Mpango Mbaya ya Mwanaafa Kurushwa Mlimani City
KATIKA kutafuta ubora wa filamu kuelekea kimataifa filamu kubwa ya Mpango Mbaya inayowashirikisha wasanii walioibuliwa na mradi wa kuibua vipaji nchini nzima wa Tanzania Movie Talent 2014(TMT) inatarajia kurushwa katika jumba la Sinema Mlimani City tarehe 12.June 2015 anasema Staford Kihore.
“Hatua ya kwanza ilikuwa ni kutafuta vipaji halisi na kuwapatia elimu ya uigizaji, kupitia TMT na hatua ya pili ni kuwachanganya na wasanii waliopo katika tasnia pili ni kwenda kimataifa kwa filamu yao...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3PcONz1K9Ik/VXaTDJEiANI/AAAAAAAHdRc/oYo9FK6t7fA/s72-c/unnamed111.jpg)
FILAMU YA MPANGO MBAYA YA TMT KURUSHWA MLIMANI CITY CINEMA 12.JUNE.2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-3PcONz1K9Ik/VXaTDJEiANI/AAAAAAAHdRc/oYo9FK6t7fA/s400/unnamed111.jpg)
Sinema hiyo ambayo imeshirikisha wasanii wakali wenye elimu ya uigizaji kutoka kwa wakufunzi kutoka Chuo kikuu cha Dar es Salaam imerekodiwa katika viwango vya kimataifa ndio maana inaanza kurushwa katika majumba ya sinema...
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-HytkJRXvkko/VW62M8JkugI/AAAAAAAAgp4/whjhCMW2ck8/s640/Mpango%2BMbaya-Poster.jpg)
FILAMU YA MPANGO MBAYA KUZINDULIWA NDANI YA UKUMBI WA MLIMANI CITY
10 years ago
VijimamboFilamu ya Mpango Mbaya ina viwango vya Kimataifa
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-TB0Hw1lVw84/VcOYm9sTViI/AAAAAAAAjbU/AV02aUJLwtY/s72-c/1.jpg)
MAGUFULI AWASILI MLIMANI CITY
![](http://1.bp.blogspot.com/-TB0Hw1lVw84/VcOYm9sTViI/AAAAAAAAjbU/AV02aUJLwtY/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WLCIMrRDw38/VcOYnPuKB_I/AAAAAAAAjbY/ZnOOqbFelyo/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BVrWvWps4KY/VcOYsfWsooI/AAAAAAAAjbs/2hy8Y-Fzyrs/s640/1.jpg)
10 years ago
TheCitizen24 Nov
Mlimani City mall still insecure
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oszb1oYwZClyqvb55X9PJSyZ6C9GNCVopoaF3ECQwqLNDxTJ8GTEoIJKtyuge8*0Zv2ZtB1udbLxVQqroMc7caYXBr*TvgPS/BACKAMANI.jpg?width=650)
HOFU YA BOMU MLIMANI CITY
10 years ago
MichuziFilamu ya Mpango Mbaya ina viwango vya Kimataifa - Wadau
10 years ago
Dewji Blog16 Jun
Wadau: Filamu ya Mpango Mbaya ina viwango vya Kimataifa
Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin Group, Bw Johnson Lukaza akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa filamu ya Mpango Mbaya iliyochezwa na washiriki wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) mwaka 2014, uzinduzi huo ulifanyika katika ukumbi wa sinema wa century uliopo Mlimani City, Jijini Dar Es Salaam. Filamu hii ni moja ya filamu ambayo ina ubora wa hali ya juu huku wadau waliofanikiwa kuitazama filamu hiyo kuvutiwa nayo na kukubali kuwa ni filamu yenye viwango vya...
10 years ago
Mwananchi08 Aug
Shamrashamra za kumuaga Jakaya Mlimani City