Wafuasi wa Dadis Kamara wakabiliwa Guinea
Polisi nchini Guinea wamepambana na wafuasi wa aliyekuwa kiongozi wa kijeshi wa nchi hiyo Moussa Dadis Camara.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili11 May
Moussa Dadis Kamara kuwania urais Guinea
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
Yatima wakabiliwa na ukosefu wa madarasa
MKURUGENZI wa kituo cha kulelea yatima cha Sifa Group Foundation Children Center kilichopo Bunju jijini Dar es Salaam ametoa wito kwa wadau mbalimbali nchini kujitolea kusaidia vituo vya watoto yatima ili...
11 years ago
Tanzania Daima26 Jul
Kigamboni wakabiliwa changamoto ya usafiri
WAKAZI wa Kigamboni na vitongoji vyake jijini Dar es Salaam, wanakabiliwa na changamoto ya usafiri kwenda katikati ya jiji kutokana na kivuko cha MV Kigamboni kupelekwa nchini Kenya kwa matengenezo....
9 years ago
Habarileo17 Dec
Bahi wakabiliwa na upungufu wa chakula
WILAYA wa Bahi mkoani Dodoma inakabiliwa na upungufu mkubwa wa chakula hali inayoleta wasiwasi wa kutokea vifo iwapo hatua za haraka hazitachukuliwa.
10 years ago
Habarileo23 Aug
Stamigold wakabiliwa na changamoto za maji
MGODI wa dhahabu wa Stamigold Biharamulo unakabiliwa na changamoto ya uhaba wa maji kutokana na kutegemea vyanzo viwili vya mto Muhama na Isobizi.
9 years ago
Dewji Blog25 Dec
Wakulima wa Tumbaku wakabiliwa na changamoto ya bei
Mkuu wa wilaya ya Manyoni,Bi Fatma Hassani Toufiq akifunga mkutano wa kwanza wa uzinduzi wa Halmashauri ya wilaya ya Itigi, uliofanyika hivi karibuni mjini hapa.
Baadhi ya wananchi,madiwani na wakulima wa zao la tumbaku wa tarafa ya Itigi waliohudhuria mkutano wa uzinduzi wa Halmashauri ya wilaya ya Itigi, wilayani Manyoni.
Baadhi ya madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Itigi, wilayani Manyoni akiwemo Diwani wa kata ya Rungwa, Bwana Charles Machapaa wakiwa mkutanoni.(Picha zote na Jumbe...
9 years ago
StarTV09 Nov
Wazee Tanzania wakabiliwa na changamoto za upatikanaji wa mahitaji muhimu.
Nchi ya Tanzania inatajwa kuwa ni nchi ya 91 kati ya nchi 96 Duniani kwa Wazee kuwa kuishi katika hali hatarishi kwa kukosa mahitaji muhimu ikiwemo afya, elimu, chakula na malazi.
Mkurugenzi mtendaji wa Shirika la PADI Is-haka Msigwa ameyasema hayo wakati akiongea na Waandishi wa Habari wa Mkoa wa Ruvuma katika kutafuta njia ya kuwakwamua wazee ili waondokane na changamoto hiyo.
Mkurugenzi wa shirika la PADI linalohudumia wazee Nchini Tanzania Is-haka Msigwa amesema Tanzania ina wazee...
5 years ago
Michuzi11 Jun
WAJASIRIAMALI MWANZO MGUMU WAKABILIWA NA CHANGAMOTO YA USAFIRI KUSAFIRISHA MAWE
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/IMG-20200610-WA0035.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/IMG-20200610-WA0036.jpg)
***************************
NA MWAMVUA MWINYI
WAJASIRIAMALI wa Kikundi cha Mwanzo Mgumu, kilichopo Kijiji cha Kwedikwazu Kata ya Kabuku wilaya ya Handeni Mkoa wa Tanga, wanahitaji usafiri utaowarahisishia kazi zao za ubebaji wa mawe.
Wakizungumza na Waandishi wa habari katika eneo wanalofanya shughuli zao za kubangua mawe, Wajasiriamali hao walisema kuwa wananufaika na machimbo ya mawe yanayotumika kutengenea Marumaru na Jipsam katika majengo mbalimbali.
Katibu wa kikundi hicho Saumu Kisaka...
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
Kamara Mpaka — 6
Kwa wasomaji wapya: Katika sehemu zilizopita za uhakiki wa kitabu cha Kamara Mpaka kilichotungwa na Omwami F.X. Lwamgira mwaka 1949; tuliangalia utangulizi, mazingira, muhtasari na tathmini ya kitabu. Sasa endelea…...