Msanii Tekno Miles kunogesha Tamasha la Johnnie Walker “Grown & Sexy The Gold Finale”
Meneja Chapa (pombe kali) wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) Shomari Shija (wa kwanza kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam wakati wa hafla ya kumtambulisha rasmi Msanii Tekno Miles (Katikati) ambaye anatarajiwa kuporomosha burudani ya nguvu kwenye Tamasha la mwisho la “Grown and Sexy, the Gold finale” litakalofanyika katika ukumbi wa King Solomon uliopo Namanga karibu na Best Bite katika mkesha wa mwaka mpya. (wa pili...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers31 Dec
Msanii Tekno Miles kunogesha tamasha la Johnnie Walker
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-siA7h8M3WJw/VoJjoPQ_ttI/AAAAAAAIPJ0/7bLHiZ1PyQE/s72-c/index.jpg)
11 years ago
Dewji Blog22 May
“AJ UBAO” & DIRTY HERRY To Perform Alongside Diamond Platnumz In Houston Texas This Memorial May 25 !
![dmk](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/dmk.jpg)
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_0987.jpg?width=650)
FILAMU YA ESPINHO DA ROSA “THE THORN OF THE ROSE” YATWAA TUZO TATU TAMASHA LA 17 LA ZIFF 2014
10 years ago
Dewji Blog10 Apr
Kuwa wa kwanza kusikiliza wimbo mpya wa Lady jaydee Ft Mazet & Uhuru “Give me love” hapa
Artist:Lady jaydee Ft Mazet&Uhuru
Song: Give me love
Producer:Uhuru
Support Jaydee, Support Our Own
9 years ago
Dewji Blog30 Nov
Johnnie Walker yazindua kampeni mpya ya “Furaha Itakufikisha Mbaliâ€
Meneja Chapa (pombe kali) wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) Shomari Shija (wa kwanza kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (Hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa kampeni mpya ya Johnnie Walker iliyopewa jina la “Furaha itakufikisha mbali” yenye lengo la kuhamasisha watu kuwa na utamaduni wa kupenda na kufurahia kile wanachokifanya katika kujiletea maendeleo binafsi. (katikati) ni Mkuu wa masoko bidhaa za pombe kali za Diageo-Serengeti Breweries Limited (SBL), Stanley Samtu na...
10 years ago
Dewji Blog12 Jun
Balozi Dkt. Diodorus Buberwa mgeni rasmi katika utowaji wa zawadi kwa washindi wa “Na Mimi Nipo- Online Arts & Science Competition”
Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji, Dr. Diodorus Buberwa akizungumza wakati wa sherehe hiyo.
Meza Kuu, kuanzia kushoto ni Mratibu Mkuu wa FASDO nchini, Joyce Msigwa, Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji, Dr. Diodorus Buberwa, Mkurugenzi wa Kituo cha Utamaduni cha Urusi nchini, Alexander Tsykunov na mwisho ni Mkurugenzi Mtendaji wa FASDO, Tedvan Chande.
Mkurugenzi Mtendaji wa FASDO, Tedvan Chande akizungumza jambo wakati wa sherehe hizo.
Mratibu wa shindano hilo, Joyce Msigwa...