Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtei: Kwa nini Nyerere alikataa kugeuka jiwe

>Ni nadra siku hizi kuzungumzia nchi kufilisika kiasi cha kukosa uwezo wa kununua mahitaji yake mbalimbali na kutoa huduma kwa raia wake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mtei: Rais Magufuli asiige kila kitu kutoka kwa Nyerere

Tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli aanze kasi ya kushughulikia kero mbalimbali za wananchi, kumekuwa na maoni mbalimbali kuhusu aina ya ufanyaji kazi wake.

 

11 years ago

Mwananchi

Mtei: Nililipwa mshahara sawa na Mwalimu Nyerere

Inawezekana likawa jambo nadra kutokea kwa sasa, lakini enzi za uongozi wa Mwalimu Julius Nyerere lilitokea.

 

10 years ago

Mwananchi

Kwa nini Nyerere hana mrithi wa urais CCM ?

Mwalimu Nyerere ameacha sifa nyingi za uongozi katika historia ya Tanzania. Rais wa Awamu ya Pili, Ali Hassani Mwinyi alimwita mlima na yeye akajiita kichuguu na wengine tumebaki na Baba wa Taifa kama neno la jumla la heshima yake kitaifa. Hata wanawe humwita Baba wa Taifa na siyo baba yao. Hili nalo ni kumpambanua kwa haiba na wababa wengine wa familia na koo za Kiafrika.

 

9 years ago

GPL

TATIZO LA KUGEUKA KWA KIZAZI (RETROVERTED UTERUS)

Tatizo hili pia huitwa ‘Tilted Uterus’ au ‘Tipped Uterus’, hapa kizazi hugeuka kwa nyuma. Hii ni tofauti katika hali ya kawaida ya kuangalia kwa mbele. ‘Anteverted’ ambayo wanawake wengi wapo hivyo, kizazi hulalia kibofu cha mkojo na upande wa mbele hujikunja kidogo.  Kwa mujibu wa takwimu, mwanamke mmoja kati ya watatu au watano, wana aina hii ya kizazi kilichogeuka na wengine hugeuka...

 

9 years ago

BBCSwahili

Ungemuuliza nini hayati Nyerere angelikuwa hai ?

Leo ni sikukuu hapa nchini Tanzania raia wanaadhimisha maisha ya baba wa taifa hayati Julius Nyerere. Baadhi wamekuwa wakitoa maswali yao

 

9 years ago

Mwananchi

UKWELI UTAKUWEKA HURU : Jiwe walilolikataa CCM limekuwa jiwe kuu Chadema

Injili inatufundisha kuwa enzi ya Yesu Kristo, baadhi ya watu walimwona ni kama kichaa na mvuruga amani katika jamii.

 

9 years ago

Dewji Blog

Nini hasa ni kivutio katika mji aliozaliwa hayati Mwl. Julius K Nyerere?

nyerere 1

Butiama ni mji uliopo kaskazini mwa Tanzania, katika wilaya ya Musoma mkoa wa Mara.  Mahala hapa ndipo alipozaliwa Rais wa Kwanza wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere(Baba wa Taifa), ambapo leo ni siku ya kukumbuku ya kifo chake (13 April 1922-14 Octoba 1999)

Kijiji hiki kina historia Kubwa ambapo leo imekuwa siku muhimu ya kukumbuka mahala alipozaliwa shujaa wa Tanzania aliyepelekea uhuru na umoja wa nchi yetu.

Ndani ya kijiji cha Butiama kuna vingi...

 

9 years ago

Michuzi

Pinda aweka jiwe la msingi jiwe la Msingi la Jengo la makazi na Biashara la NHC Place eneo la Victoria jijini Dar es slaam

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wafanyakazi wa Shirika la Taifa la Nyumba (NHC) wakati alipowasili kwenye eneo la ujenzi wa jengo la makazi na biashara la Victoria Place linalojengwa na NHC katika  eneo la Victoria jijini Dar es salaam  kuweka jiwe la msingi la ujenzi huo Oktoba 20,2015.Kulia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angela Kairuki na kulia kwake ni Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu. Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Nyumba  (NHC),...

 

11 years ago

GPL

BASI LA MTEI LATEKETEZWA KWA MOTO BAADA YA KUGONGA NA KUUA SINGIDA

Mojawapo ya basi la Mtei sio lililopata ajali. Habari ambazo mtandao huu umezipata kutoka Singida sasa hivi zinasema Basi la abiria la Matei linalofanya safari zake kutoka Mwanza kwenda Dar  limechomwa moto na kuteketea kabisa na watu wenye hasira kali baada ya kugonda bodaboda ambayo ilikuwa imepakia ‘mshikaki’ wa watu watatu ambao walikufa papohapo eneo la tukio. Hakuna abiria wa basi aliyeumia.  Mwandishi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani