Mtoto Angel Machellah apokea Sakramenti ya Kipaimara katika Parokia ya Kimara
Askofu msaidizi wa Kanisa Katiloki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Titus Mdoe (Kulia) akizungumza na Watoto waliopata Sakramenti ya Kipaimara katika Kanisa Katholiki la Kimara jijini Dar es Salaam jana.
Mtoto Angel Machellah (mbele) akiwa na watoto wenzie wakijiandaa kuingia kanisani wakati wa kupokea Sakramenti ya Kipaimara iliyofanyika katika Kanisa Katoloki Parokia ya Kimara Dar es Salam jana.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nhzQVWXCKZo/U18vPkQ2hUI/AAAAAAAFd3E/c3FIQt_mjzo/s72-c/unnamed+(58).jpg)
sherehe za kipaimara na uwekaji jiwe la msingi kwa kanisa jipya parokia ya babati
![](http://4.bp.blogspot.com/-nhzQVWXCKZo/U18vPkQ2hUI/AAAAAAAFd3E/c3FIQt_mjzo/s1600/unnamed+(58).jpg)
Miongoni mwa vijana 116 waliopatiwa Kipaimara na Askofu wa Jimbo la Mbulu Mkoani Manyara, Beatus Kinyaiya, kwenye kanisa la Parokia ya Roho Mtakatifu mjini Babati juzi, hapa wakipita mbele ya wageni na waumini mbalimbali wa eneo hilo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-tsUdHtuhmms/U18vhxV68_I/AAAAAAAFd3U/Lhxkpjmxxyk/s1600/unnamed+(61).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-czZo4T6uVp0/U18vjzo9U3I/AAAAAAAFd3c/1C1Jvxs9qMo/s1600/unnamed+(60).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8YuAJ4r9Md8/U18vP9L78MI/AAAAAAAFd3I/KIt_m1fjEpM/s1600/unnamed+(59).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TL-la4qMC-2FtVb9E37WHprXkJNjn07h45JjrWRsgcBOgaar0PR5vhmgDLJgTssGbLiVL-MOJQmBtPwLwhufE4qPWW-E2dap/njemba.jpg?width=650)
NJEMBA APOKEA KICHAPO HEVI AKIDAIWA KUMLAWITI MTOTO ARUSHA
11 years ago
MichuziWENGI WAJITOKEZA MAZISHI YA EVERLYNE MACHELLAH
![](http://3.bp.blogspot.com/-ox7TQ3ShLnE/U85ZU9NFv5I/AAAAAAABDyY/UWF3xUvp0QY/s1600/12.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-y8TO0V8kPVs/U85ZZE4wxKI/AAAAAAABDyo/Bt1YSxKjyFI/s1600/14.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-KeWxTqygQVI/U85Zammm2LI/AAAAAAABDys/XdMrA2QnCbk/s1600/13.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pvvFrKdLZFo/U85ZRURPkNI/AAAAAAABDyQ/seqktN26N5s/s1600/10.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA...
11 years ago
Habarileo02 Feb
Kanisa lauza Sakramenti Sh 100,000
WAUMINI wa Kanisa la Break Through Assemblies lililoko eneo la Boko Magengeni nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam linadaiwa kuuza Sakramenti kwa Sh 100,000 kwa kila muumini. Hatua hiyo inadaiwa kuwanyima wasio na fedha chakula hicho cha Bwana hivyo kusababisha malalamiko dhidi ya uongozi wa Kanisa hilo la Walokole.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SC5P4Oi-Up8/VIKvA4M3XmI/AAAAAAAG1j0/c3C_F3cWJnU/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
Lauryn Mnjeja na familia yake washerehekea kupata kipaimara
![](http://4.bp.blogspot.com/-SC5P4Oi-Up8/VIKvA4M3XmI/AAAAAAAG1j0/c3C_F3cWJnU/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kyspolpNr3A/VIKvBIPam3I/AAAAAAAG1j4/fPVeabZ6Plc/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/---gNbuS5las/VIKvA85R2uI/AAAAAAAG1jw/HkLsbcW35SM/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-C-FDX1qSD_8/VIKvB2AaMGI/AAAAAAAG1kA/tcoXKSVmqdw/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
11 years ago
Habarileo03 Feb
Kanisa Katoliki latoa hofu waumini kuhusu sakramenti
UONGOZI wa Kanisa Katoliki nchini umewatoa hofu waumini wake, kuhusu uwepo wa baadhi ya makanisa yanayodaiwa kuuza sakramenti na kueleza kuwa suala hilo haliwahusu.
10 years ago
Habarileo02 Nov
Kanisa Katoliki lafunga Parokia 50
KANISA Katoliki duniani limeamua kufunga zaidi ya parokia 50 katika Jimbo Kuu la Kanisa Katoliki la New York nchini Marekani, katika mkakati wa kanisa hilo kujinusuru na madeni ya parokia zisizojiendesha, ambao haujawahi kufanyika katika miaka 164 ya jimbo hilo.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Jk550vKcogI/VIWRf-Y6ExI/AAAAAAAG2Bc/X-YCNP6Yb1M/s72-c/unnamed%2B(78).jpg)
Waziri Mwakyembe apokea mabehewa yatakayo boresha usafiri katika reli ya kati
![](http://3.bp.blogspot.com/-Jk550vKcogI/VIWRf-Y6ExI/AAAAAAAG2Bc/X-YCNP6Yb1M/s1600/unnamed%2B(78).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VFccIln3M5I/VIWRhm36ZbI/AAAAAAAG2Bk/UXjjkbXPttI/s1600/unnamed%2B(81).jpg)