Mshtakiwa alieleza alivyotekeleza mauaji
Mshtakiwa wa kwanza katika kesi ya mauaji ya raia eneo la Magomeni Mikumi, Dar es Salaam, David Julian Mbaike alikiri kufanya mauaji na kueleza jinsi walivyotekeleza mauji hayo yeye na wenzake sita.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi26 Feb
Mshtakiwa kesi ya mauaji aiangukia Mahakama
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sHsjaMIG2oI/XoSBCzmQPyI/AAAAAAALlx4/-jfBkdLO_Xoc5ul2wybDIwkTt5LCHmJTACLcBGAsYHQ/s72-c/IMGM6409-660x400.jpg)
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ALIELEZA BUNGE HATUA ZILIZOCHUKULIWA NA SERIKALI KUKABILIANA NA VIRUSI VYA CORONA...AGUSIA UZUSHI MTANDAONI
![](https://1.bp.blogspot.com/-sHsjaMIG2oI/XoSBCzmQPyI/AAAAAAALlx4/-jfBkdLO_Xoc5ul2wybDIwkTt5LCHmJTACLcBGAsYHQ/s400/IMGM6409-660x400.jpg)
WAZIRI Mkuu Kasim Majaliwa amelieleza Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hatua mbalimbali ambazo Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais Dkt.John Magufuli ambazo inazichukua katika kukabiliana na virusi vya Corona ambavyo vinasababisha ugonjwa wa COVID-19.
Akizungumza mchana huu Bungeni Mjini Dodoma katika mkutano wa kumi na tisa, kikao cha pili cha bajeti ya mwaka 2019/2020 Waziri Mkuu Kasim Majaliwa ametaja hatua kadhaa ambazo zimechukuliwa hadi sasa kama...
10 years ago
Mwananchi09 Sep
Shahidi amuumbua mshtakiwa mahakamani
10 years ago
Mtanzania04 Sep
Mshtakiwa ugaidi aonyesha alivyolawitiwa
![Watuhumiwa wa kesi ya ugaidi, akiwamo Sheikh Farid Hadi Ahmed (kushoto), wakitoka kwenye chumba cha mahakama baada ya kesi yao kutajwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam. Picha na Jumanne Juma](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/watuhumiwa-ugaidi-dar.jpg)
Watuhumiwa wa kesi ya ugaidi, akiwamo Sheikh Farid Hadi Ahmed (kushoto), wakitoka kwenye chumba cha mahakama baada ya kesi yao kutajwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam. Picha na Jumanne Juma
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
MMOJA wa watuhumiwa wa ugaidi katika kesi inayomkabili Kiongozi wa Jumuiya za Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu (JUMIKI) Zanzibar, Sheikh Farid Hadi Ahmed (43), amevunja ukimya mahakamani baada ya kuonyesha suruali ilivyolowa kwenye makalio akisema ni...
11 years ago
Mwananchi26 Mar
Mshtakiwa meno ya tembo ajidhamini mahakamani
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Mshtakiwa wa EPA, aachiwa huru na Mahakama
11 years ago
Mwananchi31 Jan
Mshtakiwa ahoji mkuu wa magereza kuwahoji
10 years ago
Tanzania Daima06 Dec
Utata maelezo kifo cha mshtakiwa wa ugaidi
WAKATI Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha ikielezwa kuwa taratibu za mazishi ya mtuhumiwa wa pili katika kesi ya ugaidi ya tukio la mlipuko wa bomu katika Baa ya Arusha Night...
11 years ago
Mwananchi04 Jul
Mshtakiwa namba moja kukosekana kesi ya twiga hai