Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msanii Tekno Miles kunogesha Tamasha la Johnnie Walker “Grown & Sexy The Gold Finale”

CAMPIX PRODUCTION

Meneja Chapa (pombe kali) wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) Shomari Shija (wa kwanza kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam wakati wa hafla ya kumtambulisha rasmi Msanii Tekno Miles (Katikati) ambaye anatarajiwa kuporomosha burudani ya nguvu kwenye Tamasha la mwisho la “Grown and Sexy, the Gold finale” litakalofanyika katika ukumbi wa King Solomon uliopo Namanga karibu na Best Bite katika mkesha wa mwaka mpya. (wa pili...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Msanii Tekno Miles kunogesha tamasha la Johnnie Walker

 Msanii Tekno Miles (wa kwanza kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa hafla iliyomtambulisha rasmi kwa waandishi wa habari iliyofanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam. Msanii huyo anatarajiwa kuburudisha katika Tamasha la mwisho la “Grown and Sexy, the Gold finale” litakalofanyika katika ukumbi wa King Solomon uliopo Namanga karibu na Best Bite katika mkesha wa mwaka mpya ambapo pia atafunga rasmi mfululizo wa matamasha hayo ya Grown And Sexy...

 

11 years ago

Dewji Blog

“AJ UBAO” & DIRTY HERRY To Perform Alongside Diamond Platnumz In Houston Texas This Memorial May 25 !

dmk BRAND NEW HITS FROM AJ & DIRTY HERRY ON THE STAGE WITH WCB  #WE SUPPORT OUR TALENTS#ENT WILL BE TELEVISED ON THE RED CARPET# GET YOUR TICKETS NOW WWW.DIAMONDUSATOUR.COM

 

11 years ago

GPL

FILAMU YA ESPINHO DA ROSA “THE THORN OF THE ROSE” YATWAA TUZO TATU TAMASHA LA 17 LA ZIFF 2014‏

Malkia wa Filamu ya Espinho da Rosa (the Thorn of the rose) ya Filipe Henriques kutoka Guinea Bissau ADY de Batista akiwasili huku akiongozana na Meneja wake Sholey Maqueta kwenye usiku maalum wa tuzo wakati wa tamasha la 17 la ZIFF 2014 lililomalizika mwishoni mwa juma visiwani Zanzibar kwenye viunga vya Ngome Kongwe Mkurugenzi Mtendaji wa Hoteli ya Doubletree by Hilton Zanzibar, Bw. Samuel(kulia) Bond na Mkewe Jenny Bond...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kuwa wa kwanza kusikiliza wimbo mpya wa Lady jaydee Ft Mazet & Uhuru “Give me love” hapa

IMG-20150410-WA0026

Artist:Lady jaydee Ft Mazet&Uhuru
Song: Give me love
Producer:Uhuru

Support Jaydee, Support Our Own

 

9 years ago

Dewji Blog

Johnnie Walker yazindua kampeni mpya ya “Furaha Itakufikisha Mbali”

CAMPIX PRODUCTION

Meneja Chapa (pombe kali) wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) Shomari Shija (wa kwanza kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (Hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa kampeni mpya ya Johnnie Walker iliyopewa jina la “Furaha itakufikisha mbali” yenye lengo la kuhamasisha watu kuwa na utamaduni wa kupenda na kufurahia kile wanachokifanya katika kujiletea maendeleo binafsi. (katikati) ni Mkuu wa masoko bidhaa za pombe kali za Diageo-Serengeti Breweries Limited (SBL), Stanley Samtu na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Balozi Dkt. Diodorus Buberwa mgeni rasmi katika utowaji wa zawadi kwa washindi wa “Na Mimi Nipo- Online Arts & Science Competition”

Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji, Dr. Diodorus Buberwa akizungumza wakati wa sherehe hiyo.

Meza Kuu, kuanzia kushoto ni Mratibu Mkuu wa FASDO nchini, Joyce Msigwa, Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji, Dr. Diodorus Buberwa, Mkurugenzi wa Kituo cha Utamaduni cha Urusi nchini, Alexander Tsykunov na mwisho ni Mkurugenzi Mtendaji wa FASDO, Tedvan Chande.

Mkurugenzi Mtendaji wa FASDO, Tedvan Chande akizungumza jambo wakati wa sherehe hizo.

Mratibu wa shindano hilo, Joyce Msigwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani