Mrithi wa Kamwaga Msimbazi wiki ijao
KLABU ya Simba imepanga kuwatambulisha rasmi Katibu Mkuu mpya, Steven Ally na Ofisa Habari, aliyefahamika kwa jina moja la Humphrey, ili waweze kuanza kutekeleza majukumu yao. Pamoja na uteuzi wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi05 Jun
Kamwaga akimbia ofisi za Simba
Fukuto la uchaguzi linaloendelea ndani ya klabu ya Simba limemfanya Katibu Mkuu wa klabu hiyo, Ezekiel Kamwaga kuiona ofisi yake chungu kama shubiri.
Kamwaga hajaingia ofisini kwa muda wa wiki moja sasa.
11 years ago
Tanzania Daima09 Apr
Kamwaga: Hakuna fundi zaidi Simba
KATIBU Mkuu wa Klabu ya Simba, Ezekiel Kamwaga, amesema hakuna nyota tegemeo zaidi ya wengine katika kikosi na ndiyo maana katika safari ya Bukoba waliwaacha baadhi yao na kuondoka nao...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jzsUW*22gf1bPR6qUl1fTu*ZvhkWMvtR8w0jQ5bMWsLB8JnAA5rtJPm0ywFAVlpRfYNYsfVUCtHUQGOW4rZuXWWYfFnAPLjl/1EzekielKamwaga.jpg?width=650)
KAMWAGA, MUHAJI WALA SHAVU SIMBA SC
Katibu Mkuu mpya wa Simba, Ezekiel Kamwaga. ALIYEKUWA Ofisa Habari wa klabu ya Simba, Ezekiel Kamwaga ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu mpya wa timu hiyo akichukua nafasi ya Evodius Mtawala aliyeajiriwa TFF akiwa Mkurugenzi wa Kitengo cha Wanachama na Sheria. Simba imemteua pia Mwandishi Mkongwe wa habari za michezo, Asha Muhaji kuwa Ofisa Habari mpya wa klabu hiyo. ...
11 years ago
Mwananchi05 Jun
Katibu Mkuu wa klabu hiyo, Ezekiel Kamwaga
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limesema mkutano mkuu wa wanachama wa Yanga hauna mamlaka ya kuuongezea muda uongozi wao kwa kuwa katiba yao inasema uongozi utakaa madarakani kwa muda wa miaka minne.
11 years ago
Mwananchi26 Feb
Kamwaga aahidi uwanja Simba baada ya siku 100
>Katibu Mkuu wa Simba, Ezekiel Kamwaga, amejitwisha zigo baada ya kutamka kwamba atahahakikisha timu yake inapata uwanja wa kufanyia mazoezi ndani ya siku 100.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pUv0rT5h6PKqFvLw0-EfN8rEhgWXwHWev6l9M5Y*ci*Z0*JajCdG6OmhEtFW1CuXpPdbF1XZs0fnVRqbYP1*0m8WlRmMJ6tZ/wemasepetu.jpg?width=650)
WEMA KAMWAGA MBOGA, KAJALA AJIANDAA KUMWAGA UGALI
Staa katika tasnia ya Bongo Movie, Wema Isaac Sepetu. Baada ya siku za hivi karibuni, Wema Sepetu kuamua kumwaga mboga kwa kumfungukia shosti wake wa zamani Kajala Masanja kwa kusema si rafiki mzuri na pia amefilisika, inadaiwa Kajala anajiandaa kumwaga ugali, Ijumaa limetonywa. Rafiki wa karibu wa Kajala aliyeomba hifadhi ya jina lake, alimtonya mwandishi wetu kuwa maneno anayoyatoa Wema yanamkosesha amani mwenzake na kwamba...
10 years ago
Mwananchi20 Feb
Ajenda 10 za mrithi wa JK
>Wakati mjadala wa majina ya watu wanaotaka kuwania urais umepamba moto, baadhi ya wasomi, wachambuzi na wasomaji wa gazeti hili wamesema badala ya kukimbilia majina, wagombea hao wanatakiwa kueleza jinsi gani watakavyokabiliana na ajenda 10 muhimu kwa maendeleo ya Taifa.
11 years ago
TheCitizen29 May
Sweeping changes begin at Msimbazi
Simba SC coach Zdravko Logarusic has embarked on a talent identification that is meant to bring in eleven new players at the club next season in what is viewed as the coach’s intention of reforming the club.
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Hali tete Msimbazi
Uongozi wa Klabu ya Simba umeingia katika mgogoro wa kisheria na wachezaji wake 10 baada ya kuvunja mikataba yao na kuwapa barua ili wasajiliwe na timu nyingine msimu ujao.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania