Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHADEMA wakubali sababu badala ya kutafuta visingizio

ZIPO sababu na vipo visingizio. Visingizio ni vitu au ni mambo yale ambayo tunayalaumu ili tu kukwepa kukilaumu kile hasa kinachohusika na matatizo yetu. Kwa mfano, mtu akiambiwa kuwa barabara...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MBUNGE WA CHADEMA AELEZA SABABU ZA KUREJEA BUNGENI

Na Magreth Kinabo, MAELEZO Dodoma  Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Mhe Said Arfi (pichani) ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mpanda Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA)amezitaja sababu za kurejea katika bunge hilo, kuwa ni hofu ya Mwenyezi Mungu.  Aidha Mhe Arfi ameitaja sababu nyingine ni kwamba amerudi katikaBunge hilo, ili kuhakikisha kwamba anaisadia nchi kupita katika mchakato wa Katiba mpya kwa amani na utulivu kwa kutumia kipaji chake na kuwatumikia...

 

5 years ago

Michuzi

ALIYEKUWA KATIBU MKUU CHADEMA DK.MASHINJI ATUA CCM ...ATOA SABABU


Na Said Mwishehe,Michuzi Blogu ya jamii
AMETUA CCM!Hivyo ndivyo unavyoweza kuelezea baada ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Dk.Vicent Mashinji kutangaza kujiunga na Chama Cha Mapinduzi(CCM).

DK.Mashinji aliyejiondoa Chadema Desemba mwaka 1919 amefikia uamuzi wa kujiunga CCM leo Februari 18, mwaka 2020 ambapo akitangaza uamuzi huo akiwa Ofisi ndogo za CCM  zilizopo Lumumba jijini Dar es Salaam akiwa amepokelewa na Katibu wa Itikadi na Uenezi Humphrey...

 

9 years ago

StarTV

Wazee Chadema wasema Kuhama kwa Kingunge kusiwe sababu ya kumkebehi

Baraza la Wazee wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA limekemea tabia ya kukebehi na kudhihaki kitendo alichokifanya kada mkongwe wa CCM Kingunge Ngombale Mwiru cha kukihama Chama hicho na kudai kuwa kila Mtanzania ana uhuru wa kujiamulia masuala yake binafsi.

Wamedai kuhama chama kusipokelewe kama dhambi bali ni ukomavu wa mtu katika demokrasia.

Katibu Mkuu wa Baraza la Wazee wa Chadema Rodriki Rutembeka anazungumza na waandishi kuhusu hali halisi inavyoendelea tangu Mzee Kingunge...

 

9 years ago

Habarileo

Kerr aanza visingizio

KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Dylan Kerr amesema kuwa, kufungwa kwa timu yake na Jeshi la Kujenga Uchumi (JKU), mabao 2-0 kunatokana na wachezaji sita kutokuwemo katika kikosi hicho.

 

10 years ago

Habarileo

RC: Hakuna visingizio ujenzi wa maabara

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Evarist Ndikilo.MKUU wa mkoa wa Pwani, Evarist Ndikilo amewataka wakuu wa wilaya mkoani humo kuhakikisha wanakamilisha ujenzi wa maabara za sayansi kwenye kata ifikapo Machi mwaka huu.

 

9 years ago

Mtanzania

Mkwasa arudi na kifurushi cha visingizio

tanzania-2NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Charles Boniface Mkwasa, amerudi na kifurushi cha visingizio, akifichua sababu zilizoiua timu hiyo na kupokea kipigo cha fedheha cha mabao 7-0 dhidi ya Algeria ‘The Desert Foxes’.

Stars ilipokea kipigo hicho kwenye mchezo wa raundi ya pili ya kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2018 nchini Urusi, kilichoifanya kutolewa kwa jumla ya mabao 9-2 kufuatia sare ya 2-2 ya mechi ya awali.

Akizungumza jijini Dar es...

 

10 years ago

Mwananchi

Slaa: Rais Kikwete aache visingizio

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa amemtaka Rais Jakaya Kikwete kuacha kutafuta visingizio na kuacha taifa lielekee pabaya katika mchakato wa Katiba Mpya.

 

9 years ago

Mtanzania

Mpinzani wa Lema atoa visingizio lukuki

dscf0844ELIYA MBONEA NA ABRAHAMU GWANDU, ARUSHA

ALIYEKUWA mgombea ubunge wa Arusha Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Philemon Mollel ‘Monaban’, ameibuka na madai mazito kwa Jeshi la Polisi kuwa walichangia kushindwa kwake na Godbless Lema wa Chadema.

Katika uchaguzi huo uliofanyika jijini hapa juzi, wapigakura 105,800 walijitokeza kati ya 317,814  waliojiandikisha ambapo kura halali zilikuwa 104,353 huku 1,447 zikiharibika.

Msimamizi wa uchaguzi ambaye pia ni Mkurugenzi wa Jiji la Arusha,...

 

9 years ago

Habarileo

Kocha Toto Africans amwaga visingizio

KOCHA Mkuu wa Toto Africans, Martin Grelics, amesema malengo ya klabu yake si kuzifunga Simba, Yanga wala Azam badala yake ni kuhakikisha inaendelea kubaki kwenye ligi ili apate muda wa kukiboresha kikosi hicho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani