MSAADA KWA MZEE HUYU
![](http://api.ning.com:80/files/Tkccsb*3vm6SMKLKMMY25rnjgv5VaKTVHbxad9Kn9Tw6fnKXtBpnFAW*Am4Db7PI2Sx8gCaq*OP*9vjIjwWkFhsx6V80r5S0/1.jpg?width=650)
Mzee Bugode Bulahi akiwa ndani kwake. Nyumba anayoishi Mzee Bugode. Na Gabriel Ng’osha/GPL Mzee mmoja anayejulikana kwa jina la Bugode Bulahi mkazi wa Sogesca wilayani Magu Mkoa wa Mwanza, anaomba…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OQgcBqx8JZs/VkmD40keuPI/AAAAAAAIGHU/1Gp1PrPgK14/s72-c/IMG_20151112_170929%255B1%255D.jpg)
MSAADA WA MATIBABU UNAHIDAJIKA KWA DADA HUYU
![](http://4.bp.blogspot.com/-OQgcBqx8JZs/VkmD40keuPI/AAAAAAAIGHU/1Gp1PrPgK14/s640/IMG_20151112_170929%255B1%255D.jpg)
Napenda kutumia fursa hii kukushirikisha habari ya kusikitisha kuhusu dada Joyce Mwambepo mkazi wa Sinde jijini Mbeya. Dada huyu mwenye umri wa 27 anaishi na bibi yake mwenye umri wa miaka 80 pamoja na mwanaye mwenye umri wa miaka 4.
Kwa bahati mbaya mwezi April mwaka jana dada huyu alipata ajali ya kugongwa na gari ambayo hata hivyo haikusimama kumsaidia. Ila kwa msaada wa wasamaria wema alipelekwa hospitali ya raufaa mkoani Mbeya ambako alikaa kwa miezi mitatu bila kupata...
9 years ago
Dewji Blog17 Nov
Msaada wa wasamaria wema wa matibabu unahitajika kwa dada huyu
![](http://2.bp.blogspot.com/-aIxK9GFfgIY/VkosddaDbYI/AAAAAAAIGSI/Oa0qJzpNdRM/s640/22c86c9949965ef8a85ff0688d6eb0e0.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nmf9gazYijc/VkosiXb3-HI/AAAAAAAIGSQ/HPWbd_gLJpk/s640/af211d441b4e6718d9223f73fe6e1855.jpg)
Ndugu Wasamaria wema
Napenda kutumia fursa hii kukushirikisha habari ya kusikitisha kuhusu dada Joyce Mwambepo (pichani akiwa na mwanaye, na migu yake iliyopooza) mkaazi wa Sinde jijini Mbeya. Dada huyu mwenye umri wa miaka 27 anaishi na bibi yake mwenye umri wa miaka 80 pamoja na mwanaye mwenye umri wa miaka 4.![](http://3.bp.blogspot.com/-anCSjNjqRuE/Vkoskduw2oI/AAAAAAAIGSY/BxDRsz-3UcE/s400/3388d5f0cc00b03c5a2738f8c17401c3.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-eLenu5ZdBXY/VcYMTtfXheI/AAAAAAAAAhE/-vz2XjbXJnk/s72-c/IMG-20150808-WA0024.jpg)
MSAADA KWA HILI: SHILINGI MILIONI 50 ZINAHITAJIKA KUOKOA MAISHA YA KIJANA HUYU
![](http://4.bp.blogspot.com/-eLenu5ZdBXY/VcYMTtfXheI/AAAAAAAAAhE/-vz2XjbXJnk/s1600/IMG-20150808-WA0024.jpg)
Na Mwandishi Wetu
Kijana Abel mwenye umri wa miaka 23 mkazi wa Ukonga Mombasa jijini Dar es Salaam anakabiliwa na maradhi ya macho na mishipa ya fahamu hali iliyosababisha apoteze uwezo wa kuona, na hivyo...
11 years ago
GPLMZEE ALIYEPOOZA ANAOMBA MSAADA KWA AJILI YA TIBA
Mzee Nassor akiwa nyumbani kwake Magomeni-Usalama jijini Dar es Salaam. Mzee Nassor akiwa amesimama. Na Gabriel Ng’osha/GPL MZEE Nassor mkazi wa Magomeni-Usalama jijini Dar es Salaam anaomba msaada kutoka kwa wananchi ili akatibiwe ugonjwa wa kupooza ambao umemfanya atembee na kuzungumza kwa shida ikiwa ni pamoja na kuathiri mkono na mdomo wake. Akizungumza na mtandao huu, mzee Nassor alisema matatizo hayo yalianza...
10 years ago
MichuziMSAADA TUTANI ILI KUOKOA UHAI WA MTOTO HUYU
Mama mzazi wa Mtoto Bi. Zainabu Mustafa Rajab,alisema kuwa Binti yake huyo alizaliwa April 24 mwaka huu katika hospitali ya Serikali ya Wilaya ya Tunduru,na kwambatatizo hilo la kuanza kukua kwa...
10 years ago
MichuziMSAADA WAKO UNAHITAJIKA KUOKOA MAISHA YA MTOTO HUYU
---------------------- Paulina nyoni mkazi wa kijiji cha Hanga wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma anaomba msaada kwa yeyote atakaye guswa na tatizo la mwanaye aitwaye Fatuma Msuya ili aweze kupata matibabu katika hospitali ya KCMC moshi.
Paulina ni mama mwenye watoto wa tano anayejishugulisha na kilimo , Mume wake aitwaye Jafari Msuya amemtelekeza baada ya kujifungua mtoto mwenye tatizo hili...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/9040ejmJuF4/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo24 Jan
HUYU NDIO MWANAFUNZI MZEE ZAIDI DUNIANI ANAYESOMA SHULE YA MSINGI, ANA MIAKA 90
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/23/150123014307_gogo_512x288_bbc_nocredit.jpg)
Akiwa na umri wa miaka 90 mwanamke wa Kenya ambaye anahudhuria masomo akiwa na wajukuu zake wapatao sita inaaminika ndiye mwanafunzi mzee zaidi anayesoma shule ya msingi duniani.
Akiwa ameketi dawati la mbele kabisa darasani ,yuko darasa la tano na amevalia nguo za shule , Priscilla Gogo Sitienei anamsikiliza mwalimu anayefundisha kwa makini hukua akiandika majina ya wanyama kwa kiingereza kwenye daftari lake.Prissilla alijiunga na shule hii ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XJnjoUoHh_c/VcYMSZf7FtI/AAAAAAAAAg0/nKspio31qNw/s72-c/IMG-20150808-WA0020.jpg)
MSAADA TUTANI: Shilingi MILIONI 50 zinahitajika Kuokoa Maisha ya Kijana Huyu
![](http://1.bp.blogspot.com/-XJnjoUoHh_c/VcYMSZf7FtI/AAAAAAAAAg0/nKspio31qNw/s1600/IMG-20150808-WA0020.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-eLenu5ZdBXY/VcYMTtfXheI/AAAAAAAAAhE/-vz2XjbXJnk/s1600/IMG-20150808-WA0024.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania