MRADI WA LVEMP II KUBORESHA DAGAA NA FURU,CHATO
Na Richard Bagolele Chato
Mradi wa kuhifadhi mazingira ya ziwa Victoria awamu ya pili (LVEMP II) Wilayani Chato unategemewa kuboresha ubora wa Dagaa na Furu katika mialo mbalimbali Wilayani hapa.
Mradi huo ambao unasimamia na kuhifadhi mazingira ya ziwa Victoria umeanza kwa kuunda kamati mbalimbali wilayani hapa ambazozinasimamia udhibiti wa Gugumaji, kuhifadhi na kulinda mazalia ya samaki na mradi wa kituo cha kuzalisha wadudu aina ya Mbawakavu ambao hushambulia mmea wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-i9Cw6Grxh2o/VDjSk3258VI/AAAAAAAGpGg/MTWq-1PIkLU/s72-c/IMG_1356.jpg)
Naibu Waziri Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki akagua miradi ya maendeleo inayosimamiwa na Mradi wa Kuifadhi Mazingira wa Ziwa Victoria LVEMP II
Akiwahutubia Wananchi wa kijiji cha Kilulu nje kidogo ya mji wa Bariadi Mkoani Simiyu Mhe. Juma alisema ikiwa ni ahadi yake ya kuzindua mashine hiyo lakini ameshindwa kufanya hivyo baada ya kutokeza kasoro za kiufundi na ya...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OoEMzID1BVY/UzMxdmKRkiI/AAAAAAAFWrw/wc2agK6W5Ho/s72-c/unnamed+(12).jpg)
MRADI WA KUDHIBITI GUGUMAJI ZIWA VICTORIA WATAMBULISHWA CHATO
10 years ago
VijimamboBALOZI WA JAPAN ASAINI MKATABA WA MRADI WA UJENZI WA KIWANDA CHA KUKAMULIA MAFUTA YA ALIZETI WILAYANI CHATO.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DZZ3kG3buiE/UzKKU-EUKmI/AAAAAAAFWdY/GRhS-1R68y8/s72-c/unnamed+(2).jpg)
MRADI WA TIER 1 KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ha*i6Zw5Rmq64mT6vYaygAojOLQ1jNnyMbYt9DXmis1XJL70lqq1OI6LT590f3ynmR1XhQ4z5gcgirrb7iVobixIq1xmudxT/1.jpg?width=650)
AIRTEL YAZINDUA RASMI MRADI WAKE WA KUBORESHA ELIMU
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HsO54I7bv6g/Xm58nJIipaI/AAAAAAALjyQ/vrvoSxBa9-Qz_QPdQrp02LlL4BwipwFIQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_101.jpg)
RUZUKU YA TASAF YAMUWEZESHA ALBINA KUENDESHA MRADI WA KOKOTO NA KUBORESHA MAISHA YAKE MJINI BABATI
![](https://1.bp.blogspot.com/-HsO54I7bv6g/Xm58nJIipaI/AAAAAAALjyQ/vrvoSxBa9-Qz_QPdQrp02LlL4BwipwFIQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_101.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG_100.jpg)
Mnufaika wa Ruzuku inayotolewa na Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini (TASAF), Bibi Albina Matayo, mkazi wa Halmashauri ya Mji wa Babati, Mtaa wa Mrara, akitoa ushuhuda jana kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa wa namna TASAF ilivyomuwezesha...
10 years ago
Dewji Blog17 Oct
SNV yazindua ushirikiano na FINCA kuanziasha mradi wa kuboresha maisha ya vijana 20500 waishio vijijini
Mkuu wa Huduma za Kibenki wa FINCA Tanzania, Bwana Gershom Mpangalah akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa mradi wa kusaidia vijana wa OYE unaofanywa kati ya FINCA na shirika la maendeleo la SNV. Wanaotazama kutoka kushoto ni Mkuu wa Mradi OYE Upande wa Vijana Bwana Awadh Milas, Mkuu wa Miradi ya OYE Tanzania, Mozambique na Rwanda, Bwana Roy Van Der Drift na Mkurugenzi Mtendaji wa FINCA Bwana Ed Greenwood.
Na Mwandishi wetu
Shirika la Maendeleo la Kiholanzi SNV na...
9 years ago
MichuziIDARA YA MIPANGO MIJI NA VIJIJI ZANZIBAR YAANDAA MRADI WA KUBORESHA MAENEO MATANO YA WAZI YA MJI WA ZANZIBAR CHINI YA UFADHILI WA SHIRIKA LA SDC LA SWITZERLAND.
9 years ago
Bongo Movies27 Dec
Chilwa Kutoa Upapa Kula Dagaa Katika Tasnia ya Filamu
TUPO katika mchakato wa uchaguzi wa vyama vinavyounda shirikisho la filamu Tanzania (TAFF) tukiangazia uchaguzi wa chama cha waigizaji Taifa TDFAA huku kila mgombea akijinadi kwa madaha na leo hii FC iliongea na Salum Hussein Chilwa akiitaka nafasi hiyo na kumwaga sera zake kwa wapiga kura wake.
![Salum Chilwa akiwa kazini](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/Salum-Chilwa.jpg)
Salum Chilwa akiwa kazini
Chilwa ambaye alikuwa makamu mwenyekiti wa chama cha Waigizaji Kinondoni anasema anatosha kugombea uenyekiti Taifa kwania ana uzoefu mkubwa na anakuja kwa ajili ya...