Msuya aeleza wezi walivyomwibia
Waziri Mkuu Mstaafu, Cleopa Msuya ameeleza alivyoibiwa mtandao wa miundombinu ya umwagiliaji na bomba za maji 80 katika shamba lake lililopo katika Kijiji cha Chomvu Usangi, wilayani Mwanga, Kilimanjaro.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yl8XiM-qOZbGWnjJKvP9cqSLAeTmJnRRhK4-uGhhIGhDprc4T*zDRokRoO70DyasBA3E6ggV*OyGU2boDnJ3KD612q6UYGo2/snuraaaaa.jpg?width=650)
SNURA AELEZA KINACHO-WAPONZA WEZI WA WAUME ZA WATU
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Unyanyasaji wa kijinsia “Tuwatume wezi wawakamate wezi wenzao”
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
WAZIRI Muhongo amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo kulipwa fidia ni wezi sawa na wezi wa maofisini wa mali za Umma
Mbunge wa jimbo la Iramba Magharibi na Naibu Waziri wa Fedha, Mh. Mwingulu Nchemba, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika kijiji cha Kaselya wilaya ya Iramba.Wa kwanza kulia ni Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo na wa pili kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Iramba Yahaya Nawanda.
Na.Nathaniel Limu-Singida
WAZIRI wa NIishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (MB), amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo ili waweze kulipwa fidia wakati hawastahili, ni wezi sawa na...
9 years ago
Raia Mwema07 Nov
Jinsi wapiga kura wa vijijjini ‘walivyomwibia’ Lowassa kura
Hatimaye uchaguzi umemalizika!
Kitila Mkumbo
11 years ago
TheCitizen17 Jan
Muhimbili silent on Msuya
10 years ago
Habarileo17 Jun
Msuya aangukia kwa Membe
BAADA ya aliyewahi kuwa waziri katika wizara mbalimbali awamu ya kwanza, George Kahama kutangaza hadharani kumuunga mkono Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe kuteuliwa na chama chake kugombea Urais, naye Waziri Mkuu wa zamani, David Msuya amejitokeza hadharani kumuunga mkono Waziri Membe.
11 years ago
Mwananchi16 Jan
Cleopa Msuya alazwa Muhimbili
11 years ago
Habarileo25 Apr
Cleopa Msuya aacha siasa
RAIS Jakaya Kikwete juzi aliongoza mamia ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi mkoani Kilimanjaro, katika sherehe za kumuaga aliyewahi kuwa Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais, Cleopa Msuya, baada ya kutangaza kustaafu siasa.
10 years ago
Mtanzania19 Mar
Msuya akumbuka machungu ya kauli yake
Elias Msuya na Elizabeth Hombo
WAZIRI Mkuu mstaafu, Cleopa Msuya, amekumbusha machungu ya kauli yake ya zamani ya “kila Mtanzania ataubeba msalaba wake”, huku akiwataka Watanzania kuacha kuwa walalamikaji kwa kila jambo.
Msuya aliyewahi kuwa waziri mkuu mara mbili (Novemba 7, 1980 hadi Februari 1983 na Desemba 7, 1994 hadi Novemba 28, 1995), alitoa kauli hiyo bungeni akiwa waziri wa fedha mwaka 1989.
Akizungumza jana katika uzinduzi wa Kavazi la Mwalimu Nyerere lililoandaliwa na Kituo cha...