Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mrithi wa Kamwaga Msimbazi wiki ijao

KLABU ya Simba imepanga kuwatambulisha rasmi Katibu Mkuu mpya, Steven Ally na Ofisa Habari, aliyefahamika kwa jina moja la Humphrey, ili waweze kuanza kutekeleza majukumu yao. Pamoja na uteuzi wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kamwaga akimbia ofisi za Simba

Fukuto la uchaguzi linaloendelea ndani ya klabu ya Simba limemfanya Katibu Mkuu wa klabu hiyo, Ezekiel Kamwaga kuiona ofisi yake chungu kama shubiri. Kamwaga hajaingia ofisini kwa muda wa wiki moja sasa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kamwaga: Hakuna fundi zaidi Simba

KATIBU Mkuu wa Klabu ya Simba, Ezekiel Kamwaga, amesema hakuna nyota tegemeo zaidi ya wengine katika kikosi na ndiyo maana katika safari ya Bukoba waliwaacha baadhi yao na kuondoka nao...

 

11 years ago

GPL

KAMWAGA, MUHAJI WALA SHAVU SIMBA SC

Katibu Mkuu mpya wa Simba, Ezekiel Kamwaga. ALIYEKUWA Ofisa Habari wa klabu ya Simba, Ezekiel Kamwaga ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu mpya wa timu hiyo akichukua nafasi ya Evodius Mtawala aliyeajiriwa TFF akiwa Mkurugenzi wa Kitengo cha Wanachama na Sheria. Simba imemteua pia Mwandishi Mkongwe wa habari za michezo, Asha Muhaji kuwa Ofisa Habari mpya wa klabu hiyo. ...

 

11 years ago

Mwananchi

Katibu Mkuu wa klabu hiyo, Ezekiel Kamwaga

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limesema mkutano mkuu wa wanachama wa Yanga hauna mamlaka ya kuuongezea muda uongozi wao kwa kuwa katiba yao inasema uongozi utakaa madarakani kwa muda wa miaka minne.

 

11 years ago

Mwananchi

Kamwaga aahidi uwanja Simba baada ya siku 100

>Katibu Mkuu wa Simba, Ezekiel Kamwaga, amejitwisha zigo baada ya kutamka kwamba atahahakikisha timu yake inapata uwanja wa kufanyia mazoezi ndani ya siku 100.

 

10 years ago

GPL

WEMA KAMWAGA MBOGA, KAJALA AJIANDAA KUMWAGA UGALI

Staa katika tasnia ya Bongo Movie, Wema Isaac Sepetu. Baada ya siku za hivi karibuni, Wema Sepetu kuamua kumwaga mboga kwa kumfungukia shosti wake wa zamani Kajala Masanja kwa kusema si rafiki mzuri na pia amefilisika, inadaiwa Kajala anajiandaa kumwaga ugali, Ijumaa limetonywa. Rafiki wa karibu wa Kajala aliyeomba hifadhi ya jina lake, alimtonya mwandishi wetu kuwa maneno anayoyatoa Wema yanamkosesha amani mwenzake na kwamba...

 

10 years ago

Mwananchi

Ajenda 10 za mrithi wa JK

>Wakati mjadala wa majina ya watu wanaotaka kuwania urais umepamba moto, baadhi ya wasomi, wachambuzi na wasomaji wa gazeti hili wamesema badala ya kukimbilia majina, wagombea hao wanatakiwa kueleza jinsi gani watakavyokabiliana na ajenda 10 muhimu kwa maendeleo ya Taifa.

 

11 years ago

TheCitizen

Sweeping changes begin at Msimbazi

Simba SC coach Zdravko Logarusic has embarked on a talent identification that is meant to bring in eleven new players at the club next season in what is viewed as the coach’s intention of reforming the club.

 

10 years ago

Mwananchi

Hali tete Msimbazi

Uongozi wa Klabu ya Simba umeingia katika mgogoro wa kisheria na wachezaji wake 10 baada ya kuvunja mikataba yao na kuwapa barua ili wasajiliwe na timu nyingine msimu ujao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani