH4656EuuVoG1NY7v_9QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200401-WA0035.jpg)
BARAZA LA MADIWANI MERU LAPENDEKEZA HALMASHAURI HIYO KUWA YA MJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-1Dbb2lQ_wxc/XoXQTHY7vgI/AAAAAAAAI9c/P5XRKJoX7TsMezH4656EuuVoG1NY7v_9QCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200401-WA0035.jpg)
Madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Meru wakifuatilia kikao chao kikiendelea kwenye ukumbi wa halmashauri hiyo na kupendekeza halmashauri hiyo kuwa na hadhi ya mji picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha
![](https://1.bp.blogspot.com/-ByRcNAfXUEg/XoXQTZfjFFI/AAAAAAAAI9g/WSxcf-d4SXs8EcUPSzKWBjo8wLkh_Y1-wCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200401-WA0044.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-f4CFYXu8a6U/XoXQTTaIuBI/AAAAAAAAI9k/4vtQ8dabJ5QGSuMS_WolSxEqG-1-qPQ2gCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200401-WA0045.jpg)
Kikao kikiendelea na kupendekeza halmashauri hiyo kuwa ya Mji badala ya Sasa wilaya.
![](https://1.bp.blogspot.com/-cyFkPAamKS0/XoXQT_73fFI/AAAAAAAAI9o/ZKnr569gex4hkJ1AmPb8GgkqovNMFtd8ACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200401-WA0046.jpg)
Mwenyekiti wa halmashauri ya Meru Akiongoza kikao cha baraza la madiwani kwenye halmashauri ya Meru akiwa na Mkurugenzi wake Emmanuel Mkongo
![](https://1.bp.blogspot.com/-5ZUbaU-KwKI/XoXQUIpVtcI/AAAAAAAAI9s/53Nfzd_5Q1U9e9EzoH8e8s-nL2dVEZR3QCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200401-WA0047.jpg)
Diwani Malula Mafie akichangia kwenye kikao hicho Cha Baraza la...
10 years ago
Dewji Blog17 Nov
Dkt. Adelhelm James Meru aapishwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii
Makamu wa Rais wa Tanzania, Mhe. Dkt. Gharib Bilal (kushoto) akimuapisha Dkt. Adelhelm Meru kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii leo Ikulu jijini Dar es Salaam.
Dkt. Adelhelm Meru (kulia) akila kiapo kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii leo Ikulu jijini Dar es Salaam.
Dkt. Adelhelm Meru (kulia) akiweka saini katika Kitabu mara baada ya kuapishwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii leo Ikulu jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa Tanzania, Mhe....
10 years ago
Dewji Blog01 Jun
URAIS2015: Kwa Nini nimechagua kuzalisha ajira kuwa kipaumbele cha kwanza? — Kigwangalla
Mbunge wa Nzega, Dk Hamisi Kigwangalla (CCM) ambaye ametangaza nia ya kutaka kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2015.
Nchi yoyote ili iendelee lazima watu wake wawe na amani, uhuru, furaha, uzalendo, uwajibikaji, nidhamu ya kazi, ubunifu na uchapakazi. Ili watu wetu wawe na vitu hivi lazima tujenge misingi ya usawa na motisha. Usawa utawafanya watu waone nchi yao inawajali na hivyo watavumilia jua na mvua. Motisha itawafanya watu wawe tayari...
10 years ago
Mwananchi25 Apr
China kuigeuza Tanzania eneo la viwanda
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Sokoine angekuwapo, kijiji chetu kingekuwa Ulaya