Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MREMBO: DUDE AMENIZALISHA, KANITELEKEZA

Gladness Mallya na Andrew Carlos
Mrembo aliyejitambulisha kwa jina la Ester Eliakim, mkazi wa Kinyerezi, Dar ameibuka na kueleza kwamba alizaa na staa wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ambaye baadaye alimtelekeza yeye na mwanaye Cleopatra (mwenye miezi 11). Staa wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’. Akizungumza na paparazi wetu, Ester alisema mara ya kwanza alikutana na Dude katika mchezo wa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

VIDEO: DUDE AMENIZALISHA, AKANITELEKEZA - MREMBO

Mrembo aliyejitambulisha kwa jina la Ester Eliakim, mkazi wa Kinyerezi, Dar ameibuka na kueleza kwamba alizaa na staa wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ambaye baadaye alimtelekeza yeye na mwanaye Cleopatra (mwenye miezi 11).

 

10 years ago

GPL

MUME KANITELEKEZA NA WATOTO WATANO

Jenifer Omar akizungumza na wanahabari (hawako pichani). Sehemu ya waraka wa mama huyo kwa taasisi na wadau mbalimbali. MAMA mmoja aliyejulikana kwa jina la Jenifer Omar anaomba msaada wa  kisheria kutoka kwa taasisi mbalimbali kufuatia kutelekezwa na mumewe aliyemtaja kwa jina la Aslam Haroon.
Akizungumza na GPL, Jenifer…

 

11 years ago

GPL

DUDE

Stori: Gladness Mallya
Msanii wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameeleza sababu ya baadhi ya wasanii kuutenga msiba Saidi Ngamba ‘Mzee Small’ akidai kuwa wengi waliona aibu kutokana na walivyomtenga alipokuwa akiumwa. Msanii wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Dude alisema: “Wasanii wengi tumeona aibu kuja hata kwenye maandalizi kutokana...

 

11 years ago

GPL

MASTAA WAMBWATUKIA DUDE

Stori: Gladness Mallya
WASANII wa kike wanaotamba kwenye filamu za Kibongo, hivi karibuni wamembwatukia staa mwenzao, Kulwa Kikumba ‘Dude’ na kuipinga kauli yake kwamba mastaa wengi wa kike wametokea kwenye uchangudoa na kuvamia tasnia hiyo, shuka na mistari uipate habari hii. Kulwa Kikumba ‘Dude’. Wakizungumza na Risasi Jumamosi, mastaa hao wamemtaka Dude kuacha tabia ya kuropoka kwani kauli yake...

 

10 years ago

Bongo Movies

Dude Alaumu Viwango 0

Dude alaumu wasanii wenzake kwa kutoa utitiri wa filamu zisizo na viwango  na kusema  anataka kuleta mabadiliko katika filamu yake  mpya, baada ya kukaa muda mrefu bila kutoa sinema.

Dude alisema wasanii wengi  wa filamu  nchini  wana vipaji lakini  wanashindwa kuvitumia ipasavyo kutokana na kuandika miswada ya filamu ambazo hazina elimu yoyote kwa jamii.

Mbali na miswada mibovu , Dude amesema pia wasanii wengi wana tatizo la kuingiza mambo binafsi  ambayo hayaendani na  hadithi  yenyewe...

 

11 years ago

GPL

DUDE ATINGA GLOBAL TV ONLINE

Msanii wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba 'Dude' akiwa katika pozi kabla ya kufanya mahojiano na Global TV Online.
Dude akifanyiwa mahojiano na mtangazaji wa Global TV Online, Pamela Daffa (kushoto).…

 

10 years ago

GPL

NDINGA LA DUDE NGOMA NZITO!

Stori: Mayasa Mariwata ngoma nzito! Lile ndinga aina ya Toyota Vitz la mwigizaji Kulwa Kikumba ‘Dude’ ambalo lilidaiwa kutumika kwa ujambazi juzikati, bado lina ugumu wa kuachiwa kutokana na watuhumiwa walioka matwa nalo kuhusishwa na makosa ya mauaji. Gari ndogo aina ya Toyota Vitz la mwigizaji Kulwa Kikumba ‘Dude’. Kwa mujibu wa chanzo chetu kutoka jeshi la polisi ambacho kiliomba hifadhi ya jina,...

 

10 years ago

Bongo Movies

Dude:Nina Watoto Wanane Tu!!

MWONGOZAJI na mwigizaji mahiri katika tasnia ya filamu za Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’, ametaja idadi ya watoto wake akisema wapo wanane tu. Amekanusha vikali kuwa na timu ya mpira (watoto 11) idadi inayovumishwa na wengi.

Dude anatajwa kuwa ni msanii anayeongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya watoto kwa wasanii wengine wa kiume wa Tanzania.

“Kila mtu anasema anavyojisikia, mara ooh Dude ana timu nzima ya mpira wa miguu, lakini ukweli ni kwamba nina watoto wanane tu, ambao nimezaa na...

 

9 years ago

GPL

ESTER, MKE WA DUDE WAPATANISHWA

Imelda Mtema Bifu kwishnei! Wasanii wa filamu Bongo, Eva Dude na Ester Kihama, mapema wiki hii walikutana uso kwa uso katika Hoteli ya Double Tree iliyopo Masaki jijini Dar ambapo mmoja wa watu wao wa karibu aliwakutanisha ili kuwapatanisha.  ....soma zidi===> http://bit.ly/1E7TU82

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani