Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mpinzani wa Lema atoa visingizio lukuki

dscf0844ELIYA MBONEA NA ABRAHAMU GWANDU, ARUSHA

ALIYEKUWA mgombea ubunge wa Arusha Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Philemon Mollel ‘Monaban’, ameibuka na madai mazito kwa Jeshi la Polisi kuwa walichangia kushindwa kwake na Godbless Lema wa Chadema.

Katika uchaguzi huo uliofanyika jijini hapa juzi, wapigakura 105,800 walijitokeza kati ya 317,814  waliojiandikisha ambapo kura halali zilikuwa 104,353 huku 1,447 zikiharibika.

Msimamizi wa uchaguzi ambaye pia ni Mkurugenzi wa Jiji la Arusha,...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Godbless Lema Apata mpinzani Arusha ......Aja na Kauli mbiu "Chagua maendeleo usichague Soda"


HARAKATI za kuwania ubunge katika Jimbo la Arusha Mjini zimeanza baada ya kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mustafa Abdulla Panju, kutangaza rasmi nia ya kugombea nafasi hiyo akiwa na kauli mbiu ya chagua maendeleo, usichague soda.Panju alitangaza rasmi nia hiyo jana katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika jijini hapa, ambapo aliwataka wanachama wa CCM kumuamini na kumpa nafasi ili apeperushe bendera ya chama hicho katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huuAidha, alisema...

 

9 years ago

Habarileo

Kerr aanza visingizio

KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Dylan Kerr amesema kuwa, kufungwa kwa timu yake na Jeshi la Kujenga Uchumi (JKU), mabao 2-0 kunatokana na wachezaji sita kutokuwemo katika kikosi hicho.

 

10 years ago

Habarileo

RC: Hakuna visingizio ujenzi wa maabara

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Evarist Ndikilo.MKUU wa mkoa wa Pwani, Evarist Ndikilo amewataka wakuu wa wilaya mkoani humo kuhakikisha wanakamilisha ujenzi wa maabara za sayansi kwenye kata ifikapo Machi mwaka huu.

 

9 years ago

Mtanzania

Mkwasa arudi na kifurushi cha visingizio

tanzania-2NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Charles Boniface Mkwasa, amerudi na kifurushi cha visingizio, akifichua sababu zilizoiua timu hiyo na kupokea kipigo cha fedheha cha mabao 7-0 dhidi ya Algeria ‘The Desert Foxes’.

Stars ilipokea kipigo hicho kwenye mchezo wa raundi ya pili ya kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2018 nchini Urusi, kilichoifanya kutolewa kwa jumla ya mabao 9-2 kufuatia sare ya 2-2 ya mechi ya awali.

Akizungumza jijini Dar es...

 

9 years ago

Habarileo

Kocha Toto Africans amwaga visingizio

KOCHA Mkuu wa Toto Africans, Martin Grelics, amesema malengo ya klabu yake si kuzifunga Simba, Yanga wala Azam badala yake ni kuhakikisha inaendelea kubaki kwenye ligi ili apate muda wa kukiboresha kikosi hicho.

 

10 years ago

Mwananchi

Slaa: Rais Kikwete aache visingizio

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa amemtaka Rais Jakaya Kikwete kuacha kutafuta visingizio na kuacha taifa lielekee pabaya katika mchakato wa Katiba Mpya.

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi Moro: Yanga acheni visingizio vyenu

 Polisi Morogoro kupitia kwa kocha wao msaidizi, John Tamba imeibeza Yanga inayocheza nayo kesho kwenye mechi ya Ligi Kuu Bara, kuwa waache visingizio kwa kusema Uwanja wa Jamhuri Morogoro ni mbaya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA wakubali sababu badala ya kutafuta visingizio

ZIPO sababu na vipo visingizio. Visingizio ni vitu au ni mambo yale ambayo tunayalaumu ili tu kukwepa kukilaumu kile hasa kinachohusika na matatizo yetu. Kwa mfano, mtu akiambiwa kuwa barabara...

 

5 years ago

Bongo5

Bongo Movie Tuacheni Visingizio – Steve Nyerere

Baada ya maandamano ya wasanii wa filamu nchini yaliyofanyika Jumatano hii katika mtaa wa Aggrey Kariakoo, msanii wa tasnia hiyo Steve Mengele Nyerere amefunguka kuhusu tukio hilo.

Akiongea na waandishi wa habari, Steve ameeleza kuwa sababu ya yeye kutokuungana na wasanii wenzake kuandamana ni kwa kuwa jambo hilo halioni kama lina tija kwake.

“Binafsi ninalipinga hili, wasanii tunataka kutumika ndivyo sivyo. Mimi siwezi tu kuambiwa kuwa kuna maandamano nikaenda.

“Tunavyosema filamu za nje...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani