mpiganaji cecy jeremiah afiwa na mama yake
Habari wadau, naomba kuwajulisha kuwa mwanafamilia mwenzetu ndani ya TASWA na tasnia ya habari kwa ujumla Cecy Jeremiah wa Redio Uhuru, Dar es Salaam amefiwa na mama yake mzazi jana jioni. Msiba upo Mbezi Makonde, njia ya kwenda shule za St.Mary's. Namba ya Cecy ni 0714-058566, tumfariji katika kipindi hiki kigumu.
Ahsante,
Katibu Mkuu TASWA
24/04/2014
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi08 Apr
TANZIA: Mpiganaji Masoud Sanani afiwa na mama yake mzazi huko Pemba
Kwa niaba ya TASWA tunampa pole na tupo naye pamoja katika kipindi hiki kigumu kwake. Kwa wanaotaka kumfariji binafsi Masoud Sanani kwa namna mbalimbali namba zake za simu ni 0712 020020 na 0772003377. Katibu Mkuu TASWA
10 years ago
Michuzi27 May
Mama wa Mitindo Asia Idarous Khamisin afiwa na Mama yake mkubwa Zanzibar
![IMG_3895](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_3895.jpg)
MBUNIFU mkongwe wa mavazi, Mama wa mitindo nchini, Asia Idarous Khamsin amepata pigo kufuatia kufiwa na Mama yake mkubwa, Aliyefahamika kwa jina la Fatma Juma, Msiba uliotokea Kisiwa Ndui, Unguja.
Kwa mujibu wa taarifa za msiba huo ambao hata hivyo tayari mazishi yake yamefanyika siku ya Jumatatu ya Mei 25, Kisiwa Ndui, na leo Jumatano ya Mei 27 wanatarajia kufanya kisomo maalum.
Ratiba ya Kisomo:Leo Jumatano ya Mei 27, saa 10, Alasiri wanatarajia kufanya kisomo maalum kwa wanawake wote...
10 years ago
Dewji Blog27 May
Mama wa Mitindo Asia Idarous Khamsin afiwa na Mama yake mkubwa Zanzibar
Na Mwandishi Wetu
MBUNIFU mkongwe wa mavazi, Mama wa mitindo nchini, Asia Idarous Khamsin amepata pigo kufuatia kufiwa na Mama yake mkubwa, Aliyefahamika kwa jina la Fatma Juma, Msiba uliotokea Kisiwa Ndui, Unguja.
Kwa mujibu wa taarifa za msiba huo ambao hata hivyo tayari mazishi yake yamefanyika siku ya Jumatatu ya Mei 25, Kisiwa Ndui, na leo Jumatano ya Mei 27 wanatarajia kufanya kisomo maalum.
Ratiba ya Kisomo:
Leo Jumatano ya Mei 27, saa 10, Alasiri wanatarajia kufanya kisomo...
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Tido afiwa na mama yake mzazi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OQbVc*b-KB*LulH3Pl368Cn97qbP5N1S6r9xqf5n6nMUIC0ZVuwfpfaTaxS-UD07b4rGdsp3Wfn*nX-1EAf2QnCICBbnDaQS/85b77338ef92a525bbfc65aa379c16c5_L.jpg)
MMILIKI WA SALUTI5 AFIWA NA MAMA YAKE
9 years ago
Bongo505 Oct
Sheria Ngowi afiwa na mama yake mzazi
5 years ago
MichuziSHUKURANI ZA MPIGANAJI EMMANUEL KIHAULE KWA MAMA YAKE MLEZI RITA CHE-MPONDA
Na Emmanuel KihauleKuna watu ni malaika waliotumwa na Mungu kuja hapa duniani kusaidia wengine wenye uhitaji.(Ndefu kidogo lakini naamini na wewe utaguswa sana).
Naona watu kadhaa akiwemo rafiki yangu George Kalimah wamenitaka niandike leo hii hii kuhusu namna huyu Mama Rita Che-Mponda (pichani juu na mumewe) alivyogusa maisha yangu anaposherehekea siku yake ya kuzaliwa leo. Mama huyu ni Mke wa Marehemu Dkt. Aleck Humphrey Che-Mponda aliyekuwa mwalimu wa vyuo vikuu kadhaa hapa nchini na...
10 years ago
Michuzi24 May
TANZIA: MAMA BISHANGA AFIWA NA KAKA YAKE MKUBWA CASIMU JAFFER MANJI "JALEJALE"
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-a3LxOokUORc/VmKaqZWALzI/AAAAAAAIKSY/gT9FkKrJZPo/s72-c/0fea2a57-74eb-4235-92b8-d88cfaab8820.jpg)
UN-ICTR Yamaliza Kazi yake Arusha, mpiganaji Danford Mpumilwa ashukuru kuhitimisha ngwe yake salama na kwa ufanisi