Moussa Dadis Kamara kuwania urais Guinea
Aliyekuwa kiongozi wa kijeshi nchini Guinea ,Moussa Dadis Camara ametangaza kwamba atawania urais wa taifa hilo baadaye mwaka huu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili16 Aug
Wafuasi wa Dadis Kamara wakabiliwa Guinea
Polisi nchini Guinea wamepambana na wafuasi wa aliyekuwa kiongozi wa kijeshi wa nchi hiyo Moussa Dadis Camara.
9 years ago
BBCSwahili11 Nov
Obiang kuwania tena urais Equatorial Guinea
Rais wa Equatorial Guinea Teodoro Obiang Nguema, ambaye ameongoza taifa hilo kwa miaka 36, amesema atawania tena urais.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-yhhd3_k0tSk/VX5rHFEVBLI/AAAAAAAAvww/Cn717LOxw2c/s72-c/migiro.png)
Dk Asha-Rose Migiro Ajitosa Kuwania Urais Kupitia CCM......Samuel Sitta Kurudisha Fomu ya Urais Leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-yhhd3_k0tSk/VX5rHFEVBLI/AAAAAAAAvww/Cn717LOxw2c/s640/migiro.png)
![](http://beacon.walmart.com/vm/ttap.gif?id=10694486&channel=WALMART&network=sraxopen_vhct&creative=SAL&destination=MICROSITE&size=728x90&idea=MOM&type=FLASH&device=DESKTOP)
Aidha, taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii, kuwa Waziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein kuwa atachukua fomu si za kweli kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya CCM.Migiro, ambaye atachukua fomu kwenye makao makuu wa CCM mjini Dodoma saa tisa mchana, atakuwa mwanamke wa nne kuchukua fomu...
11 years ago
BBCSwahili27 Jan
Al-Sisi kuwania Urais Misri
Viongozi wa kijeshi nchini Misri wamekubaliana Mkuu wa jeshi ambaye pia ni Waziri wa Ulinzi Abdel Fattah Al Sisi kuwania Urais katika Uchaguzi ujao
10 years ago
Mwananchi22 Mar
Lowassa: Nimeshawishika kuwania urais
Hatimaye mbunge wa Monduli, Edward Lowassa amesema “ameshawishika†na kuweka bayana kuwa atachukua fomu ya kugombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM).
10 years ago
BBCSwahili05 May
Korti yamruhusu Nkurunziza kuwania urais
Mahakama ya kikatiba nchini Burundi imemruhusu rais Pierre Nkurunziza kuwania muhula wa tatu.
10 years ago
BBCSwahili10 Aug
Lowassa achukua fomu za kuwania urais
Pilika pilika za uchaguzi nchini Tanzania zimeendelea huku Edward Lowassa, ambaye ni mgombea wa urais kwa tiketi ya chama cha Chadema na kuungwa mkono na umoja wa vyama vya upinzani nchini humo, UKAWA, akifika ofisi ya Tume ya Uchaguzi kuchukua fomu ya ur
10 years ago
Mwananchi18 Feb
Makaidi kuwania urais kupitia Ukawa
Wakati vyama vingine vinavyounda Ukawa, vikiendelea na mchakato wa kutafuta jina litakalopendekezwa kuchukua kiti cha urais, Mwenyekiti wa Chama cha NLD, Dk Emmanuel Makaidi amesema, tayari chama chake kimeshapendekeza jina lake kuwa miongoni mwa vigogo watakaoshindanishwa kwenye kinyang’anyiro hicho.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania