Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MRADI WA LVEMP II KUBORESHA DAGAA NA FURU,CHATO

Na Richard Bagolele Chato
Mradi wa kuhifadhi mazingira ya  ziwa Victoria awamu ya pili (LVEMP II) Wilayani Chato unategemewa kuboresha ubora wa Dagaa na Furu katika mialo mbalimbali Wilayani hapa.
Mradi huo ambao unasimamia na kuhifadhi mazingira ya ziwa Victoria umeanza kwa kuunda kamati mbalimbali wilayani hapa ambazozinasimamia udhibiti wa Gugumaji, kuhifadhi na kulinda mazalia ya samaki na mradi wa kituo cha kuzalisha wadudu aina ya  Mbawakavu  ambao hushambulia mmea wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Naibu Waziri Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki akagua miradi ya maendeleo inayosimamiwa na Mradi wa Kuifadhi Mazingira wa Ziwa Victoria LVEMP II

Naibu Waziri Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Juma Abdulla Saadala jana alishindwa kuzindua Mashine ya kuchakata Alizeti iliyotolewa na Mradi wa kuifadhi Mazingira wa Ziwa Victoria LVEMP II kwa sababu ya kuwa na kasoro ndogo ndogo za kiufundi na utendaji.
Akiwahutubia Wananchi wa kijiji cha Kilulu nje kidogo ya mji wa Bariadi Mkoani Simiyu Mhe. Juma alisema ikiwa ni ahadi yake ya kuzindua mashine hiyo lakini ameshindwa kufanya hivyo baada ya kutokeza kasoro za kiufundi na ya...

 

11 years ago

Michuzi

MRADI WA KUDHIBITI GUGUMAJI ZIWA VICTORIA WATAMBULISHWA CHATO

 Na Richard Bagolele  Mradi wa kutibiti gugumaji kanda ya ziwa chini ya ufadhili wa wa mradi wa hifadhi ya mazingira ya ziwa Viktoria awamu ya pili (LVEM II) umetambulishwa rasmi wilayani Chato.  Akiongea wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo yaliyofanyika kwennye ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato mratibu wa mafunzo hayo Bw. Emanuel Kitabo amesema lengo la kutambulisha mradi huo kwa wadau mbalimbali wa Chato ni kuhifadhi na kutunza mazingira ya ziwa Victoria vikiwemo vyanzo...

 

10 years ago

Vijimambo

BALOZI WA JAPAN ASAINI MKATABA WA MRADI WA UJENZI WA KIWANDA CHA KUKAMULIA MAFUTA YA ALIZETI WILAYANI CHATO.

BALOZI wa Japan nchini Masaki Okada leo ametiliana saini na halmashauri ya wilaya ya chato mkoani geita ujenzi wa kiwanda cha kukamulia mafuta ya alizeti kitakachojengwa wilayani chato mkoani geita.Akizungumza katika hafla hiyo balozi Okada amesema serikali ya japan imeamua kutoa msaada wa dola za Marekani 95,124 sawa na shilingi milioni 165 za Tanzania kugharamia mradi huo.“Mradi huu ni wa kipekee katika miradi toka mfoko wa grant assistance for grassroots human security projects GGHSP...

 

11 years ago

Michuzi

MRADI WA TIER 1 KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA.

Mazingira ya biashara nchini yataendelea kuimarika na kuinufaisha nchi na wananchi kwa ujumla iwapo mradi wa Tier 1 utatekelezwa kikamilifu kwa wakati na kwa kuzingatia malengo yanayokusudiwa.   Mradi wa TIER 1 ni mradi unaofadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa UNDP wenye lengo la la kujenga uwezo wa kuchambua, kushirikisha kuongeza ufanisi wa watendaji wa Serikali katika Sekta ya Viwanda, Biashara na Masoko ili waweze kuboresha Sekta hiyo na kuifanya kutoa mchango mkubwa...

 

10 years ago

GPL

AIRTEL YAZINDUA RASMI MRADI WAKE WA KUBORESHA ELIMU

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa mradi wa “Airtel Shule Yetu” kwa mwaka 2014/15, katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Mradi huu wa vitabu umeweza kufikia shule zaidi ya 1,000 toka ulipoanza miaka kumi iliyopita. Wanaoshuhudia ni Mkurugenzi Mkuu wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso (katikati), na Mkurugenzi wa...

 

5 years ago

Michuzi

RUZUKU YA TASAF YAMUWEZESHA ALBINA KUENDESHA MRADI WA KOKOTO NA KUBORESHA MAISHA YAKE MJINI BABATI

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, Mhe. Dkt. Jasson Rweikiza (Mb), akieleza kuridhishwa na maendeleo ya Mnufaika wa (TASAF), Bibi Albina Matayo, mkazi wa Halmashauri ya Mji wa Babati.
Mnufaika wa Ruzuku inayotolewa na Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini (TASAF), Bibi Albina Matayo, mkazi wa Halmashauri ya Mji wa Babati, Mtaa wa Mrara, akitoa ushuhuda jana kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa wa namna TASAF ilivyomuwezesha...

 

10 years ago

Dewji Blog

SNV yazindua ushirikiano na FINCA kuanziasha mradi wa kuboresha maisha ya vijana 20500 waishio vijijini

1

Mkuu wa Huduma za Kibenki wa FINCA Tanzania, Bwana Gershom Mpangalah akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa mradi wa kusaidia vijana wa OYE unaofanywa kati ya FINCA na shirika la maendeleo la SNV. Wanaotazama kutoka kushoto ni Mkuu wa Mradi OYE Upande wa Vijana Bwana Awadh Milas, Mkuu wa Miradi ya OYE Tanzania, Mozambique na Rwanda, Bwana Roy Van Der Drift na Mkurugenzi Mtendaji wa FINCA Bwana Ed Greenwood.

Na Mwandishi wetu

Shirika la Maendeleo la Kiholanzi SNV na...

 

9 years ago

Michuzi

IDARA YA MIPANGO MIJI NA VIJIJI ZANZIBAR YAANDAA MRADI WA KUBORESHA MAENEO MATANO YA WAZI YA MJI WA ZANZIBAR CHINI YA UFADHILI WA SHIRIKA LA SDC LA SWITZERLAND.

 Mkuu wa Ushirikiano wa  Ubalozi wa Switzerland nchini Tanzaania Romana Tedeschi akizungumza na wananchi (hawapo pichani) walioshiriki uzinduzi wa Mradi wa kuboresha maeneo matano ya wazi ya Mji wa Zanzibar kwa kuanzia na  Kiwanja cha Demokrasia Kibandamaiti utakaofadhiliwa na Shirika la SDC la nchi hiyo. Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Abdalla Mwinyi Khamis akizindua  Mradi wa kuboresha maeneo ya wazi ya Mjini  Zanzibar katika hafla iliyofanyika Idara ya Ardhi na Upimaji Forodhani Mjini...

 

9 years ago

Bongo Movies

Chilwa Kutoa Upapa Kula Dagaa Katika Tasnia ya Filamu

TUPO katika mchakato wa uchaguzi wa vyama vinavyounda shirikisho la filamu Tanzania (TAFF) tukiangazia uchaguzi wa chama cha waigizaji Taifa TDFAA huku kila mgombea akijinadi kwa madaha na leo hii FC iliongea na Salum Hussein Chilwa akiitaka nafasi hiyo na kumwaga sera zake kwa wapiga kura wake.

Salum Chilwa akiwa kazini

Salum Chilwa akiwa kazini

Chilwa ambaye alikuwa makamu mwenyekiti wa chama cha Waigizaji Kinondoni anasema anatosha kugombea uenyekiti Taifa kwania ana uzoefu mkubwa na anakuja kwa ajili ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani