Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MZEE ALIYEPOOZA ANAOMBA MSAADA KWA AJILI YA TIBA

Mzee Nassor akiwa nyumbani kwake Magomeni-Usalama jijini Dar es Salaam. Mzee Nassor akiwa amesimama. Na Gabriel Ng’osha/GPL MZEE Nassor mkazi wa Magomeni-Usalama jijini Dar es Salaam anaomba msaada kutoka kwa wananchi ili akatibiwe ugonjwa wa kupooza  ambao umemfanya atembee na kuzungumza kwa shida ikiwa ni pamoja na kuathiri mkono na mdomo wake. Akizungumza na mtandao huu, mzee Nassor alisema matatizo hayo yalianza...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

DC KATAMBI AGAWA VIFAA TIBA 3,600 KWA AJILI YA KUPAMBANA NA CORONA


Charles James, Globu ya Jamii

KATIKA kupambana na maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona, Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi amegawa vifaa kinga vya kujikinga na ugonjwa huo vipatavyo 3,600.

DC Katambi amegawa vifaa hivyo ambavyo ni vitakasa mikono 'sanitizer' kwa taasisi mbalimbali za umma, binafsi, vyama vya siasa na taasisi za Dini lengo likiwa ni kudhibiti maambukizi ya ugonjwa huo ndani ya Wilaya yake.

Akizungumza wakati akigawa vifaa hivyo, DC Katambi amesema...

 

10 years ago

StarTV

Peter Samson anaomba msaada 0754 57 26 59

Mkazi wa Mecco jijini Mwanza Peter Samson Majeuri anaomba msaada wa matibabu ya mkono baada ya mfupa wa ndani kuvunjika na kupoteza mfumo wa mawasiliano kati ya mkono na ubongo kutokana na ajali ya gari.

Peter anasumbuliwa na tatizo hilo kwa takriban miaka 16 hali iliyosababisha mkono wake wa kulia kuwekewa chuma.

Tatizo hilo limesababisha maisha yake kuwa magumu baada ya mke wake kumuona kama mzigo na kumkimbia akimwachia watoto sita.

Baba huyu mwenye familia ya  watoto sita amekuwa...

 

10 years ago

Vijimambo

Kiijana Suleiman Othuman anaomba msaada wenu

Pichani kiijana Suleiman Othuman akiwa amelazwa hospitali ya Mnazi Mmoja wodi ya chini upande wa dirisha la dawa kitanda no 12. Assalam Aleikum ndugu zangu mnaotusoma kwenye blog hii kila siku, msaada unahitajika kwa kijana Suleiman Othman Ally mwenye umri wa miaka 19, mkaazi wa Zanzibar, amepatwa na tatizo la uvimbe mkubwa kwenye mgongo wake baada ya kupatwa na ajali  kugongwa na Vespa kwa muda wa siku nyingi tu, walimpeleka Hospitali ya Mnazi mmoja ambapo ilishindikana kupata matibabu...

 

10 years ago

Michuzi

Kijana Suleiman Othuman wa Zanzibar anaomba msaada wenu

Pichani kiijana Suleiman Othuman akiwa amelazwa hospitali ya Mnazi Mmoja wodi ya chini upande wa dirisha la dawa kitanda no 12. 
 Assalam Aleikum ndugu zangu mnaotusoma kwenye blog hii kila siku, msaada unahitajika kwa kijana Suleiman Othman Ally mwenye umri wa miaka 19, mkaazi wa Zanzibar, amepatwa na tatizo la uvimbe mkubwa kwenye mgongo wake baada ya kupatwa na ajali  kugongwa na Vespa kwa muda wa siku nyingi tu.Walimpeleka Hospitali ya Mnazi mmoja ambapo ilishindikana kupata matibabu...

 

5 years ago

CCM Blog

SERIKALI: DAWA YA CORONA AMBAYO MADAGASCAR IMETOA MSAADA KWA TANZANIA NI KWA AJILI YA UTAFITI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba Kabudi, akiwaonyesha dawa ambayo Madagascar imetoa msaada kwa Tanzania, alipozungumza na Waandishi wa habari Jijini Dae es Salaam, leo.
Dar es Salaam, Tanzania
Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, imesema dawa ambayo nchi ya Madagascar imeitoa kama msaada wa Serikali ya Tanzania ni kwa ajili ya utafiti kwanza.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof....

 

11 years ago

Michuzi

BINTI SELITIAN NATA,MWENYE UVIMBE ANAOMBA MSAADA WA MATIBABU

Na John Gagarini, Bagamoyo.   MSICHANA Selitian Nata (25) mkazi wa Kijiji cha Kisogo kata ya Vigwaza Wilayani Bagamoyo mkoani Pwani yuko kwenye hali mbaya ya kiafya baada ya kuvimba mguu na kuwa kwenye maumivu makali.Ugonjwa huo uvimbe huo ulianza kama kipele kidogo miaka zaidi ya 10  iliyopita lakini kadiri siku zilivyokuwa zikienda ndipo uvimbe huo ulizidi kuongezeka na kufikia usawa wa mbavu.   Akizungumza na waandishiw ahabari ambao walimtembelea nyumbani kwao alisema kuwa uvimbe...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mtoto Sophia anaomba msaada ili aweze kupata matibabu

unnamed

Sophia Abdul (14)

 Na Amon Mtega –  Songea

MTOTO Sophia Abdul (14) anayesoma shule ya msingi Lilahi darasa la tano iliyopo kata ya Mhukulu wilaya ya Songea vijijini mkoani Ruvuma amekumbwa na ugonjwa usiofahamika ambao umejitokeza kwenye  jicho lake  la kulia lililo vimba na kutokezea nje hali inayomletea maumivu makali na kushindwa kwenda shule huku akiomba msaada kwa wasamaria wema.

 Akiongea na waandishi wa habari katika ofisi za elimu za wilaya hiyo mama wa mtoto huyo Joyce Nyoni...

 

10 years ago

GPL

KIJANA SULEIMAN OTHUMAN KUTOKA ZANZIBAR ANAOMBA MSAADA WENU

Pichani kijana Suleiman Othuman akiwa amelazwa hospitali ya Mnazi Mmoja. Assalam Aleikum ndugu zangu mnaotusoma kwenye blog hii kila siku, msaada unahitajika kwa kijana Suleiman Othman Ally mwenye umri wa miaka 19, mkaazi wa Zanzibar, amepatwa na tatizo la uvimbe mkubwa kwenye mgongo wake baada ya kupatwa na ajali  kugongwa na Vespa kwa muda wa siku nyingi tu, walimpeleka Hospitali ya Mnazi mmoja ambapo ilishindikana kupata...

 

11 years ago

Dewji Blog

Tigo yakabidhi msaada kwa Shirika la Red Cross Tanzania kwa ajili ya waathirika wa mafuriko Dumila na Dar es Salaam

1

Meneja wa Uwajibikaji kwa Jamii kutoka Tigo Bi. Woinde Shisael (kulia) akimkambidhi mfano wa hundi cha kiasi cha Tsh 20,700,000 Kaimu Katibu Mkuu wa Shirika la Red Cross nchini Bi. Bertha Mlay mapema leo katika hafla fupi ya makabidhiano yaliyofanyika makao makuu ya Red Cross, jijini Dar es Salaam. Kiasi hicho kinalenga kuwapatia waathirika wa mafuriko wa Dumila – Morogoro na Dar es Salaam huduma za malazi, maji, chakula, mablanketi, neti za kuzuia mbu na magodoro.

2

 Kaimu Katibu Mkuu wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani